Kwani kwenye Kampeni huwa unawasaidia wewe mkuu?Hicho ndo kichaka cha CCM kuogopa na hatimaye kukimbia midahalo. CCM ni waoga na waoga kweli kweli. Narudia tena, mgombea ubunge wa CCM ukitaka afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge atakimbia mdahalo kwa kumwogopa mtoto huyo mtoto wa darasa la pili.
Sawa kabisa CDM ndio chama kinachotakiwa kuongoza watanzania baada ya ukoloni wa CCM.Wagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.
CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
Tofautisha kampeni na mdahalo.Kwani kwenye Kampeni huwa unawasaidia wewe mkuu?
πππΈππΊCdm haijivunii ukubwa bali inajivunia ubora. Mtu mjinga ndio hujivunia ukubwa na sio ubora. Ccm si chama bora, bali ni kikubwa kwa sababu za kihistoria.
Chama kikubwa kwa kukimbia midahalo na kuiba kura?CCM ni chama Kikubwa
Midahalo na demokrasia ya ushindani sio utamaduni wa ccmWagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.
CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
Sawa kabisa CDM ndio chama kinachotakiwa kuongoza watanzania baada ya ukoloni wa CCM.
Wewe ni CCM....Chadema mbowe akibaki mshauri mkuu badala ya mwenyekiti kitafika mbali sana
Kweli kabisa. Zamani CCM walikuwa na utamaduni wa kuiba kura lakini siku hizi utamaduni wao umeimarishwa zaidi, siku hizi hawaibi kura isipokuwa wanapora ushindi kwa nguvu mchana kweupe kwa kutumia askari wanaolipwa kodi zetu.Midahalo na demokrasia ya ushindani sio utamaduni wa ccm
Mbunge VS Darasa la 2???Wagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.
CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
Wangalau kwenye huu uchaguzi wa cdm tumeonja ladha tena ya siasa za ushindani ziliziharibiwa na dhalimu Magu.Midahalo na demokrasia ya ushindani sio utamaduni wa ccm
Kama maCCM πHatu mtu anaweza kuwa na umbile kubwa lakini akawa mjinga tu.