CCM mlichokifanya kwenye mkutano wenu wa tarehe 17-18 Januari 2025 ni kuwatukana Watanzania

Kuna usemi unasema There's safety in numbers
Ukiangalia kwenye animal kingdom
Umenikumbusha kuna kitu kinaitwa
"Dilution factor"
kwenye concept ya usalama wa wanyama wanapokuwa wanawindwa na wanyama wakali kwa ajili ya kuliwa.
Kadri wanyama wanavyokuwa wengi, ndivyo uwezekano wa mnyama mmoja kuliwa unakuwa mdogo.
Kinyume chake pia ni kweli.
 
Haswa mkuu
Wakikusanyika wengi wanakuwa na amani 😄
 
we piga domo sisi tumetoka pale ukumbini tukiwa kifua mbele 2025 nimewaleza wanafamilia yangu kama humu ndani kuna kenge basi chaguzi hii awe mamba mara moja na haya ni maagizo toka kwa mkuu wa kaya
 
Sisi Watanganyika tuko salama kabisa.. Waliodhihakiwa ni wale wa kijani kibichi
 
 

Attachments

  • v09044g40000cu8cf9fog65g717gh240.mp4
    8.8 MB
Mtaendelea kuburutwa tu hadi hapo mafuvu yarudishiwe akili kumbuka tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi pia unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe, jamii ambayo ukiiambia Kuna fursa ya mikopo wanajifunga na vibwebwe watekesha hata kwa muda wa wiki nzima wanaacha shughuri zao kwa muda wawiki nzima lakini wanaambulia patupu

Jamii ambayo inaendesha maisha kwa mikopo, yenye marejesho ya kila siku inaitwa kausha damu kwasababu kipato ni kidogo kuliko marejesho, mfano unaingiza Kila siku elfu 5 halafu marejesho Kila siku elfu 8 inamaana utaishi kwa shida
 
Wananchi wana matatizo makubwa sana, alafu mwenyewe wanaenda kutumia pesa za walipa kodi namna ile ni huzuni sana.
Asikudanye mtu akakwambia CCM upo lwa ajilo ya wananchi, hilo walisha achana nalo
 
Kabisa, ni upotevu mkubwa wa fedha za umma.
 
Walipanga zile tarehe makusudi wakidhani wangezima attention ya Nchi kufuatilia Chadema,lakini wamepata aibu kubwa sanaaaaa.Wamevunja na Katiba ya Chama kupitisha wagombea wa Urais lakini wapi.Unajua Mungu amekwisha amua chama chao kichanike this year.
 
Unatumia mabilioni ya pesa za watanzania kumpeleka Steve Mengele, jb na Diamond kwenda kuwasomea jina la makamu mwenyekiti zee la hovyo la miaka 80?

Katika wazee wa hovyo na Kikwete kaingia katika orodha
 
Hivi kuna mtu alidhani, kwamba jina linaenda kusomwa diamond platinumz mwenyekiti mpya, au jb, au mengele? Aya basi au january makamba, au kikwete? Au jokate?
Kuna mtu alidhani?
Ndio maana ukaitwa mkutano maalumu. Kwaajili ya sababu zile, na ilishafahamika ni kinana ndio anaenda kuwa replaced, hata swala la makamu lililetwa pale.
Ccm ilikua inaenda na samiah tu. afe kipa afe beki.
Hivo msilete justifications zenu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…