Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Mbunge wetu wa Mtama yuko vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Desipro,@desprosipero,hili la Samia kutogombea, ni kweli,angalia tarehe ya HII kitu…Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
Labda Giggy MoneyWanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
Bwana Pascal una ID ngapi Mkuu??Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
Samahani naomba kupewa elimu kidogo, kwa mfano Rais aliyepo madarakani (sio lazima huyu) akaumwa let's say afya ya akili au ugonjwa wowote utakaothibitika kwamba hawezi kuendelea kuongoza nchi, na let's ndio alikua kipindi cha mwisho (second phase 5/5) cha utawala wake, na kama katiba inavyosema atakasimisha madaraka kwa Makamu wa Rais, swali je huyu Rais mpya aliyekasimishwa madaraka ataongoza kwa kumaliza ule muda wa mtangulizi then automatically anakua katimiza kumi, kwa mujibu wa katiba. Au ataanza upya, kwamba ndio phase yake ya kwanza???CCM ni chama kinachoheshimu katiba na taratibu zake zilizojiwekea. Nafasi ya urais kwa wanachama wengine ni hadi 2030. Rais Dr Samia atamaliza miaka yake 10 kama ilivyo utaratibu wa chama.
Jinsi unavyompamba huyo Bishop wako hata kwenye ubunge tu harudi.Ni mlawi.
Huo utamaduni wenu umepitwa na wakati sio lazima kusimika maraisi wa term mbili moja inatosha mbona Magufuli amekaa term moja na karidhika hiko aliko?CCM ina Utamaduni wake
uRais ni 2030!
Wakati huohuo kuna watumishi wengi walionunuliwa kutoka chadema na kupewa vyeo huko ccm. Mfano Mtariro, Lijuliakali, n.k wakati wako wengi waliokulia ccm lakini hawajapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.ndugu CCM ina hazina ya viongozi wengi sana hii siyo chadema mkuu ya kuvizia vizia watu wa kuazimaazima wapo wengi sana wenye uwezo mkubwa wa kuongoza
Ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Hao ccm unaowasifia nguvu yao kubwa iko kwenye governmnent apparatus.Sidhani kama chama tawala kina matatizo ya kupata viongozi. Ni huku kwenye upinzani ndio Bado hawajakaa sawa kwenye msingi imara wa chama Cha siasa. Wakiacha kuvurugana watajenga msingi imara ambao vyama vyao vitasinama imara kisiasa.
Ameshawekeza kwa Mjomba wake sio?Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
Kikundi cha wahuniCcm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa. Hao ccm unaowasifia nguvu yao kubwa iko kwenye governmnent apparatus.
Huyu aliyetishiwa kugombea uenyekiti wa chadema ni kulamba sumu?Frederick Sumaye ndiye mgombea wao October
Mama?Mama anatosha, tuache uchawi
Si aondoke tu?Ameshawekeza kwa Mjomba wake sio?
Ataondoka wala usijali kabisaSi aondoke tu?