CCM kwa sasa ina machaguo mawili tu. Kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025

CCM kwa sasa ina machaguo mawili tu. Kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025

Nadhani unatafuta nikutafutie muda mzuri nikuchambue na hilo andiko lako hafifu vizuri.
Nipe muda, nitakuja kukusoma vizuri na kukuachia nitakayokuwa nayo juu ya andiko lako hilo bovu.
Yes,mkuki umefika mahali pake,pole.Inawezeka wewe ni mmoja wa washauri wabovu kabisa wa Samia.Mmemuingiza mama wa watu choo cha kike,namhurumia sana frankly.
 
Yes,mkuki umefika mahali pake,pole.Inawezeka wewe ni mmoja wa washauri wabovu kabisa wa Samia.Mmemuingiza mama wa watu choo cha kike,namhurumia sana frankly.
Duh!
Naona akili yako ipo chini sana mkuu 'Mathanzua', kuweza kuelewa unachoelezwa hapa.
Kichwa cha mada yako ni kizuri, kinaeleweka, lakini mengi ya uliyoandika humo ndani ya mada yenyewe ni kama ulikuwa kwenye kilevi. Kadri ulivyoendelea na uandishi na kubugia kilevi, akili inazidi kuvurugika usijue ulianza na nia ya kuandika juu ya kitu gani.
Sasa unakuja hapa kunililia nikuonyeshe ulivyokengeuka na mada yako?
Niliahidi nitafanya hivyo, bado huelewi?
 
Ccm ilishafeli zamani mno, Ila raia bado wana imani nayo.
 
Hadi Samia aondoke, kama sijawa tajiri nipigeni mawe.
 

CCM kwa sasa ina chaguzi mbili tu, kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025​


Nchi imechafuka, wananchi wamekasirika kwa kuwa wameujua ukweli kwamba CCM na Serikali yake si rafiki, ni adui yao,na haiwezi kabisa kuwafikisha Kanani, nchi ya maziwa na asali. CCM kwa sasa ina options mbili tu,au imtose Samia na wenzake waliotufikisha hapa ianze upya, au iikose Ikulu 2025.

Ni ukweli usiopingika, kwamba nchi yetu haijawahi kuwepo katika sintofahamu ya namna hii tangu tupate Uhuru wetu mwaka 1961. Ndio CCM na serikali zake mbali mbali zimetufanyia mambo mengi mabaya:Vijiji vya Ujamaa,sera ambayo iliingiza Watanzania kwenye umaskini uliotopea;kutaifisha mali za walioitwa wanyonyaji na hatimaye kuharibu uchumi wa nchi kabisa; mikataba mingi mibovu: MEREMETA, KAGODA, SYMBION, IPTL, ATCL, TRC nk., lakini nchi haijawahi kukosa amani na Wananchi wakalalamika na kuichukia serikali yao kiasi hiki.

Hii ni kwa nini? Ni kwa sababu wananchi wamekosa imani kabisa na mfumo mzima wa utawala. Hawana imani tena na utawala wowote wa CCM na Serikali zake,wanataka mabadiliko chanya. Unaweza ukauvuta mpira kwa kiasi fulani, lakini hatimaye unafikia ukomo wa kuvutika na kukatika.Ndio, Watanzania wamefikia ukomo wa uvumilivu.CCM sasa ina chaguzi mbili tu ili angalau kujisafisha:au iachane na Samia na kufanya kama kile kilichofanyika Uingereza kwa kuachana na Waziri Mkuu Boris Johnson na kumuweka Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak madarakani,au iparaganyike kabisa na kupotea kwenye ulingo wa siasa, huku ikisubiri uchaguzi mkuu 2025.Ndio uaminifu na heshima ya wananchi kwa CCM vimeshashuka sana, lakini angalau wananchi wataona kwamba CCM imetambua makosa yake na iko tayari kujirekebisha.

Ni nini kimeibua yote haya. Hakuna shaka yeyote kwamba mkataba mbovu wa DP World ambao kwa kipimo chochote ni mkataba mbovu,ndio uliofukua makaburi. Legal Human Rights Centre(LHRC) wamesema bila kumung'unya maneno, kwamba mkataba huu una matatizo mengi.



Katibu Mkuu wa CCM Comrade Chongolo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Comrade Kinana nao wameonyesha wasi wasi wa wazi katika mkataba huu.

