anaurembo gani sasa uyo kahabaYeye sio Air hoster mkuu kwa hiyo urembo wake hauhusiani na mada tajwa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anaurembo gani sasa uyo kahabaYeye sio Air hoster mkuu kwa hiyo urembo wake hauhusiani na mada tajwa hapa
ATCL kwann wasipokee huu ukweli na kuufanyia kazi? Haaliingii akilini unalipa laki 6 wani-wei halafu kwenye ndege unakutana na ebitoke eti ndo hostess!
Ondoa uchama mkuu tujadili utu aliuzalilisha
Wewe ukiwa na dharura ya kuumwa utakataa kutibiwa hospitali kisa manesi hawana mvuto? Mi naongelea travel ambayo mtu unapangilia kwamba nikate ticket ya ndege ipi na inayoondoka lini, hivyo utachagua airline yenye mvuto.Unaelewa kama nibiashara hospitali na watu wanatengeza fedha?
Wewe ukiwa na dharura ya kuumwa utakataa kutibiwa hospitali kisa manesi hawana mvuto? Mi naongelea travel ambayo mtu unapangilia kwamba nikate ticket ya ndege ipi na inayoondoka lini, hivyo utachagua airline yenye mvuto.
Nikiwa na option ya kumpandisha mgonjwa wangu basi nitachagua kumpandisha ndege yenye mvuto katika kila nyanja, ili ugonjwa usije ukachanganyika na msongo wa mawazo safarini na hatimae akapata complications kabla hata hajafika kutibiwa.Nitakujibu kwa hii hoja yako in other ways
1. Wengine wanaenda kwa malengo hayohayo ya ugonjwa kutibiwa UK, India, Kenya nk
Utakataa kupanda ndege sababu wahudumu hawana mvuto?
2. Watu wanasafiri kwenda kibiashara nk, ukiwa na akili timamu utakataa kupanda ndege kisa urembo au ufupi wa wahudumu?
Nikiwa na option ya kumpandisha mgonjwa wangu basi nitachagua kumpandisha ndege yenye mvuto katika kila nyanja, ili ugonjwa usije ukachanganyika na msongo wa mawazo safarini na hatimae akapata complications kabla hata hajafika kutibiwa.
Mtu anaesafiri kibiashara huwa wanakuwaga na stress, sasa kupanda lindege lenye wahudumu wenye sura kama za asha ngedere ni kumuongezea msongo wa mawazo, hakuna mfanyabiashara mwenye pesa yake ataacha ndege yenye mvuto akapanda isiyo na mvuto.
WAlimwibia kura,husna kiboko ya Kafulilyee, 2020 sijui itakuaje
Hawa ndio aina ya wabunge wanaifaa ccm, unataka ccm iwapeleke wapi, ccm ukiwa Great thinker hupati nafasi ya kuteuliwa kugombea, wanapenda wa hivi kwa hiyo mkuu huyo mama ataendelea kuwa mbunge wa ccm tu hata ufanyeje, hata rais wenu anawapenda hawa wasema hovyo, alishakiri hilo kwa kigwangalaHuyu hata kibiashara kaiharibia ATCL yetu, Hawa watu wanakula kodi zetu DODOMA wamekaa tuu hawajui ugumu wa kutafuta masoko. Sisi tunapambana kubrand shirika yeye analeta masihala. CCM huyu mama mwakani wamuweke Pembeni kwa dharau izi hata fomu yake isiingie vikao vya awali kujadiliwa