Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Tukiwa katika kusherehekea kutimiza miaka 46 ya chama chetu CCM, tunayo mengi ya kujivunia na changamoto kidogo;
1. Umeme hadi vijijini.
2. Makao Makuu - Chama na Serikali kuhamia Dodoma (tumetimiza Ndoto ya Muasisi Mwl Julius Nyerere)
3. Ujenzi wa Bwawa la Nyerere (tumetimiza Ndoto ya Muasisi Mwl Julius Nyerere)
4. SGR.
5. Demokrasia imekua (mikutano ya hadhara, uchaguzi huru na wa haki, Uhuru wa.Mahakama).
6. Muungano umeimarika,
7. Diplomasia ya Uchumi wa Kisayansi imeimarika eg. Leo hii ATC inatua Nairobi, Entebbe, Bujumbura, Lusaka, Harare, Mumbai (Kwa uchache).
8. Afya (NHIF).
9. Elimu (ngazi zote),
10. Miundombinu ya kisasa ( airports, bus terminus, vyuo Vikuu vipya vya kisasa)
CHANGAMOTO:
4. Vita ya Ukraine,
3. Maslahi (posho za Madiwani).
2. Ukame.
1. Soko Kwa bidhaa za kilimo.
1. Umeme hadi vijijini.
2. Makao Makuu - Chama na Serikali kuhamia Dodoma (tumetimiza Ndoto ya Muasisi Mwl Julius Nyerere)
3. Ujenzi wa Bwawa la Nyerere (tumetimiza Ndoto ya Muasisi Mwl Julius Nyerere)
4. SGR.
5. Demokrasia imekua (mikutano ya hadhara, uchaguzi huru na wa haki, Uhuru wa.Mahakama).
6. Muungano umeimarika,
7. Diplomasia ya Uchumi wa Kisayansi imeimarika eg. Leo hii ATC inatua Nairobi, Entebbe, Bujumbura, Lusaka, Harare, Mumbai (Kwa uchache).
8. Afya (NHIF).
9. Elimu (ngazi zote),
10. Miundombinu ya kisasa ( airports, bus terminus, vyuo Vikuu vipya vya kisasa)
CHANGAMOTO:
4. Vita ya Ukraine,
3. Maslahi (posho za Madiwani).
2. Ukame.
1. Soko Kwa bidhaa za kilimo.