CCM, mnawaona CHADEMA walivyo na akili kubwa na ujasiri?

CCM, mnawaona CHADEMA walivyo na akili kubwa na ujasiri?

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Wagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.

CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
 
Cdm haijivunii ukubwa bali inajivunia ubora. Mtu mjinga ndio hujivunia ukubwa na sio ubora. Ccm si chama bora, bali ni kikubwa kwa sababu za kihistoria.
Hatu mtu anaweza kuwa na umbile kubwa lakini akawa mjinga tu.
 
Wagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.

CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
Wewe una akili kuliko WaTz wengi... Kwa mara ya kwanza nimeona andiko lenye positive view
 
Wagombea uongozi wa CHADEMA wanafanya sana midahalo. Mimi nimewapenda sana kwa kufanya hivyo.
Ninachokiamini ni kwamba, CCM walivyo waoga, hata ukimwambia mgombea ubunge wa CCM afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge ataogopa na atakimbia mdahalo.

CHADEMA mmeonesha ujasiri na uwezo wa kiuongozi. Msirudi nyuma. Mpo vizuri, Watanzania tunawaaminini nyie. Mnaweza kutuwakilisha vizuri hata kimataifa. Safi sana.
Mdaharo unasaidia nini kwa Watz? Yaani unataka kuiga kila kitu toka kwa wazungu vitu vingine haviendani na maisha ya watz walio wengi ambao ndio wapigakura wa uhakika. Watz wanataka maendeleo na uwatembelee kwenye vijini vyao wangapi wana access TV au mitandao ya kijamii ili waweze kusikiliza hiyo midaharo yenu!!?
 
Mdaharo unasaidia nini kwa Watz? Yaani unataka kuiga kila kitu toka kwa wazungu vitu vingine haviendani na maisha ya watz walio wengi ambao ndio wapigakura wa uhakika. Watz wanataka maendeleo na uwatembelee kwenye vijini vyao wangapi wana access TV au mitandao ya kijamii ili waweze kusikiliza hiyo midaharo yenu!!?
We jamaa ni Mjinga ndezi kabisa
 
Mdaharo unasaidia nini kwa Watz? Yaani unataka kuiga kila kitu toka kwa wazungu vitu vingine haviendani na maisha ya watz walio wengi ambao ndio wapigakura wa uhakika. Watz wanataka maendeleo na uwatembelee kwenye vijini vyao wangapi wana access TV au mitandao ya kijamii ili waweze kusikiliza hiyo midaharo yenu!!?
Hicho ndo kichaka cha CCM kuogopa na hatimaye kukimbia midahalo. CCM ni waoga na waoga kweli kweli. Narudia tena, mgombea ubunge wa CCM ukitaka afanye mdahalo na mwanafunzi wa darasa la pili, huyo mgombea ubunge atakimbia mdahalo kwa kumwogopa mtoto huyo mtoto wa darasa la pili.
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Back
Top Bottom