CCM, mnawaona CHADEMA walivyo na akili kubwa na ujasiri?

CCM, mnawaona CHADEMA walivyo na akili kubwa na ujasiri?

Hicho ndo kichaka cha CCM kuogopa na hatimaye kukimbia midahalo. CCM ni waoga na waoga kweli kweli. Narudia tena, mgombea ubunge wa CCM ukitaka afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge atakimbia mdahalo kwa kumwogopa mtoto huyo mtoto wa darasa la pili.
Kwani kwenye Kampeni huwa unawasaidia wewe mkuu?
 
Wagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.

CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
Sawa kabisa CDM ndio chama kinachotakiwa kuongoza watanzania baada ya ukoloni wa CCM.
 
Cdm haijivunii ukubwa bali inajivunia ubora. Mtu mjinga ndio hujivunia ukubwa na sio ubora. Ccm si chama bora, bali ni kikubwa kwa sababu za kihistoria.
💐💐🌸💐🌺
 
Wagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.

CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
Midahalo na demokrasia ya ushindani sio utamaduni wa ccm
 
Midahalo na demokrasia ya ushindani sio utamaduni wa ccm
Kweli kabisa. Zamani CCM walikuwa na utamaduni wa kuiba kura lakini siku hizi utamaduni wao umeimarishwa zaidi, siku hizi hawaibi kura isipokuwa wanapora ushindi kwa nguvu mchana kweupe kwa kutumia askari wanaolipwa kodi zetu.
 
Wagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.

CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
Mbunge VS Darasa la 2???
Outrageous.
 
Back
Top Bottom