Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Kwa hiyo avatar unafaa kuwa "airhostage"
Hicho ndicho alichotumwa na wananchi wake kuwakilisha huko bungeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho ndicho alichotumwa na wananchi wake kuwakilisha huko bungeni.
Haya mabunge ya ccm ni gonjwa hatari kwa ustawi wa Taifa, pole kwa wapigakura waliowachagua
SawaKwa hiyo avatar unafaa kuwa "airhostage"
Mteja haendi kiwandani na haonani na watu wa kiwandani, ila anakutana na watu wa sales/mauzo ambao huwa warembo na watanashati.Anayesema biashara ni sura za watu basi hata viwandani tuajiri warembo, na wengine waende kulima mashambani maana wataharibu biashara
Mahospitalini tuondowe madakitari na wahudumu wote wanaosemekana na sura mbovu au wafupi waende kulima mashambani
Maofisini tuondowe wote wanaosemekana na sura mbovu au wafupi waende kulima mashambani
Diplomats wetu wote wenye sura mbovu na waliowafupi warudishwe nyumbani waje kulima...maana wanaliwakilisha taifa nje ya nchi hawana mvuto watatufukuzia wafanyabishara nk
Hii ni hoja yakijinga nakipumbavu kabisa
Ubaguzi wa sura
Ubaguzi wa rangi
Ubaguzi wa maumbile nk
Hayati Baba wa taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere alipinga vikali ubaguzi. Sasa tunarudi kulekule.
Ni mchangiaji mmoja amesema eti wanatakiwa wawe warefu ili waweze kuonekana wakiwa wamsimama eti mfupi aweza kukingwa na vitiKweli Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.
Taswira ambayo huyo mama anataka ijengeke ni kwamba mwanamke ni chombo cha starehe au kuburudisha kitu ambacho sio sahihi.
Hivi ufupi inakuaje ni kigezo cha kumfanya mtu hafai?hao wahudumu majukumu yao ni zaidi ya urembo maana hata ndege ikipata dharura ni haohao ndio wanahusika na usalama wa abiria,matumizi ya vifaa vya usalama na kuhudumia wagonjwa.
Sasa katika hali kama hizo urembo wake pekee unatusaidia nini?ni lazima vigezo muhimu vizingatiwe.
Mteja haendi kiwandani na haonani na watu wa kiwandani, ila anakutana na watu wa sales/mauzo ambao huwa warembo na watanashati.
Kumbe ndio huyo aliyepora Ubunge wa Tumbiri ?, hawa ndio aina ya wabunge wanaotakiwa na ccm.After all huyo mama alipata ubunge baada ya Tumbili kuporwa kura.
Huko mahospitalini unaenda kwa shida na sio kwa raha, na ndio maana japo sindano inauma bado unaifuata, lakini kwa mtu anaetumia pesa yake na ana luxury ya kuchagua lazima atachagua airline yenye mvuto.Umesoma mpaka mwisho?
Jibu kila kipengele ndipo utaipata hoja yangu
1. Viwandani
2. Mahospitalini
3. Maofisini.....watendaji, procurement, sales nk
4. Diplomats (mabalozi, waziri, wawakilishi kimataifa etc)
Then tutaendelea
Katika kila kipengele ulicho kitaja angalia ni watu gan wana contact na wateja hua wana appearance gan, hata hospitalin mapokezi pale hua kuna wadada mashallah unapona kabla hujatibiwa wakuuUmesoma mpaka mwisho?
Jibu kila kipengele ndipo utaipata hoja yangu
1. Viwandani
2. Mahospitalini
3. Maofisini.....watendaji, procurement, sales nk
4. Diplomats (mabalozi, waziri, wawakilishi kimataifa etc)
Then tutaendelea
Huko mahospitalini unaenda kwa shida na sio kwa raha, na ndio maana japo sindano inauma bado unaifuata, lakini kwa mtu anaetumia pesa yake na ana luxury ya kuchagua lazima atachagua airline yenye mvuto.
Agiza soda mkuu, hawa wanao mkosoa huyo mbunge huenda wana undugu na hao wadadaHuko mahospitalini unaenda kwa shida na sio kwa raha, na ndio maana japo sindano inauma bado unaifuata, lakini kwa mtu anaetumia pesa yake na ana luxury ya kuchagua lazima atachagua airline yenye mvuto.
Katika kila kipengele ulicho kitaja angalia ni watu gan wana contact na wateja hua wana appearance gan, hata hospitalin mapokezi pale hua kuna wadada mashallah unapona kabla hujatibiwa wakuu
aiseeNi mchangiaji mmoja amesema eti wanatakiwa wawe warefu ili waweze kuonekana wakiwa wamsimama eti mfupi aweza kukingwa na viti
View attachment 1258348View attachment 1258349View attachment 1258350View attachment 1258351
someni vigezo vya kuwa air hostess! Tusibishane kwa emotions bali facts