CCM mmekosa watu wenye sifa za kuwateua kuwa Mawaziri hadi mrudie walioshindwa?

CCM mmekosa watu wenye sifa za kuwateua kuwa Mawaziri hadi mrudie walioshindwa?

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.

Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?

Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
 
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye ñshati nchi nzima leo haina umeme.

Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei...
Kwani huyo unaemuita taahira ndio anatengeneza business plan ya biashara?

Yaani umeme ushuke kisa bwawa? Kwani shida ni kutokuwa na umeme au bei ya umeme haiendani na gharama za uzalishaji?

Hizi mentality za Bure Bure ndio zinafanya hii Nchi iwe na watu ambao mda wote ni kulalamika
 
Brother Makamba, hebu wape nafasi wakujadili. Tulia sikiliza
 
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.

Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?

Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
Ukimuona Makamba umeomuona JK na Rostam
 
Brother Makamba, hebu wape nafasi wakujadili. Tulia sikiliza
Huyu siyo wa kumjadili, akili hana.

Magufuli alitowa ahadi hadharani kwa Watanzania bwawa la Nyerere likikamilika umeme lazima ushuke bei.

Sasa yeye January na tepeli mwenzake Maharage Chande wanatuageuzia kibao bei haitoshuka unadhani kuna Mtanzania gani atawachekea mafedhuli kama hawa? halafu kituko zaidi eti January naye anaweza kuja kuwa Rais! Kweli Ccm wanatudharau sana Watanzania.
 
Huyu siyo wa kumjadili, akili hana.

Magufuli alitowa ahadi hadharani kwa Watanzania bwawa la Nyerere likikamilika umeme lazima ushuke bei.

Sasa yeye January na tepeli mwenzake Maharage Chande wanatuageuzia kibao bei haitoshuka unadhani kuna Mtanzania gani atawachekea mafedhuli kama hawa? halafu kituko zaidi eti January naye anaweza kuja kuwa Rais! Kweli Ccm wanatudharau sana Watanzania.
Labda awe rais wa mawe kama yule mwenzake hapo kwenye kibubu
 
Yule Pindi Chana kila anapowekwa anapwaya, bibi anadhani kumuhamisha wizara kunaweza msaidia. Hawa mawaziri mizigo late JPM aliwatupilia mbali.
Tatizo mama atapata wapi hao mawaziri? Babu Take, Kibajaji, Deo Sanga na Msukuma?

Tunaposema mawaziri wasitokane na wabunge hiyo ndio maana yake unampa Rais fursa pana ya kuangalia Watanzania wenye uwezo nje ya wabunge.
 
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.

Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?

Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
Mama abdul hana plan B yupoyupo tu
 
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.

Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?

Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
Tumlaum kbwengo mkuu kwa kweli ndo chanzo
 
Kwani huyo unaemuita taahira ndio anatengeneza business plan ya biashara?

Yaani umeme ushuke kisa bwawa? Kwani shida ni kutokuwa na umeme au bei ya umeme haiendani na gharama za uzalishaji?

Hizi mentality za Bure Bure ndio zinafanya hii Nchi iwe na watu ambao mda wote ni kulalamika
Wewe ni Makamba?.
 
Back
Top Bottom