Tetesi: CCM kutotumia wimbo wa John Komba kwenye kampeni 2020 , yadaiwa unawachoma wanachama wake , ni ule wa " ccm mbele kwa mbele "

Tetesi: CCM kutotumia wimbo wa John Komba kwenye kampeni 2020 , yadaiwa unawachoma wanachama wake , ni ule wa " ccm mbele kwa mbele "

Huu wimbo ni zawadi kubwa sana toka kwa mzee komba...binafsi inanikumbusha matukio mengi sana ya uchaguzi 2015.
 
Chanzo cha kuaminika kimenong'oneza kwamba maudhui ya wimbo huo wa Gwiji John Komba akiwa na bendi ya ccm iliyokufa ya TOT yanaonekana kuwagusa moja kwa moja wanachama wa ccm badala ya wapinzani waliolengwa , na hivyo kuondoa morali wao wa kushiriki shughuli za chama , hivyo imependekezwa kibao hicho kikali kisitumike kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020

Wanaccm wengi wanalalamikia ubeti unaotaja watu " KUISOMA NAMBA " huku wakitolea mfano wa wanaccm nguli kama Zakaria , Manji , Monaban na wengine chungu mzima akiwemo Antony Diallo aliyejitolea TV yake kuonyesha kampeni za ccm tu , kiasi cha kukiuka hata maadili ya TCRA , kitu kilichosababisha Mungu kuitandika laana ya mishahara kampuni yake hadi kukimbiwa na wafanyakazi , watu hawa waliosomeshwa namba wamekuwa mfano hai wa udhalilishaji wa wafadhili wa ccm unaimbwa kwenye ubeti wa wimbo huo, jambo linaloonekana kama ni kudhalilisha wanachama wote nchi nzima

Tutaendelea kuwaletea taarifa zaidi kwa kadri mtoa taarifa wetu atakavyoendelea kuvujisha siri zao
Ni urongo lakini unafurahisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ngoja tuwakumbushe wanaLumumba wimbo wao wasiotaka kuusikia kipindi hiki cha kuisoma namba, shukrani zimwendee mtunzi Capt. John Komba RIP kada wa CCM

Shukrani sana mkuu
 
Ni huu?


😁

midundo mizuri.. waliyoimba hizo lyrics zingine humo kwa kweli!!!.. eeh kimipasho sio kiprofesheni hata kiburudani ikachezwa sehemu tulivu mf dina gala etc

Tunakushukuru sana kwa wema wako
 
huu wimbo safi sana, sasa hivi wana CCM adabu....yaani ni kuisoma number kisawasawa dadadeki - njaa hadi mgogoni...teh teh teh

napendekeza utumike huu kuanzia kwenye uchaguzi serikali za mitaa.
 
huu wimbo safi sana, sasa hivi wana CCM adabu....yaani ni kuisoma number kisawasawa dadadeki - njaa hadi mgogoni...teh teh teh

napendekeza utumike huu kuanzia kwenye uchaguzi serikali za mitaa.
Hawataki hata kuusikia
 
sisi tunatoa remix ya hiyo nyimbo na tutatumia hicho kipande cha kuisoma namba kwasababu ni kweli MaCCM wanaisoma hiyo namba
 
Chanzo cha kuaminika kimenong'oneza kwamba maudhui ya wimbo huo wa Gwiji John Komba akiwa na bendi ya ccm iliyokufa ya TOT yanaonekana kuwagusa moja kwa moja wanachama wa ccm badala ya wapinzani waliolengwa , na hivyo kuondoa morali wao wa kushiriki shughuli za chama , hivyo imependekezwa kibao hicho kikali kisitumike kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020

Wanaccm wengi wanalalamikia ubeti unaotaja watu " KUISOMA NAMBA " huku wakitolea mfano wa wanaccm nguli kama Zakaria , Manji , Monaban na wengine chungu mzima akiwemo Antony Diallo aliyejitolea TV yake kuonyesha kampeni za ccm tu , kiasi cha kukiuka hata maadili ya TCRA , kitu kilichosababisha Mungu kuitandika laana ya mishahara kampuni yake hadi kukimbiwa na wafanyakazi , watu hawa waliosomeshwa namba wamekuwa mfano hai wa udhalilishaji wa wafadhili wa ccm unaimbwa kwenye ubeti wa wimbo huo, jambo linaloonekana kama ni kudhalilisha wanachama wote nchi nzima

Tutaendelea kuwaletea taarifa zaidi kwa kadri mtoa taarifa wetu atakavyoendelea kuvujisha siri zao
Mkiwa barabarani, ukiweza kusoma namba za chombo (gari/pikipiki) kilicho mbele yako; maana yake chombo hicho japo kimekutangulia ila hakijakuacha mbali sana. Hiyo ndiyo maana ya wimbo huo na ndiyo kura Milioni 8 za CCM kwa milioni 6 za CHADEMA. Hapo mliweza kusoma namba.

Uchaguzi ujao lazima maudhui ya wimbo yabadilike hata kama melodia itakuwa hiyohiyo. Hii ni kwasababu vyombo vitakavyokuwa vinashindana barabarani vitaachana mbali mno kiasi kwamba alie nyuma hatoweza kusoma namba za aliye mtangulia. Kwa maana hiyo huwezi ambiwa unasoma namba ili hali hata chombo hukioni.!
 
Mkiwa barabarani, ukiweza kusoma namba za chombo (gari/pikipiki) kilicho mbele yako; maana yake chombo hicho japo kimekutangulia ila hakijakuacha mbali sana. Hiyo ndiyo maana ya wimbo huo na ndiyo kura Milioni 8 za CCM kwa milioni 6 za CHADEMA. Hapo mliweza kusoma namba.

Uchaguzi ujao lazima maudhui ya wimbo yabadilike hata kama melodia itakuwa hiyohiyo. Hii ni kwasababu vyombo vitakavyokuwa vinashindana barabarani vitaachana mbali mno kiasi kwamba alie nyuma hatoweza kusoma namba za aliye mtangulia. Kwa maana hiyo huwezi ambiwa unasoma namba ili hali hata chombo hukioni.!
Kama kura watapiga polisi sawa
 
Hizo ngoma zikipigwa vijijini huwa zinawaleta paka,mbwa kucheza😁😁😁 bila kujali chama.

Nyimbo hizo hazina chama japo niza sisiemu
 
Hivi ule wimbo unao pigwa wakati wa uchochezi ni bolingo au ni rap?.Maana ukipigwa hadi watoto wanaocheza barabarani wanakimbia utazani wameona mfuko wa plastic.Chadomo hamuwezi kutoa vibao vya moto vyenye content kama chama cha mapinduzi aisee.
Haujui usemalo
 
Duh..
IMG-20190612-WA0011.jpg
 
Back
Top Bottom