CCM kuweni makini na mtumie intelijensia yaliyotokea Jimbo la Sengerema

CCM kuweni makini na mtumie intelijensia yaliyotokea Jimbo la Sengerema

STD 7 Oyeeee kudadadeki wanaongezeka kwenda kugonga Meza.
Hahahahaha.....katiba inawaruhusu maana wanatakiwa kujua kusoma na kuandika tu na kiingereza au kiswahili. Mwache dogo naye ale mema ya nchi bwn. Kama wananchi wanampenda na wamethibitisha hilo kwa kumpa kura, wacha akagonge meza na kula keki ya taifa.
 
Acha wivu wa kike mkuu,soma katiba ya nchi yako kuhusu mgombea wa ubunge awe na sifa gani, ndo uje hapa unalilia.

Sifa ni awe raia wa Tanzania.awe na umri wa kuanzia miaka 21,ajue kusoma na kuandikwa kwa kiswahili, asiwe ametiwa hatiani kwa kosa la jinai au kukwepa kodi ndani ya miaka mitano nk.

Sasa wewe Hiyo sifa ya darasa la saba umeitoa wapi?.

Hamis Tabasamu songa mbele,achana na wapiga majungu
 
Tabasamu amefanya watu na degree zao wapigwe spana. Round ishapita kama hamumtaki chagueni chama kingine.
 
Mbona Sengerema watia nia wenu ni darasa la saba hata mbune wenu Musukuma si ndio mbunge wa darasa la saba. Wapigeni chini hao.
 
Back
Top Bottom