Pre GE2025 CCM mnaye mbadala wa Samia Suluhu Hassan kugombea Urais 2025?

Pre GE2025 CCM mnaye mbadala wa Samia Suluhu Hassan kugombea Urais 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
ccm ni chama chenye utamaduni wake,kila kiongozi anatumika miaka 10
 
Jhaaaa ghafka mnoo......JM bado ana nditoo MN bado anawaza.....Nchimbi oia kwa mbaaliiii
 
1.Dr.Mohammed Mchengerwa.

2.Dr.Tulia Ackson.

3.Dr.Abdallah Ulega.

4.Dr.Suleiman Jaffo.

5.Dr.Mwigulu Nchemba.

6.Dr.Dotto Biteko.

7.Dr.Luhaga Mpina.
 
Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
Huu uzi nitakuja kuutumia kama reference hapo baadae…
 
Wakati huohuo kuna watumishi wengi walionunuliwa kutoka chadema na kupewa vyeo huko ccm. Mfano Mtariro, Lijuliakali, n.k wakati wako wengi waliokulia ccm lakini hawajapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.
Wewe hukujua tu hao walikuwa CCM ila walikuwa huko CDM kwa kazi maalumu hata sasa hivi wapo wengi tu huko ila nyumb hawawezijua! 🤣
 
Huo ndio ukweli!

Kama asemavyo dokta slaa kwamba vyombo ya usalama na jeshi limechoka mambo ya samiah kutumia fedha Kwa ajili ya kampeni kabla ya wakati badala ya maendeleo!

Ni rasmi Huyu mama anaenda kuwagawa wanausalama wa nchi yetu na jeshi Kwa ujumla!

Italeta vurugu sana ndipo atashauriwa Kaa pembeni Hali so shwari!!!

Inawezekana asigombee!!
 
Samahani naomba kupewa elimu kidogo, kwa mfano Rais aliyepo madarakani (sio lazima huyu) akaumwa let's say afya ya akili au ugonjwa wowote utakaothibitika kwamba hawezi kuendelea kuongoza nchi, na let's ndio alikua kipindi cha mwisho (second phase 5/5) cha utawala wake, na kama katiba inavyosema atakasimisha madaraka kwa Makamu wa Rais, swali je huyu Rais mpya aliyekasimishwa madaraka ataongoza kwa kumaliza ule muda wa mtangulizi then automatically anakua katimiza kumi, kwa mujibu wa katiba. Au ataanza upya, kwamba ndio phase yake ya kwanza???

Mwenye kuelewa tafadhari, maana hapa kijiweni kwetu Marangu majani mapana umekua ni mjadala toka jana!!
Pascal Mayalla
Kasome katiba ibara ya 46.
 
Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
Lissu
 
Wanabodi, hili nimekutana nalo mahali kwamba kuna uwezekano Samia Suluhu Hassan akajiondoa kugombea Urais 2025. Hapa ndipo ninajiuliza ikitokea hivyo ninyi wana CCM mnaye mgombea wa akiba? Ni nani na anastahili kwa kiwango gani?
Endapo nitasikia kajiondoa nitafanya sherehe. Neno Rais linatumika vibaya kwake. Neno Rais linatumika vizuri kwa Rais wa Burkina Faso
 
Back
Top Bottom