Sababu zinazotolewa na mamlaka za kutafuta muwekezaji kwenye bandari zetu wanasema ni kama ifuatavyo:
1.Watanzania ni wezi.

Sababu hii si ya msingi sana,kwa kuwa kama walioajiriwa Bandarini ni wezii,wangefukuzwa na kuajiriwa wengine waadilifu.Isitoshe Watanzania tupo million sitini(60) na zaidi,naamini kusinge-kosekana Watanzania waaminifu.Naomba niseme hivi, sababu hii ambayo si ya kweli, imetudhalilisha sana Watanzania kwenye jamii ya kimataifa.Katika jamii yeyote wezi wapo,si ajabu.Sasa kusema kwamba Watanzania ni wezi,ni kutudhalilisha na kutukosea Watanzania heshima,kwa hiyo katika hili, tunaomba tuombwe radhi.
2.Watanzania hawana weledi wa kuendesha bandari.

Inawezekana hii ni kweli,lakini kama ni kweli,CCM na serikali zake mbali mbali tangu Uhuru wanahusika moja kwa moja katika tatizo hili,kwa kuwa imehusika moja kwa moja katika kuharibu Elimu yetu.

Kulikuwa na sababu gani za msingi kwa mfano za kutumia waalimu wa Darasa la Saba.Kulikuwa na sababu gani za kuwa na Elimu ya UPE(Universal Primary Education).Kwa nini mitaala mibovu.Kuna haja gani ya kubadilisha mitaala kila wakati na hivyo kukosa consistency.Kuna sababu gani ya msingi ya kuajiri waalimu wa Division IV tena,wa course ya ualimu ya mwaka mmoja tu(Voda Fasta).Kulikuwa na ulazima gani na haraka gani ya kuanzisha Shule za Kata,huku tukijua kwamba hazina vifaa,waalimu wanaofaa na mazingira mazuri ya kufundishia na mengine mengi?Jibu ni moja tu,nia ni kuharibu elimu,ili kusiwe na watu wenye weledi wa kusimamia rasilimali zao na maendeleo ya nchi yao.

Labda katika swala la Watanzania kutokuwa na weledi unaotakiwa kuendesha bandari,niongeze jambo lingine la msingi.Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na tabia ya kutoa ajira kiundugu na kujuana.Sina shaka yeyote kwamba tutakubaliana mfumo huu wa ajira una-compromise sana weledi,na hii haijaathiri utendaji Bandarini tu,lakini serikalini na kwenye mashirika yote.Na hapa niseme wazi,CCM na serikali zake inahusika,kwa kuwa haijaisimamia serikali yake vizuri kudhibiti uovu huu.

Kumekuwa na harakati nyingi kutoka CCM na serikali yake kuutetea mkataba huu kati ya Serikali na DP World. Hata hivyo kama nilivyokwisha sema mkataba huu kwa kipimo chochote haufai,kwa hiyo kimsingi hakuna sababu yeyote ya kuendelea kuutetea na kulazimisha kuutekeleza, kwa kuwa wananchi hawautaki,na sababu kwa nini hawautaki iko wazi,hauna maslahi kwa Taifa lao.Kuendelea kuutetea na kuonyesha nia ya kuutekeleza ni kuendelea kuwatia wananchi hasira na ningeishauri CCM iache.

Hapa naomba niwe muwazi,Watanzania hawakatai uwekezaji katika bandari zao,au hata bandari ya Dar es Salaam, wanachokataa ni uwekezaji usio na maslahi kwao na taifa lao.

ili awekwe mamako, we nenda kaharishe huo uvundo wako
 

CCM kwa sasa ina chaguzi mbili tu, kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025​


Nchi imechafuka, wananchi wamekasirika kwa kuwa wameujua ukweli kwamba CCM na Serikali yake si rafiki, ni adui yao,na haiwezi kabisa kuwafikisha Kanani, nchi ya maziwa na asali. CCM kwa sasa ina options mbili tu,au imtose Samia na wenzake waliotufikisha hapa ianze upya, au iikose Ikulu 2025.

Ni ukweli usiopingika, kwamba nchi yetu haijawahi kuwepo katika sintofahamu ya namna hii tangu tupate Uhuru wetu mwaka 1961. Ndio CCM na serikali zake mbali mbali zimetufanyia mambo mengi mabaya:Vijiji vya Ujamaa,sera ambayo iliingiza Watanzania kwenye umaskini uliotopea;kutaifisha mali za walioitwa wanyonyaji na hatimaye kuharibu uchumi wa nchi kabisa; mikataba mingi mibovu: MEREMETA, KAGODA, SYMBION, IPTL, ATCL, TRC nk., lakini nchi haijawahi kukosa amani na Wananchi wakalalamika na kuichukia serikali yao kiasi hiki.

