nzoka boy
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 1,165
- 1,038
Tuna polisi 40, elfu tu boss!Polisi hata laki moja na nusu hawafiki. Kura 13m ni wananchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna polisi 40, elfu tu boss!Polisi hata laki moja na nusu hawafiki. Kura 13m ni wananchi.
Uchunguzi umebaini kwamba ikifika wakati wa uchaguzi uvccm huvishwa sare za polisi piaTuna polisi 40, elfu tu boss!
Unaona sasa. Jamaa anakwambia ili CCM inashinda kwa kura za polisiTuna polisi 40, elfu tu boss!
Thubutu. Mind you! Nilikuwa sehemu ya wapokea matokeo hivyo huwezi nidanganya lolote. hayo hadaeni wapiga kura wenu tuu ili wasiwachoke kwa kushindwa kila uchaguzi.unayo nakala halisi ya matokeo yaliyofichwa ya urais ya 2015 ? mimi ninayo .
Basi mara hii wakivishwa kamata mmoja lete. Any way hata wakivishwa bado kila mmoja atapiga kura kwa jina lake maana hata polisi ni wapiga kura. lakini pia kama upande wenu mupo wengi, hata uvccm wakivaa nguo za polisi mtawazidi, maana hawajasema wasio na uniform za polisi hawapigi kura.Uchunguzi umebaini kwamba ikifika wakati wa uchaguzi uvccm huvishwa sare za polisi pia
Ulikuwa kwenye kile kitengo cha January na kapilimba au cha Lubuva ?Thubutu. Mind you! Nilikuwa sehemu ya wapokea matokeo hivyo huwezi nidanganya lolote. hayo hadaeni wapiga kura wenu tuu ili wasiwachoke kwa kushindwa kila uchaguzi.
JF inakuhadaaUlikuwa kwenye kile kitengo cha January na kapilimba au cha Lubuva ?
kama ni hivyo unatafuta nini hapa ? Gereza la keko wako " wasamalia " wamehifadhiwa tangu 2015 baada ya kupinga kudivert kura , hawashitakiwi kwanini ?JF inakuhadaa
Mie nipo tuu kufurahia namna mdogo wangu Mello tunavyomchangia.kama ni hivyo unatafuta nini hapa ? Gereza la keko wako " wasamalia " wamehifadhiwa tangu 2015 baada ya kupinga kudivert kura , hawashitakiwi kwanini ?
Sema ukweli usificheCCM kama ni watu wa mabadiliko sisi kwanza hatupaswi kutumia wimbo wowote ule uliowahi kutumika kwenye kampeni za nyuma?
Ila kwa sasa sita associate na kampeni za aina yeyote ile kwa Mwaka 2020, nitarejea kwenye kinyang'anyiro mwaka 2025 kulingana na ni nani atakuwa mgombea by that time
Huo ndio uzushi wa chadema.Chanzo cha kuaminika kimenong'oneza kwamba maudhui ya wimbo huo wa Gwiji John Komba akiwa na bendi ya ccm iliyokufa ya TOT yanaonekana kuwagusa moja kwa moja wanachama wa ccm badala ya wapinzani waliolengwa , na hivyo kuondoa morali wao wa kushiriki shughuli za chama , hivyo imependekezwa kibao hicho kikali kisitumike kwenye kampeni za uchaguzi wa 2020
Wanaccm wengi wanalalamikia ubeti unaotaja watu " KUISOMA NAMBA " huku wakitolea mfano wa wanaccm nguli kama Zakaria , Manji , Monaban na wengine chungu mzima akiwemo Antony Diallo aliyejitolea TV yake kuonyesha kampeni za ccm tu , kiasi cha kukiuka hata maadili ya TCRA , kitu kilichosababisha Mungu kuitandika laana ya mishahara kampuni yake hadi kukimbiwa na wafanyakazi , watu hawa waliosomeshwa namba wamekuwa mfano hai wa udhalilishaji wa wafadhili wa ccm unaimbwa kwenye ubeti wa wimbo huo, jambo linaloonekana kama ni kudhalilisha wanachama wote nchi nzima
Tutaendelea kuwaletea taarifa zaidi kwa kadri mtoa taarifa wetu atakavyoendelea kuvujisha siri zao
Machadema yanatamani nyimbo za ccm wamuambie dj awatungie wao.Harambee harambe mama harambe
Wautumie huu itapendeza pia
Ila ule wa CCM mbele kwa mbele ulipendwa sana na watu wote
hongera sanaTunanyimbo mpya ya msechu... Magufuli jembe jembee ....
Hivi ule wimbo unao pigwa wakati wa uchochezi ni bolingo au ni rap?.Maana ukipigwa hadi watoto wanaocheza barabarani wanakimbia utazani wameona mfuko wa plastic.Chadomo hamuwezi kutoa vibao vya moto vyenye content kama chama cha mapinduzi aisee.