CCM msitumie Machawa kumjibu LISSU, ni Heri kua kimya, Ubaya wa Lissu anazungumza Ukweli na Haki, ni ngumu mno kujibizana naye

Naona kama Hakimu kaji changanya amemfunga Jela Mwanasheria, Baada ya muda mfupi wafungwa wote wataelimika... Maana watapata elimu ya kisheria bila ada.. Na kukata rufaa..

Sasa mfumo wa Siasa za Lissu ni hotuba zenye shule ndani yake Sasa mbumbumbu wote wanaotumika kama mtaji wataelimika na kuelewa kufanya mabadiliko...
 

Hawajawahi kuwa na mtu. Nilishasema hapa Lissu kawazidi kila kitu. Mtafute msomi wao mkubwa afanye debate na Lissu kama atakubali. Watatuletea machawa kuongea ujinga ujinga lakini hakuna mtu anaweza ku debate na Lissu CCM yote huo ndio ukweli.

Lakini ni ngumu kushindana na hali mbaya ya rushwa, Haki na umasikini. Ni ngumu ku debate na ukweli
 
Hakuna mwenye akili anamfuatilia huyo mropokaji na mzushi. Huyo ni kibaraka la wazungu. Unajua familia yake iko wapi? Anataka kutuharibia nchi yetu afie huko
 
Hakuna mwenye akili anamfuatilia huyo mropokaji na mzushi. Huyo ni kibaraka la wazungu. Unajua familia yake iko wapi? Anataka kutuharibia nchi yetu afie huko
Mkuu Mimi sina Chama ila naamini ili ukue lazima ubadilike. Mtu mmoja hawezi kuharibu nchii.. Huyu Lissu ana exposure nje ya nchi... Kwa mujibu wa maelezo yake mkewe na watoto wanaishi ughaibuni na wana shughuli wanafanya..
 
Aanze na Siasa za Kikampeni sasa sio akomalie mabadiriko ya mfumo wa uchaguzi pekee, hilo ni eneo moja tu kwenye mengi yenye mapungufu makubwa.

1. Kuna issue ya Uchumi wetu kuwa mikononi mwa wageni. Anasemaje bila kukewa wawekezaji serious.
2. Tatizo la Ajira.
3. Mfumo wa Elimu.
4. Kilimo
5. n.k
 
Reactions: Ame
Hana record ya kuonyesha angalau Jimbo lake ajira zilitengenezwa, angalau number ya watoto waliosomeshwa Kwa Juhudi za local government zingekuwepo tungesema tutegemee makubwa...Kwenye ukosoaji yupo vizuri, lakini kwenye utendaji no, Bado hujani shawishi kuwa ataleta mabadiliko makubwa
 
LISSU hatua alofikia ni ASOOGOPA CHOCHOTE

Kama haogopi chochote ebu twambie kwanini familia yake ipo Ubeleji na yeye anaishi Bongo kama CHOKORAA!!!


Ona toto la shule jinga hili! Limetoka zero kabisa. Limeshindwa kuelewa hata hoja!!
 
Aisee, umenena vema....wengi bado hawajamuelewa TAL...
IPO HIVI: Mama alikuja na falsafa nzuri ya 4R, lakini wanaomzunguka wameichakachua na kuipotezea maana.
TAL kaja na "No Reforms, No election"; bado wasioamini wanaichukulia poa.
Kwa akili kubwa tukiunganisha hizi falsafa, zitatukwamua hapa tulipokwama kama Taifa!
 
Ona toto la shule jinga hili! Limetoka zero kabisa. Limeshindwa kuelewa hata hoja!!
Ungelijibu hoja ungelikuwa na akili kulingana na Mimi. Ila kwakuwa umeshindwa basi uwezo wako uko chini yangu! Ahahahahaha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…