Hii ni kwa nini? Ni kwa sababu wananchi wamekosa imani kabisa na mfumo mzima wa utawala. Hawana imani tena na utawala wowote wa CCM na Serikali zake,wanataka mabadiliko chanya. Unaweza ukauvuta mpira kwa kiasi fulani, lakini hatimaye unafikia ukomo wa kuvutika na kukatika.Ndio, Watanzania wamefikia ukomo wa uvumilivu.CCM sasa ina chaguzi mbili tu ili angalau kujisafisha:au iachane na Samia na kufanya kama kile kilichofanyika Uingereza kwa kuachana na Waziri Mkuu Boris Johnson na kumuweka Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak madarakani,au iparaganyike kabisa na kupotea kwenye ulingo wa siasa, huku ikisubiri uchaguzi mkuu 2025.Ndio uaminifu na heshima ya wananchi kwa CCM vimeshashuka sana, lakini angalau wananchi wataona kwamba CCM imetambua makosa yake na iko tayari kujirekebisha.

Ni nini kimeibua yote haya. Hakuna shaka yeyote kwamba mkataba mbovu wa DP World ambao kwa kipimo chochote ni mkataba mbovu,ndio uliofukua makaburi. Legal Human Rights Centre(LHRC) wamesema bila kumung'unya maneno, kwamba mkataba huu una matatizo mengi.



Katibu Mkuu wa CCM Comrade Chongolo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Comrade Kinana nao wameonyesha wasi wasi wa wazi katika mkataba huu.

Sababu zinazotolewa na mamlaka za kutafuta muwekezaji kwenye bandari zetu wanasema ni kama ifuatavyo:
1.Watanzania ni wezi.

Sababu hii si ya msingi sana,kwa kuwa kama walioajiriwa Bandarini ni wezii,wangefukuzwa na kuajiriwa wengine waadilifu.Isitoshe Watanzania tupo million sitini(60) na zaidi,naamini kusinge-kosekana Watanzania waaminifu.Naomba niseme hivi, sababu hii ambayo si ya kweli, imetudhalilisha sana Watanzania kwenye jamii ya kimataifa.Katika jamii yeyote wezi wapo,si ajabu.Sasa kusema kwamba Watanzania ni wezi,ni kutudhalilisha na kutukosea Watanzania heshima,kwa hiyo katika hili, tunaomba tuombwe radhi.
2.Watanzania hawana weledi wa kuendesha bandari.

Inawezekana hii ni kweli,lakini kama ni kweli,CCM na serikali zake mbali mbali tangu Uhuru wanahusika moja kwa moja katika tatizo hili,kwa kuwa imehusika moja kwa moja katika kuharibu Elimu yetu.

Kulikuwa na sababu gani za msingi kwa mfano za kutumia waalimu wa Darasa la Saba.Kulikuwa na sababu gani za kuwa na Elimu ya UPE(Universal Primary Education).Kwa nini mitaala mibovu.Kuna haja gani ya kubadilisha mitaala kila wakati na hivyo kukosa consistency.Kuna sababu gani ya msingi ya kuajiri waalimu wa Division IV tena,wa course ya ualimu ya mwaka mmoja tu(Voda Fasta).Kulikuwa na ulazima gani na haraka gani ya kuanzisha Shule za Kata,huku tukijua kwamba hazina vifaa,waalimu wanaofaa na mazingira mazuri ya kufundishia na mengine mengi?Jibu ni moja tu,nia ni kuharibu elimu,ili kusiwe na watu wenye weledi wa kusimamia rasilimali zao na maendeleo ya nchi yao.

Labda katika swala la Watanzania kutokuwa na weledi unaotakiwa kuendesha bandari,niongeze jambo lingine la msingi.Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na tabia ya kutoa ajira kiundugu na kujuana.Sina shaka yeyote kwamba tutakubaliana mfumo huu wa ajira una-compromise sana weledi,na hii haijaathiri utendaji Bandarini tu,lakini serikalini na kwenye mashirika yote.Na hapa niseme wazi,CCM na serikali zake inahusika,kwa kuwa haijaisimamia serikali yake vizuri kudhibiti uovu huu.

