CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

CCM MP has said that ATCL air hostesses are not attractive

Haya mambo hayafai kuyasema hadharani
Ni insensitive sana kumuambia air hostess hana mvuto wa kuwa air hostess.
Kuna kipindi walikuwa wakiwakejeli mtandaoni, dah niliona watu hawajali kabisa hisia za watu
Kama ni ushauri unatoa tu kimyakimya kwa wahusika wanaufanyia kazi
Hii si sahihi, kumkejeli mwenzako tena kwa kitu kinachokaribiana na ukweli.Nashauri Jamhuri iwafikishe mahakamani kwa kukashifu, wawalipe fidia wahudumu wetu
 
Leo 7-11-2019 mbunge husna SUDI KATUNDA Mwilima wa Kigoma Kusini, akiwa bungeni katika mjadala amesema ma "hair hostes" wa ATCL hawana mvuto.
Huyu ndiye liyeiba kura za DAVID KAFULILA, lakini sasa KAFULILA KARUDI CCM na MWILIMA ajiandae kuondoka mapema sana.

Bi. Husna Mwilima alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai (Kilimanjaro) aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

Huyu bi shosti hajachangia chochote katika jimbo na hana jipya, kigoma ilipoteza mtu muhimu sana kama KAFULILA WA CHADEMA, siyo huyu wa PRAISE AND WORSHIP team

1.Amesema ni wafupi na hawana mvuto wowote.

2..Ametukana zaidi ya nusu ya wanawake wa Tanzania.

3..Amewafanya wanawake wafupi kujisikia kama si Watanzania na hawajikubali.

4..Amefanya wanawake wasio na shape, shapeless kujisikia vibaya na wameadhirika kisaikolojia.

Lakini pia, huyu mama na dharau zake zote, AMEKOPA NYUMBA KIJICHI NA HAJALIPA, amesababisha shirika kuyumba sana.

WANAWAKE WOTE WAFUPI KWA MUJIBU WA MWANAMKE MWENZENU " hamna mvuto" yaani wanawake wafupi kwa mujibu wa Mwilima, hamna mvuto, hamtapata kazi tena ATCL.

Kwa wale wanafunzi wa u-hair hostes, kama wewe siyo mweupe kama mchagga na kama si mrefu katafute kozi nyingine na kama umeshalipa ada omba uhamisho wa chuo kingine kwakuwa mbunge wetu hataki watu wafupi na wasio na mvuto.


Sasa naomba niweke picha yake, muone lishepu lake kama TAIRI LA GARI , na pia mtoto wake hana uzuri wowote, kama anaona wa wenzake si wazuri basi hastahili kuwakilisha wanawake bungeni.
huyu mama kwa nguvu zote.
husna 1.jpg


husna 2.jpg


Sura yake tu imechujika hata MAKE UP imemkataa.​

attttt.jpeg


Hawa warembo wa namna na hii eti hawana mvuto anajilinganisha na lishepu lake kama la kambale?
 
We kweli kiazi mbatata we hiko kitu kitamu hivyo unathubutu kutoa maneno gani
 
Mtoto wake amependeza kuanzia kiunoni kwenda chini!!
 
Yeye kua mbaya wa sura na shepu,hakufanyi hiyo kauli ifutwe.
 
Utafananisha chuma hicho na earhostess wako!?
 
jaji mfawidhi,
Hawa warembo na,na hii eti hawana mvuto anajilinganisha na lishepu lake kama la kambale?
[/QUOTE]
Kabla ya haya yote ukiacha kuwa watoto wake hawana mvuto lakini kamaliza kulipia nyumba za NSSF Kijichi au stress. ndio hizi
 
Uzuri wa mwanamke upo ndani, kwa nje mnajiongopea.
 
Yuko sahihi kuwa wenye mvuto wanatakiwa kuwa hostes lkn wasio na mvuto kama yeye na mwanae watafute kazi nyingine
 
Back
Top Bottom