CCM mmeteua au mmepinduana?

Inaonekana huo ndio mtindo wanaokwenda nao wakubwa wa chama (na serikali pia) mara tu wapatapo madaraka ili waweze kufanya kazi na watu walio loyal kwao

Hata Mwendazake aliposhika hatamu za uongozi wa chama alifanya fagiafagia na kuweka watu wake.
 
Wakawanunulie tu viti 19 wale wa Walimu wa Kibaha wanaogombea viti...... Kama walimu hawana viti, wanafunzi ndio watakua na madawati kweli?
 
Mpaka Sasa Hivi Wenyewe Kwa Wenyewe
Hii Ndiyo Inaitwa Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na Masikioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…