Kumekuwa na harakati nyingi kutoka CCM na serikali yake kuutetea mkataba huu kati ya Serikali na DP World. Hata hivyo kama nilivyokwisha sema mkataba huu kwa kipimo chochote haufai,kwa hiyo kimsingi hakuna sababu yeyote ya kuendelea kuutetea na kulazimisha kuutekeleza, kwa kuwa wananchi hawautaki,na sababu kwa nini hawautaki iko wazi,hauna maslahi kwa Taifa lao.Kuendelea kuutetea na kuonyesha nia ya kuutekeleza ni kuendelea kuwatia wananchi hasira na ningeishauri CCM iache.

Hapa naomba niwe muwazi,Watanzania hawakatai uwekezaji katika bandari zao,au hata bandari ya Dar es Salaam, wanachokataa ni uwekezaji usio na maslahi kwao na taifa lao.

tumbo lako ndio limechafuka nchi yetu iko salama
 
Kama leo ukienda hospital musamaha kwa wazee imefutwa.wakati toka enzi za JK ilikuepo.CCM ya sasa imefilisika.
 

CCM kwa sasa ina chaguzi mbili tu, kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025​


Nchi imechafuka, wananchi wamekasirika kwa kuwa wameujua ukweli kwamba CCM na Serikali yake si rafiki, ni adui yao,na haiwezi kabisa kuwafikisha Kanani, nchi ya maziwa na asali. CCM kwa sasa ina options mbili tu,au imtose Samia na wenzake waliotufikisha hapa ianze upya, au iikose Ikulu 2025.

Ni ukweli usiopingika, kwamba nchi yetu haijawahi kuwepo katika sintofahamu ya namna hii tangu tupate Uhuru wetu mwaka 1961. Ndio CCM na serikali zake mbali mbali zimetufanyia mambo mengi mabaya:Vijiji vya Ujamaa,sera ambayo iliingiza Watanzania kwenye umaskini uliotopea;kutaifisha mali za walioitwa wanyonyaji na hatimaye kuharibu uchumi wa nchi kabisa; mikataba mingi mibovu: MEREMETA, KAGODA, SYMBION, IPTL, ATCL, TRC nk., lakini nchi haijawahi kukosa amani na Wananchi wakalalamika na kuichukia serikali yao kiasi hiki.

Hii ni kwa nini? Ni kwa sababu wananchi wamekosa imani kabisa na mfumo mzima wa utawala. Hawana imani tena na utawala wowote wa CCM na Serikali zake,wanataka mabadiliko chanya. Unaweza ukauvuta mpira kwa kiasi fulani, lakini hatimaye unafikia ukomo wa kuvutika na kukatika.Ndio, Watanzania wamefikia ukomo wa uvumilivu.CCM sasa ina chaguzi mbili tu ili angalau kujisafisha:au iachane na Samia na kufanya kama kile kilichofanyika Uingereza kwa kuachana na Waziri Mkuu Boris Johnson na kumuweka Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak madarakani,au iparaganyike kabisa na kupotea kwenye ulingo wa siasa, huku ikisubiri uchaguzi mkuu 2025.Ndio uaminifu na heshima ya wananchi kwa CCM vimeshashuka sana, lakini angalau wananchi wataona kwamba CCM imetambua makosa yake na iko tayari kujirekebisha.

Ni nini kimeibua yote haya. Hakuna shaka yeyote kwamba mkataba mbovu wa DP World ambao kwa kipimo chochote ni mkataba mbovu,ndio uliofukua makaburi. Legal Human Rights Centre(LHRC) wamesema bila kumung'unya maneno, kwamba mkataba huu una matatizo mengi.



Katibu Mkuu wa CCM Comrade Chongolo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Comrade Kinana nao wameonyesha wasi wasi wa wazi katika mkataba huu.

Sababu zinazotolewa na mamlaka za kutafuta muwekezaji kwenye bandari zetu wanasema ni kama ifuatavyo:
1.Watanzania ni wezi.

Sababu hii si ya msingi sana,kwa kuwa kama walioajiriwa Bandarini ni wezii,wangefukuzwa na kuajiriwa wengine waadilifu.Isitoshe Watanzania tupo million sitini(60) na zaidi,naamini kusinge-kosekana Watanzania waaminifu.Naomba niseme hivi, sababu hii ambayo si ya kweli, imetudhalilisha sana Watanzania kwenye jamii ya kimataifa.Katika jamii yeyote wezi wapo,si ajabu.Sasa kusema kwamba Watanzania ni wezi,ni kutudhalilisha na kutukosea Watanzania heshima,kwa hiyo katika hili, tunaomba tuombwe radhi.
2.Watanzania hawana weledi wa kuendesha bandari.

