CCM imeshtuka sasa au unasemaje!Ukiangalia chaguzi za Nyuma Sugu alitoboa kwa njia hiyo hiyo mgawanyiko ndani ya CCM.
CHADEMA wanaweza kukesha wamesimama mita 200 bado Tulia atashinda!Huyo mama Mbeya kwani anakwenda kuongoza? Yeye anakwenda kama Milango wa kutokea tu ili kupata vyeo vingine kama usipika na uwaziri wa katiba.Hawezi kushinda ila atatangazwa chadema wakilala
Maji ya mtungini ndio utulia, lakini baharini sidhani.CCM noma sana noma tumetulia sana kama maji baharini
kwani hata Tulia nayeye c walewale wakuteuliwa chakula cha mzeeSisi tunamtaka Dr. Tulia. Mwanjelwa alizike na nafasi anazoteuliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wampe tu uspika, ila Unaibu Spika ndio lazima atokane na wabungeHuyo mama Mbeya kwani anakwenda kuongoza? Yeye anakwenda kama Milango wa kutokea tu ili kupata vyeo vingine kama usipika na uwaziri wa katiba.Hawezi kushinda ila atatangazwa chadema wakilala