CCM mmekosa watu wenye sifa za kuwateua kuwa Mawaziri hadi mrudie walioshindwa?

CCM mmekosa watu wenye sifa za kuwateua kuwa Mawaziri hadi mrudie walioshindwa?

Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.

Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?

Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
Ndio wanaosaidia ccm ishinde hata kama haijapata kura.

We usiwachukulie poa hao.
 
Mwanamke hafai kupewa uongozi wo wote ule!

Chama nacho kila analopanga mwenyekiti sijui hawaruhusiwi kupinga au kumshauri?

Magufuli katemana nao mama kawarudisha sasa kabaki kuhamisha mawaziri na teuzi zisizo koma
 
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.

Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?

Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
WATAWATOA WAPI? MAGUFULI MPAKA ALIAMUA ANUNUE WAPINZANI
 
Kwasababu yeye binafsi alikuwa mdogo na mdhaifu spiritually na once ukiwa mdogo ndani, utu wako wa nje utafanya ukatili sana ili kujitutumua
Hili wengi hawalijui. Hata katika maisha ya kawaida iko hivyo, na ni hatari sana watu wa aina hiyo kuchukua uongozi
 
Hili wengi hawalijui. Hata katika maisha ya kawaida iko hivyo, na ni hatari sana watu wa aina hiyo kuchukua uongozi
Hamna vetting ya viongozi bongo, mwenye mganga mkali ndiye anayeibuka madarakani
 
Bila kupepesa macho Makamba amefeli kila idara, huku kwenye nishati nchi nzima leo haina umeme. Yeye ndiye aliyesema kwamba kwenye mradi wa bwawa la Nyerere uzalishaji ukianza umeme usishuke bei.

Huyu Kamshange, badala ya kuwekwa benchi anahamishwa wizara? Nini nafasi ya vijana wetu wasomi? Nyie na uzao wenu ndio mmehodhi nchi?

Yanayotokea Africa ya Magharibi ni matokeo ya kuuchoka mfumo huu dhalimu.
Kama ulitabiri vile
 
Back
Top Bottom