Inawezekana hii ni kweli,lakini kama ni kweli,CCM na serikali zake mbali mbali tangu Uhuru wanahusika moja kwa moja katika tatizo hili,kwa kuwa imehusika moja kwa moja katika kuharibu Elimu yetu.

Kulikuwa na sababu gani za msingi kwa mfano za kutumia waalimu wa Darasa la Saba.Kulikuwa na sababu gani za kuwa na Elimu ya UPE(Universal Primary Education).Kwa nini mitaala mibovu.Kuna haja gani ya kubadilisha mitaala kila wakati na hivyo kukosa consistency.Kuna sababu gani ya msingi ya kuajiri waalimu wa Division IV tena,wa course ya ualimu ya mwaka mmoja tu(Voda Fasta).Kulikuwa na ulazima gani na haraka gani ya kuanzisha Shule za Kata,huku tukijua kwamba hazina vifaa,waalimu wanaofaa na mazingira mazuri ya kufundishia na mengine mengi?Jibu ni moja tu,nia ni kuharibu elimu,ili kusiwe na watu wenye weledi wa kusimamia rasilimali zao na maendeleo ya nchi yao.

Labda katika swala la Watanzania kutokuwa na weledi unaotakiwa kuendesha bandari,niongeze jambo lingine la msingi.Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na tabia ya kutoa ajira kiundugu na kujuana.Sina shaka yeyote kwamba tutakubaliana mfumo huu wa ajira una-compromise sana weledi,na hii haijaathiri utendaji Bandarini tu,lakini serikalini na kwenye mashirika yote.Na hapa niseme wazi,CCM na serikali zake inahusika,kwa kuwa haijaisimamia serikali yake vizuri kudhibiti uovu huu.

Kumekuwa na harakati nyingi kutoka CCM na serikali yake kuutetea mkataba huu kati ya Serikali na DP World. Hata hivyo kama nilivyokwisha sema mkataba huu kwa kipimo chochote haufai,kwa hiyo kimsingi hakuna sababu yeyote ya kuendelea kuutetea na kulazimisha kuutekeleza, kwa kuwa wananchi hawautaki,na sababu kwa nini hawautaki iko wazi,hauna maslahi kwa Taifa lao.Kuendelea kuutetea na kuonyesha nia ya kuutekeleza ni kuendelea kuwatia wananchi hasira na ningeishauri CCM iache.

Hapa naomba niwe muwazi,Watanzania hawakatai uwekezaji katika bandari zao,au hata bandari ya Dar es Salaam, wanachokataa ni uwekezaji usio na maslahi kwao na taifa lao.
Ulivyoanza kuandika utadhani nchi hii si mahali salama kabisa kuishi.
 

CCM kwa sasa ina chaguzi mbili tu, kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025​


Nchi imechafuka, wananchi wamekasirika kwa kuwa wameujua ukweli kwamba CCM na Serikali yake si rafiki, ni adui yao,na haiwezi kabisa kuwafikisha Kanani, nchi ya maziwa na asali. CCM kwa sasa ina options mbili tu,au imtose Samia na wenzake waliotufikisha hapa ianze upya, au iikose Ikulu 2025.

Ni ukweli usiopingika, kwamba nchi yetu haijawahi kuwepo katika sintofahamu ya namna hii tangu tupate Uhuru wetu mwaka 1961. Ndio CCM na serikali zake mbali mbali zimetufanyia mambo mengi mabaya:Vijiji vya Ujamaa,sera ambayo iliingiza Watanzania kwenye umaskini uliotopea;kutaifisha mali za walioitwa wanyonyaji na hatimaye kuharibu uchumi wa nchi kabisa; mikataba mingi mibovu: MEREMETA, KAGODA, SYMBION, IPTL, ATCL, TRC nk., lakini nchi haijawahi kukosa amani na Wananchi wakalalamika na kuichukia serikali yao kiasi hiki.

