Pre GE2025 CCM mnaye mbadala wa Samia Suluhu Hassan kugombea Urais 2025?

Pre GE2025 CCM mnaye mbadala wa Samia Suluhu Hassan kugombea Urais 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
 
Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
Mbadala wa Dr.Samia Suluhu Hassan ni yeye mwenyewe gentleman.

Kumbuka kiongozi huyo ni Rais na kipenzi cha wananchi na waTanzania wote, ambae pia mwenyekiti wa CCM Taifa na mgombea urais kupitia CCM Oct.2025, mbadala wake ni Dr.Samia Suluhu Hassan mwenyewe na hakuna maelezo ya ziada 🐒
 
Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
ndugu CCM ina hazina ya viongozi wengi sana hii siyo chadema mkuu ya kuvizia vizia watu wa kuazimaazima wapo wengi sana wenye uwezo mkubwa wa kuongoza
 
Sidhani kama chama tawala kina matatizo ya kupata viongozi. Ni huku kwenye upinzani ndio Bado hawajakaa sawa kwenye msingi imara wa chama Cha siasa. Wakiacha kuvurugana watajenga msingi imara ambao vyama vyao vitasinama imara kisiasa.
 
CCM ni chama kinachoheshimu katiba na taratibu zake zilizojiwekea. Nafasi ya urais kwa wanachama wengine ni hadi 2030. Rais Dr Samia atamaliza miaka yake 10 kama ilivyo utaratibu wa chama.
 
CCM ni chama kinachoheshimu katiba na taratibu zake zilizojiwekea. Nafasi ya urais kwa wanachama wengine ni hadi 2030. Rais Dr Samia atamaliza miaka yake 10 kama ilivyo utaratibu wa chama.
Hakuna huo utaratibu yeye yupo anarithi msijisahaulishe mambo ya milathi hayo
 
Back
Top Bottom