CCM mmeteua au mmepinduana?

CCM mmeteua au mmepinduana?

Wallah nakuapia kuanzia Leo utaona ID mpya sana zikiwa Team Mama na Team Magu! Kuna ID zilizokua ProMagu zitampinga ProSSH.

Mtawatambua kwa maandishi yao na miandiko yao
Sijui MZEE MGAYA atakuwa upande upi!!!?
 
Huyu Dogo ndio kawa DC? Huyu alitakiwa apandishwe kizimbani na yule jambazi mwenzie
Kawa DC Ubungo. Style yake ya kuongea na kuhutubia kama ya Mjomba wake. Hua anatukana na kudhalilisha watumishi wa Halmashauri tena hata watu wazima. Anamaneno ya shobo saaana sana
 
  • Masikitiko
Reactions: BAK
Hawa wahuni na wauaji wamejawa na kiburi utadhani wana hati miliki ya Tanzania kufanya lolote lile watakalo kwa sababu wako juu ya sheria.

Kawa DC Ubungo. Style yake ya kuongea na kuhutubia kama ya Mjomba wake. Hua anatukana na kudhalilisha watumishi wa Halmashauri tena hata watu wazima. Anamaneno ya shobo saaana sana
 
MaCCM yamekaa kujali matumbo yao tu. Mwenyekiti kaamua kufanya mabadiliko anaanza kutishwa! Kwani huo ukatibu mliambiwa ni kazi ya kudumu?

Mwingine roho imemuuma mpaka kaanzisha Uongozi Institute isiyo rasmi.
 
Naenda kwenye mada moja kwa moja.

CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.

Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama

Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.

Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.

Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.

Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.

Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.

Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.

2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.

Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.

Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).

Angalieni tusije kutana wote vijiweni.

Huenda Kwa umefanya haya kwa sababu ambazo wananchi wa kawaida hatuzijui.
Lakini kwa wananchi wengi mashinani huko site wakawa na tafsiri yao tofauti,kama watatokea wa kuwashawishi na kuwaeleza vinginevyo na wakamuamini.

Alamsikh!
Haya mambo aliyaanzisha Hayati, yani alikifanya chamakama cha kwake akaanza kuteua watu wake wengine hata hawakuwa wanachama wazoefu. Wazee wa CCM wakawa hawana chao sasa umegeuka utaratibu. Yani mtu ambaye hajawahi kuwa na uzoefu na uongozi wa chama anaweza kula shavu akaachwa mkongwe. Sasa hivi steve nyerere ana maana kuliko hata Nape.
 
CCM ni chama kikubwa na kimeandaa viongozi wengi wa kutosha hata upinzani huwa teua kwenye vyama vyao!!!Mbio za vijiti ni kupokezana tu ndugu yangu!!!kunywa maji baridi upoze hasira!!Haya mavyeo haya ni ya kupita tu wala si ya milele!!!Jipe moyo ndugu Dunia mapito tu!!!
Miongoni mwa viongozi walioandaliwa ni jambazi Sabaya
 
Uteuzi uliofanyika ni mzuri sana! CCM halisi imerudi kazini, CCM MPYA ya Magufuli na akina Bashiru, Polepole n.k imekufa rasmi!
 
Naenda kwenye mada moja kwa moja.

CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.

Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama

Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.

Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.

Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.

Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.

Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.

Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.

2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.

Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.

Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).

Angalieni tusije kutana wote vijiweni.

Huenda Kwa umefanya haya kwa sababu ambazo wananchi wa kawaida hatuzijui.
Lakini kwa wananchi wengi mashinani huko site wakawa na tafsiri yao tofauti,kama watatokea wa kuwashawishi na kuwaeleza vinginevyo na wakamuamini.

Alamsikh!
Wenye chama tulisha jikatia tamaa, karibu viongozi wote chamani ni toka serikalini.
Chingolo, Shaka wako kiserikali zaidi.
Kauli mbiu hakuna, zaidi ya kazi iendelee, yaani living in the shadows ofMagufuli.

Itachukua muda kupata viongozi wa chama.
 
Naenda kwenye mada moja kwa moja.

CCM mmefanya uteuzi wa makatibu wakuu nchi nzima, jambo ambalo ni nadra kufanyika au halijawahi kufanyika tangu tumepata uhuru.

Kwamba anaingia mwanachama wa chama CCM kushika wadhifa wa urais.Anashika pia wadhifa wa uenyekiti wa chama

Kisha anaanza kupangua safu yoote ya uongozi kuanzia ngazi ya taifa mpaka wilayani.

Hao watu unaowapangua ndio watendaji wa mashinani wanaokijua chama,kuliko hao vigogo mnaokaa nao huko makao makuu.

Lakini pia hata hao wakubwa wa chama unaowateua huko juu pia hawana uzoefu na siasa za CCM ikiwemo pia kutowajua wajumbe mikoani na jinsi ya ku deal nao.

Tumewaona wakipita wakitoa matamko ya kiserikali zaidi, kuliko ya kichama.

Kwa ufupi tu niseme wazi uamuzi huu meenyekiti hukushauriwa vizuri.

Hili kundi ni kubwa sana na kuliondoa kwa wakati mmoja, ukizingatia wao pia wana mitandao yao mpaka mashinani.

2025 hiyo unayojiandalia mwenyekiti usishangae lolote usiloweza kuamini likitokea, ukizingatia kwamba hata hao wabunge ni wageni wa siasa za majukwaani.

Upinzani wa kweli ndio unaweza kuzaliwa sasa.

Kama umefanya mapinduzi kuondoa mfumo mzima wa JPM, (ingawa hii ni tafsiri isiyo rasmi).

Angalieni tusije kutana wote vijiweni.

Huenda Kwa umefanya haya kwa sababu ambazo wananchi wa kawaida hatuzijui.
Lakini kwa wananchi wengi mashinani huko site wakawa na tafsiri yao tofauti,kama watatokea wa kuwashawishi na kuwaeleza vinginevyo na wakamuamini.

Alamsikh!
Nani alikuambia CCM wanaogopa kushindwa kwenye uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge? hata wakifukuza viongozi wote kuanzia wenyeviti wa matawi mpaka mwenyekiti wa Taifa watashinda jwa kiwango wanachotaka.

Kwa kifupi uchaguzi mkuu uko kwenye kurasa za katiba s kwenye uhalisia na matendo. Ilimradi polisi wapo na wakurugenzi CCM itashindwaje kubeba masanduku ya kura na kutokomea nayo na kisha kuyajaza kura zao kwa viwango watakavyo kisha wakajitangaza washindi.

Wanachofanya CCM kwa sasa si uteuzi ila ni kutengenezeana utaratibu wa kugawana ulaji kichama.
 
Wallah nakuapia kuanzia Leo utaona ID mpya sana zikiwa Team Mama na Team Magu! Kuna ID zilizokua ProMagu zitampinga ProSSH.

Mtawatambua kwa maandishi yao na miandiko yao
Ina maana hawajui kuandika?
 
Back
Top Bottom