Hii ni kwa nini? Ni kwa sababu wananchi wamekosa imani kabisa na mfumo mzima wa utawala. Hawana imani tena na utawala wowote wa CCM na Serikali zake,wanataka mabadiliko chanya. Unaweza ukauvuta mpira kwa kiasi fulani, lakini hatimaye unafikia ukomo wa kuvutika na kukatika.Ndio, Watanzania wamefikia ukomo wa uvumilivu.CCM sasa ina chaguzi mbili tu ili angalau kujisafisha:au iachane na Samia na kufanya kama kile kilichofanyika Uingereza kwa kuachana na Waziri Mkuu Boris Johnson na kumuweka Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak madarakani,au iparaganyike kabisa na kupotea kwenye ulingo wa siasa, huku ikisubiri uchaguzi mkuu 2025.Ndio uaminifu na heshima ya wananchi kwa CCM vimeshashuka sana, lakini angalau wananchi wataona kwamba CCM imetambua makosa yake na iko tayari kujirekebisha.

Ni nini kimeibua yote haya. Hakuna shaka yeyote kwamba mkataba mbovu wa DP World ambao kwa kipimo chochote ni mkataba mbovu,ndio uliofukua makaburi. Legal Human Rights Centre(LHRC) wamesema bila kumung'unya maneno, kwamba mkataba huu una matatizo mengi.



Katibu Mkuu wa CCM Comrade Chongolo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Comrade Kinana nao wameonyesha wasi wasi wa wazi katika mkataba huu.

Sababu zinazotolewa na mamlaka za kutafuta muwekezaji kwenye bandari zetu wanasema ni kama ifuatavyo:
1.Watanzania ni wezi.

Sababu hii si ya msingi sana,kwa kuwa kama walioajiriwa Bandarini ni wezii,wangefukuzwa na kuajiriwa wengine waadilifu.Isitoshe Watanzania tupo million sitini(60) na zaidi,naamini kusinge-kosekana Watanzania waaminifu.Naomba niseme hivi, sababu hii ambayo si ya kweli, imetudhalilisha sana Watanzania kwenye jamii ya kimataifa.Katika jamii yeyote wezi wapo,si ajabu.Sasa kusema kwamba Watanzania ni wezi,ni kutudhalilisha na kutukosea Watanzania heshima,kwa hiyo katika hili, tunaomba tuombwe radhi.
2.Watanzania hawana weledi wa kuendesha bandari.

Inawezekana hii ni kweli,lakini kama ni kweli,CCM na serikali zake mbali mbali tangu Uhuru wanahusika moja kwa moja katika tatizo hili,kwa kuwa imehusika moja kwa moja katika kuharibu Elimu yetu.

Kulikuwa na sababu gani za msingi kwa mfano za kutumia waalimu wa Darasa la Saba.Kulikuwa na sababu gani za kuwa na Elimu ya UPE(Universal Primary Education).Kwa nini mitaala mibovu.Kuna haja gani ya kubadilisha mitaala kila wakati na hivyo kukosa consistency.Kuna sababu gani ya msingi ya kuajiri waalimu wa Division IV tena,wa course ya ualimu ya mwaka mmoja tu(Voda Fasta).Kulikuwa na ulazima gani na haraka gani ya kuanzisha Shule za Kata,huku tukijua kwamba hazina vifaa,waalimu wanaofaa na mazingira mazuri ya kufundishia na mengine mengi?Jibu ni moja tu,nia ni kuharibu elimu,ili kusiwe na watu wenye weledi wa kusimamia rasilimali zao na maendeleo ya nchi yao.

Labda katika swala la Watanzania kutokuwa na weledi unaotakiwa kuendesha bandari,niongeze jambo lingine la msingi.Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na tabia ya kutoa ajira kiundugu na kujuana.Sina shaka yeyote kwamba tutakubaliana mfumo huu wa ajira una-compromise sana weledi,na hii haijaathiri utendaji Bandarini tu,lakini serikalini na kwenye mashirika yote.Na hapa niseme wazi,CCM na serikali zake inahusika,kwa kuwa haijaisimamia serikali yake vizuri kudhibiti uovu huu.

Kumekuwa na harakati nyingi kutoka CCM na serikali yake kuutetea mkataba huu kati ya Serikali na DP World. Hata hivyo kama nilivyokwisha sema mkataba huu kwa kipimo chochote haufai,kwa hiyo kimsingi hakuna sababu yeyote ya kuendelea kuutetea na kulazimisha kuutekeleza, kwa kuwa wananchi hawautaki,na sababu kwa nini hawautaki iko wazi,hauna maslahi kwa Taifa lao.Kuendelea kuutetea na kuonyesha nia ya kuutekeleza ni kuendelea kuwatia wananchi hasira na ningeishauri CCM iache.

