Idugunde JF-Expert Member Joined May 21, 2020 Posts 6,404 Reaction score 6,969 Sep 12, 2023 #1 Naona mwenyekiti wenu analalama kuwa haheshimiwi. Haheshimiwi vipi? Mlitaka wapinzani wakae kimya wakati wanaona kuna madudu? Mkataba wa bandari na usimamizi mbovu wa rasilimali za taifa zinawacost. Ukweli ni kuwa wamepata pa kuwashika.
Naona mwenyekiti wenu analalama kuwa haheshimiwi. Haheshimiwi vipi? Mlitaka wapinzani wakae kimya wakati wanaona kuna madudu? Mkataba wa bandari na usimamizi mbovu wa rasilimali za taifa zinawacost. Ukweli ni kuwa wamepata pa kuwashika.
voicer JF-Expert Member Joined Jul 13, 2020 Posts 5,545 Reaction score 11,935 Sep 12, 2023 #2 "Uhuru Bila Utii ni Wendawazimu" na "Utii Bila Uhuru ni Utumwa". Mwl Julius Kambarage Nyerere. Baba wa Taifa! Waelewe hivyo.....
"Uhuru Bila Utii ni Wendawazimu" na "Utii Bila Uhuru ni Utumwa". Mwl Julius Kambarage Nyerere. Baba wa Taifa! Waelewe hivyo.....
Roy Logan JF-Expert Member Joined Jan 22, 2021 Posts 790 Reaction score 3,190 Sep 12, 2023 #3 Nafikiri ipo haja CCM watoe mwongozo kuhusu kukosoa kwa staha ni kwa namna gani, maana bila hivyo hatutapata mwafaka wa neno staha, watuandikie maneno ya kumkosoa Rais ili tuyakariri tuwe tunayatumia hayo tu.
Nafikiri ipo haja CCM watoe mwongozo kuhusu kukosoa kwa staha ni kwa namna gani, maana bila hivyo hatutapata mwafaka wa neno staha, watuandikie maneno ya kumkosoa Rais ili tuyakariri tuwe tunayatumia hayo tu.
Kinkunti El Perdedo JF-Expert Member Joined Nov 28, 2020 Posts 5,200 Reaction score 12,762 Sep 12, 2023 #4 CEO wa kampuni analalamika kama Mwenyekiti wa vikundi vya vikoba.com
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Sep 12, 2023 #5 Your browser is not able to display this video.