Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Jirani na anakotokea mkuu -chika!!Jenista Mhagama huwa analogea wapi?!
Hukumuona Bungeni alikuja Mjomba wake ni Chifu kule Songea.Mjomba alitinga Bungeni na kavaa ngozi ya chui!Jenista Mhagama huwa analogea wapi?!
Uncle wake Jenista ni Chifu kule kwao na alikuja Bungeni na jezi zake za ngozi ya Chui!Ni Jirani na anakotokea mkuu -chika!!
Nadhani unaelewa.
InasikitishaTumlaum kbwengo mkuu kwa kweli ndo chanzo
Ndio wanaosaidia ccm ishinde hata kama haijapata kura.Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.
Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?
Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
WATAWATOA WAPI? MAGUFULI MPAKA ALIAMUA ANUNUE WAPINZANIBila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.
Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?
Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
SSH ameyakuta hayo tangu zamani mambo ndio hayo hayo !!R - recycle
R - reuse
R -
R -
Vichwa vipo, tatizo SSH analazimika kuwakumbatia baadhi ya watu.
Kwasababu yeye binafsi alikuwa mdogo na mdhaifu spiritually na once ukiwa mdogo ndani, utu wako wa nje utafanya ukatili sana ili kujitutumuaWATAWATOA WAPI? MAGUFULI MPAKA ALIAMUA ANUNUE WAPINZANI
Nothing Lasts ForeverNdio wanaosaidia ccm ishinde hata kama haijapata kura.
We usiwachukulie poa hao.
Hili wengi hawalijui. Hata katika maisha ya kawaida iko hivyo, na ni hatari sana watu wa aina hiyo kuchukua uongoziKwasababu yeye binafsi alikuwa mdogo na mdhaifu spiritually na once ukiwa mdogo ndani, utu wako wa nje utafanya ukatili sana ili kujitutumua
Hamna vetting ya viongozi bongo, mwenye mganga mkali ndiye anayeibuka madarakaniHili wengi hawalijui. Hata katika maisha ya kawaida iko hivyo, na ni hatari sana watu wa aina hiyo kuchukua uongozi
Kama ulitabiri vileBila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.
Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?
Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.