Hapa naomba niwe muwazi,Watanzania hawakatai uwekezaji katika bandari zao,au hata bandari ya Dar es Salaam, wanachokataa ni uwekezaji usio na maslahi kwao na taifa lao.
Nguvu ya CCM iko hapa
IMG-20200726-WA0000.jpg
 
Naaani wa kumtosa? Naaani wa kuthubutu kumgusa mwenyekiti? Hajazaliwa bado!! 👇👇👇 Ishi humo!!
Huu ni upofu wa kupindukia.So mnawafanyia Watanzania uovu kwa kuwa mnaamini hakuna wa kuwaondoa!!!!Huo ni uovu wa kupindukia.Anyway niwakumbushe tu kwamba lililo na mwanzo lina mwisho.
 
Ulivyoanza kuandika utadhani nchi hii si mahali salama kabisa kuishi.
Ni kweli,si mahali salama pa kuishi kabisa,anything can happen anytime.Kilichotokea Mali,Burkina Faso na Niger kinaweza kutokea hapa kwetu,mazingira ni yake yale.
 
Huu ni upofu wa kupindukia.So mnawafanyia Watanzania uovu kwa kuwa mnaamini hakuna wa kuwaondoa!!!!Huo ni uovu wa kupindukia.Anyway niwakumbushe tu kwamba lililo na mwanzo lina mwisho.
Mzee hapo nimewapa tips juu ya nan wa kudiriki kumzuia mwenyekiti wao wa CCM jibu ni hakuna na nimetoa reference ya kigwangala!!
 
Mzee hapo nimewapa tips juu ya nan wa kudiriki kumzuia mwenyekiti wao wa CCM jibu ni hakuna na nimetoa reference ya kigwangala!!
1.Ziko wapi hizo tips?
2.Statement yako inaji-contradict,check it.
 

CCM kwa sasa ina chaguzi mbili tu, kumtosa Rais Samia na wenzie waliotufikisha hapa ianze upya au kuikosa Ikulu 2025​


Nchi imechafuka, wananchi wamekasirika kwa kuwa wameujua ukweli kwamba CCM na Serikali yake si rafiki, ni adui yao,na haiwezi kabisa kuwafikisha Kanani, nchi ya maziwa na asali. CCM kwa sasa ina options mbili tu,au imtose Samia na wenzake waliotufikisha hapa ianze upya, au iikose Ikulu 2025.

Ni ukweli usiopingika, kwamba nchi yetu haijawahi kuwepo katika sintofahamu ya namna hii tangu tupate Uhuru wetu mwaka 1961. Ndio CCM na serikali zake mbali mbali zimetufanyia mambo mengi mabaya:Vijiji vya Ujamaa,sera ambayo iliingiza Watanzania kwenye umaskini uliotopea;kutaifisha mali za walioitwa wanyonyaji na hatimaye kuharibu uchumi wa nchi kabisa; mikataba mingi mibovu: MEREMETA, KAGODA, SYMBION, IPTL, ATCL, TRC nk., lakini nchi haijawahi kukosa amani na Wananchi wakalalamika na kuichukia serikali yao kiasi hiki.

Hii ni kwa nini? Ni kwa sababu wananchi wamekosa imani kabisa na mfumo mzima wa utawala. Hawana imani tena na utawala wowote wa CCM na Serikali zake,wanataka mabadiliko chanya. Unaweza ukauvuta mpira kwa kiasi fulani, lakini hatimaye unafikia ukomo wa kuvutika(elastic limit) na kukatika.Ndio, Watanzania wamefikia ukomo wa uvumilivu.CCM sasa ina chaguzi mbili tu ili angalau kujisafisha:au iachane na Samia na kufanya kama kile kilichofanyika Uingereza kwa kuachana na Waziri Mkuu Boris Johnson na kumuweka Waziri Mkuu wa sasa Rishi Sunak madarakani,au iparaganyike kabisa na kupotea kwenye ulingo wa siasa, huku ikisubiri uchaguzi mkuu 2025.Ndio uaminifu na heshima ya wananchi kwa CCM vimeshashuka sana, lakini angalau wananchi wataona kwamba CCM imetambua makosa yake na iko tayari kujirekebisha.

