zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
hakuna cha uadui wa nani nani? kasema ya kweli wale wahudumu wengi si warembo na mawigi yao kama kiota
shida kalisema wazi na bila busara (kalopoka) ila ni kweli 100% mambo ya uwajue watoto wake uone kama ni warembo hayana maana (maana sio wahudumu wa ndege, wale ndo tunataka wawe warembo) hata kuuliza yeye ni mrembo haina maana kwa sababu si muhudumu wa ndege.
chagueni watu kwa kufata sifa, acheni kubebana ndo madhara haya muhumudumi kakomaa ka mwana masumbwi
shida kalisema wazi na bila busara (kalopoka) ila ni kweli 100% mambo ya uwajue watoto wake uone kama ni warembo hayana maana (maana sio wahudumu wa ndege, wale ndo tunataka wawe warembo) hata kuuliza yeye ni mrembo haina maana kwa sababu si muhudumu wa ndege.
chagueni watu kwa kufata sifa, acheni kubebana ndo madhara haya muhumudumi kakomaa ka mwana masumbwi