CCM kwa sasa ina machaguo mawili tu. Kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025

Wananchi Hawa Hawa ndio wamechoka au unazungumzia wananchi wa taifa gani


Ccm inajiamini Sana hat wamejuwa kbsa hate tupige kelele VIP ss hatuwezi kufanyatafiti lolote pia ,,baada ya ccm kugundua kuwa cc Ni vilaza wameamua kufanya lolote juu ya Mali na rasilimali za inch hi na hakuna wa kupinga

Jana nimesikia boda dar wameandamana wanataka dp aje Mara moja
 
Thubutu. Nani wa kumweka pembeni mwenyekiti wakati ndiyo final sayer. Labda aamue kuachia mwenyewe. Au Mungu aweke mkono wake kama alivyofanya kwa wana wa Israel
Mungu ataweka mkono wake mkuu,hawezi kukubali Watanzania wateseke indefinitely.
 
Yalitokea Mali,Burkina Faso na recently Niger unayajua na kwa mazingira haya haya ya kwetu?Okay,tusubiri Mungu ni mwaminifu,naamini hatakubali CCM iendelee kutesa watu wake.
 
Huna huo ushahidi wa uiitayo HARAMU.....

Nje ya CCM kuna wanasiasa waigizaji tu [emoji1787]
Mimi nina ushahidi mkuu,kijana wangu alikwenda kusimamia uchaguzi.Walipewa form za uchaguzi tupu waka tick,na wakaambiwa na jamaa wa Usalama Taifa kwamba atakayetoa siri atashuhulikiwa.
 
Nchi ilichafuka baada ya Dr.Slaa na Prof.Lipumba kugundua kuwa mh.Mbowe "alilambishwa ya KAIZARI MWACHIE KAIZARI"...Lipumba akakimbilia Rwanda [emoji1787][emoji1787]

Nje ya CCM hakuna siasa......
CCM hakuna siasa mkuu,kuna uhuni.
 
Wamelambishwa asali hao sio wao mkuu.
 
Mimi nina ushahidi mkuu,kijana wangu alikwenda kusimamia uchaguzi.Walipewa form za uchaguzi tupu waka tick,na wakaambiwa na jamaa wa Usalama Taifa kwamba atakayetoa siri atashuhulikiwa.
Kwa hiyo hao jamaa walijitambulisha kuwa ni usalama wa taifa ?!! [emoji15][emoji15][emoji15]

Kama ni USALAMA WA TAIFA kuna ubaya gani kwani Taifa ni lazima liwe salama ?!! [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Yalitokea Mali,Burkina Faso na recently Niger unayajua na kwa mazingira haya haya ya kwetu?Okay,tusubiri Mungu ni mwaminifu,naamini hatakubali CCM iendelee kutesa watu wake.
Hukuna jeshi Happ la kufanya mapinduzi hakuna wote Ni vilaza tu wanajeshi wengi wanafikiria mapenz tu Sasa hv
 
Hukuna jeshi Happ la kufanya mapinduzi hakuna wote Ni vilaza tu wanajeshi wengi wanafikiria mapenz tu Sasa hv
Mungu ataingilia kati na kutoa ukilaza wao mkuu,kama amepanga kutumia Jeshi.Na kwani Askari wa Mali,Sierra Leone na Niger wana kitu gani zaidi ya Askari wa kwetu.
But finally remember there is nothing impossible to God.Anaweza akatumia mbinu nyingine kabisa ambayo hakuna hata mtu anayeifikiria.
 
CCM inaongozwa na Rais wa machawa 🤣🤣🤣 aibu ya Dunia
 
Hukuna jeshi Happ la kufanya mapinduzi hakuna wote Ni vilaza tu wanajeshi wengi wanafikiria mapenz tu Sasa hv
Wanakata mauno na kuwa na michepuko lukuki, Kila bar wao Kila demu wanamtaka wao tu 🤣🤣🤣🤣
 
Ccm ilishafeli zamani mno, Ila raia bado wana imani nayo.
Unajua kwa nini "raia bado wana imani nayo"?
Binafsi nisingeandika kama ulivyofanya hapo, ningesema "raia walikuwa bado wana imani nayo."

Nadhani kuna umuhimu wa siku moja kuliandikia swala hili na "raia kuwa na imani na CCM" kwa muda mrefu kiasi hiki, hata baada ya chama hicho kuonekana kuwa kilishaharibika siku nyingi sana.
Kuna sababu muhimu ya kulieleza hili jambo.

Lakini sasa ni dhahiri kabisa, hawa raia sasa wametambua kuwa CCM siyo chama cha siasa tena bali ni genge tu la walaji. Ninaamini raia watatoa hukumu yao safari hii.
 
CCM inaongozwa na Rais wa machawa 🤣🤣🤣 aibu ya Dunia
Eti Rais anaita loyalists wake Chawa na wenyewe wanafurahi,ajabu sana.Hivi wanajua kweli kwamba Chawa ni mdudu ambaye kadharaulika site.Sidhani, maana wangejua wasingechekelea kuitwa Chawa.
 
Ndo mnavyojidanganya sio? Mtasubiri sana

Samia hadi 2030 kwa Jina la Yesu
Yesu yupi wewe unayemwamini mkuu.Mtu anayemwamini Mungu hawezi kuchukuliana na waovu.Watawala ni watu waovu sana mkuu na hao wa kwetu sio exception.Tumeshuhudia wakifanya na kutufanyia uovu mwingi sana tangu Uhuru.Hili la DP World ni marudio tu.
 
Bila kujali ni Samia au mwingine, CCM itashinda tena na kelele zitaendelea. Na hata siku Upinzani ukipewa nchi kelele zitakuwepo.
 
Bila kujali ni Samia au mwingine, CCM itashinda tena na kelele zitaendelea. Na hata siku Upinzani ukipewa nchi kelele zitakuwepo.
Kwa hiyo unahalalisha tyranny mkuu.Swala sio "kutawala" at any cost,swala ni "kuongoza" nchi vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…