Ni nini kimeibua yote haya. Hakuna shaka yeyote kwamba mkataba mbovu wa DP World ambao kwa kipimo chochote ni mkataba mbovu,ndio uliofukua makaburi. Legal Human Rights Centre(LHRC) wamesema bila kumung'unya maneno, kwamba mkataba huu una matatizo mengi.



Katibu Mkuu wa CCM Comrade Chongolo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Comrade Kinana nao wameonyesha wasi wasi wa wazi katika mkataba huu.

Sababu zinazotolewa na mamlaka za kutafuta muwekezaji kwenye bandari zetu ni kama ifuatavyo:

1.Watanzania ni wezi.
Sababu hii si ya msingi sana,kwa kuwa kama walioajiriwa Bandarini ni wezii,wangefukuzwa na kuajiriwa wengine waadilifu.Isitoshe Watanzania tupo million sitini(60) na zaidi,naamini kusinge-kosekana Watanzania waaminifu.Naomba niseme hivi, sababu hii ambayo si ya kweli, imetudhalilisha sana Watanzania kwenye jamii ya kimataifa.Katika jamii yeyote wezi wapo,si ajabu.Sasa kusema kwamba Watanzania ni wezi,ni kutudhalilisha na kutukosea Watanzania heshima,kwa hiyo katika hili, tunaomba tuombwe radhi.

2.Watanzania hawana weledi wa kuendesha bandari.
Inawezekana hii ni kweli,lakini kama ni kweli,CCM na serikali zake mbali mbali tangu Uhuru wanahusika moja kwa moja katika tatizo hili kwa kuharibu Elimu yetu.

Kulikuwa na sababu gani za msingi kwa mfano za kutumia waalimu wa Darasa la Saba.Kulikuwa na sababu gani za kuwa na Elimu ya UPE(Universal Primary Education).Kwa nini mitaala mibovu.Kuna haja gani ya kubadilisha mitaala kila wakati na hivyo kukosa consistency.Kuna sababu gani ya msingi ya kuajiri waalimu wa Division IV tena,wa course ya ualimu ya mwaka mmoja tu(Voda Fasta).Kulikuwa na ulazima gani na haraka gani ya kuanzisha Shule za Kata,huku tukijua kwamba hazina vifaa,waalimu wanaofaa na mazingira mazuri ya kufundishia na mengine mengi?Jibu ni moja tu,nia ni kuharibu elimu,ili kusiwe na watu wenye weledi wa kusimamia rasilimali zao na maendeleo ya nchi yao.

Labda katika swala la Watanzania kutokuwa na weledi unaotakiwa kuendesha bandari,niongeze jambo lingine la msingi.Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na tabia ya kutoa ajira kindugu na kujuana.Sina shaka yeyote kwamba mfumo huu wa ajira ume-compromise sana weledi,na hii haijaathiri utendaji Bandarini pekee tu,lakini serikalini kwa ujumla na kwenye mashirika yote.Na hapa niseme wazi,CCM na serikali zake zote inahusika,kwa kuwa haijaisimamia serikali zake vizuri kudhibiti uovu huu.

Kumekuwa na harakati nyingi kutoka CCM na serikali yake kuutetea mkataba huu kati ya Serikali na DP World. Hata hivyo kama nilivyokwisha sema mkataba huu kwa kipimo chochote haufai,kwa hiyo kimsingi hakuna sababu yeyote ya kuendelea kuutetea na kulazimisha kuutekeleza, kwa kuwa wananchi hawautaki,na sababu kwa nini hawautaki iko wazi,hauna maslahi kwa Taifa lao.Kuendelea kuutetea na kuonyesha nia ya kuutekeleza ni kuendelea kuwatia wananchi hasira na ningeishauri CCM iache.

Hapa naomba niwe muwazi,Watanzania hawakatai uwekezaji katika bandari zao,au hata bandari ya Dar es Salaam, wanachokataa ni uwekezaji usio na maslahi kwao na taifa lao.
Wananchi Hawa Hawa ndio wamechoka au unazungumzia wananchi wa taifa gani


Ccm inajiamini Sana hat wamejuwa kbsa hate tupige kelele VIP ss hatuwezi kufanyatafiti lolote pia ,,baada ya ccm kugundua kuwa cc Ni vilaza wameamua kufanya lolote juu ya Mali na rasilimali za inch hi na hakuna wa kupinga

Jana nimesikia boda dar wameandamana wanataka dp aje Mara moja
 
Back
Top Bottom