Carica_papaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 767
- 1,272
Hajakosea. Nmevurugwa tu na huyo mbunge.Sasa mbona umemwekea dislike mtoa mada, amekosea nini
Wahudumu warembo wanavutia wanaume na wanawakeKwani ndege zinabeba wanaume tu ili wavutiwe na hao wahudumu wanawake? Ndege Zina wahudumu wanaume pia haya huyo mwilima atueleze vigezo vya mhudumu mrembo wa kiume aweje?
Muondolee basi hiyo dislike umuwekee like ili asijisikie vibayaHajakosea. Nmevurugwa tu na huyo mbunge.
Afadhali nife !When am flying, I prefer to see atleast 1 male attendant on the crew. Men are able to handle emergencies better..Sexual thoughts, lusting,kukula kwa macho has never crossed my mind
Utaajirije Air Hostess mwenye kitambi? Atavaaje sketi au Suruali?Haya mambo hayafai kuyasema hadharani
Ni insensitive sana kumuambia air hostess hana mvuto wa kuwa air hostess.
Kuna kipindi walikuwa wakiwakejeli mtandaoni, dah niliona watu hawajali kabisa hisia za watu
Kama ni ushauri unatoa tu kimyakimya kwa wahusika wanaufanyia kazi
Huyo mbunge nayeye ni mteja wa ndenge za ATCL kwaiyo wa Tanzania tusimtukane yeye katoa maoni kama habiria kwaiyo ATCL waichukulie kauli ya mbunge kama maoni wasijenge chuki.Agiza soda mkuu, hawa wanao mkosoa huyo mbunge huenda wana undugu na hao wadada
Mbunge wa Kigoma Kusini nchini Tanzania (CCM) Husna Mwilima amesema wahudumu wa ndege wanaoajiriwa na Shirika la Ndege Nchini (ATCL) hawana mvuto kwa wateja
Leo na wewe umecomment pumba baby ha ha haATCL ni kama hifadhi za taifa, nje ya ndege kuna twiga. Ndani kuna viboko, vifaru, tembo, ngiri, chatu bila kuwasahau mapapa.
Dogo kumbe unanifatilia.Leo na wewe umecomment pumba baby ha ha ha
Ndiyo, una akiliDogo kumbe unanifatilia.