Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
m'bembe huyu, Muha atambe, huyu asili yake ni huko KongoHivi muha anathubutuje kuwaita wengine wafupi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
m'bembe huyu, Muha atambe, huyu asili yake ni huko KongoHivi muha anathubutuje kuwaita wengine wafupi?
Unataka kusema huyu Husna anajipaka mafuta ya MAWESE? ha ha ha ha hambona yeye hata hana hadhi ya kupanda ndege?
Tumetoka kwenye Undugulization saizi tunaelekea kwenye Mvuto.. Vip kuhusu sisi wenye sura za kazi..
uzuri wa mwanamke upo ndani.. kwa nje mnajiongopea.
kabisaaaaaaaaaa sijui kama kaolewaUnataka kusema huyu Husna anajipaka mafuta ya MAWESE? ha ha ha ha ha
watakuwa wanajipigia tu, wanawake wenzangu sijui vipikabisaaaaaaaaaa sijui kama kaolewa
Acha kujipotosha wewe, uzuri nje, tabia tutajuana huko ndani ya nyumba.
Mbona ebitoke hagombaniwi kama Hamisa mabeto na wema sepetu au Nandy?
Serikali Wakisema waangalie mvuto, wengi sana watakosa kazi
yes, i can see, sasa wakwe zangu WALUGURU watabaki kuuza miwa PALE MSAMVUNafikiri hii ni aina nyingine ya Ubaguzi, Take care of your Own
Wengi wa hao ma air hostess itakuwa ni wasukuma, maana wasukuma wana masura mabaya na hawana mvuto hata kidogo.
Ebu waende moshi wakachukue warembo kule
Ni wazee Kama wa ATCL 😂😂Umewahi panda KLM ukaona wahudumu wake?
Hiyo Mwilima aka giza ndo imenifanya niwaze hivyo.m'bembe huyu, Muha atambe, huyu asili yake ni huko Kongo
Yes, natafuta picha ya yule mwanawe anayesoma st Joseph universityHiyo Mwilima aka giza ndo imenifanya niwaze hivyo.
Kumbe ni wa nchi jirani.
Kwa hilo upo sahihi mkuu.Mapimbi ya kijani bana badala ya kujadili shida za watanzania yanajadili pumba tupu.