Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
Nina wasi wasi sana kama ulicho andika umekifanyia utafiti, au ni kujaza maandiko kwenye hii JF ? Mwenye kuelewa siasa za Tanzania kwa ukweli na kwa utafiti unamfanya aanze kujenga wasi wasi na maandiko mengi utakayo shusha hapa hapo baadaye. Jitahidi usimshirikishe mungu kwa maandiko ambayo hujafanya utafiti wa kutosha.Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi ccm haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu ccm haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.
Mwambie aliyekutuma kuwa CCMSitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi ccm haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu ccm haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.
Maneno haya ya Mwalimu Nyerere ni ushahidi wa CCM kutawala milele" Rais bora atatoka CCM". ni ukweli mchungu lakini lazima mkubali Hilo.
Kila nikifikiri ni kwa namna gani CCM itaondoka nakosa majibu ya kuniridhisha hivyo Imani na matumaini yangu ya CCM kutawala milele yakishika kasi.
Ukweli ,CCM haina mpinzani hata tukibeza ukweli huu utatuweka huru tukiweka matumaini ya CCM kutawala milele kuliko kutoka miaka ya karibuni
kuna tetesi kwamba Polepole kishanunua nyumba Kigali kishajipanga kukimbilia hukoSitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi ccm haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu ccm haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.
Mawazo uliyo nayo wewe leo ndio mimi pia nilikuwa nayo kabla ya July,2017, Baada ya kupata kibarua cha kuwa National Sales Manager wa kampuni kubwa binafsi ya usambazaji bidha za matumizi mbali mbali ya nyumbani, ilinipa fursa ya kutembelea karibu Wilaya zote na hasa miji mikubwa na midogo karibu maeneo yote ya Tanzania.
Nimejifunza mengi katika mzunguuko huo ambao nakaribia miaka 3, hali hiyo imenibadilisha sana na nilivyokuwa nafikiri kabla kuhusu kukubalika kwa vyama hasa vyama vya upinzani kulinganisha na CCM, kwa ushuhuda wa matembezi ya kikazi nilibadilisha muono wangu. Hatuna mgombea wa kuitikisha CCM kwa nafasi ya Urais labda kwa ushabiki. Tuna kazi ngumu sana ya kufanya na tunahitaji kufanya kazi ya kutosha.
Nina wasi wasi kuwa hata wabunge wa majimbo wanaweza wakapungua sana. Sidhani hata kumtikisa Mkulu tutaweza labda afanye blanda kubwa ambayo itamwodolea imani wapiga kura.
KWA MFANO: Ukisema hana uwezo wa kujieleza vizuri au kuelezea masuala ya kitaifa na kimataifa vizuri, MAJIBU....walikuwepo waongeaji wazuri sisi walitusaidia nini, sisi tunataka kazi na tunataka matokeo tuu na sasa tunaona jaribu kutembea nchi nzima inajengwa leo hii.
Ukiwaeleza jamaa amebana sana upande wa siasa
MAJIBU.. sasa kazi yetu ya kulima siasa inatusaidia nini?
Walioko vijijini wanaona tufauti ndogo sana ya mapato kati ya siku za nyuma na kulinganisha na leo. Hasa ukitilia maanani mazao yao mengi ya kilimo wanayauzwa na wanapata pesa labda kwa mazao machache ya biashara.
Kuna mengi ningechangia humu, lakini kwa kifupi elimu ya demokrasia bado sana miji mingi midogo na vijijini. Ngoja wazoee umeme, maji, barabara, na hospitali mpya zilizojengwa nina hakika baada ya kuzoea, mahitaji yao yatakua na hapo ndipo wataanza kuigeukia CCM kwa kuhitaji mambo mengi Zaidi..
Na wenzetu CCM wameweka watu wao katika kila ngazi ya utawala kuanzia nyumba kumi.
UPINZANI BADO TUNA KAZI KUBWA YA KUFANYA. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi ccm haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu ccm haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.
Sijawah kusikia taarifa ya USA kuhusu democrasia ya China... Tumejirahisisha sanaNi ajabu sana kuwa washabiki was CCM hamtaki kuamini hivyo lakini walio madarakani wameshaujua ukweli huo ndio maana wanataka kutumia ujio wa ugonjwa wa Corona kama excuse ya kuahirisha uchaguzi wa Octoba.
CCM wanajua wazi kuwa kiburi cha Magufuli kimewaponza sana na kuwaondolea trust ndani na nje ya nchi na akakosekana wa kumshauri.
Suala la Tumehuru wamegundua wapinzani hawatanii tena, na nchi wahisani wameshika bango. Jee wataponea wapi?View attachment 1395442
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Gerald Magembe, kwanza asante kwa mchango huu, kama kuna Chadema wenye akili na wamekusoma hapa, wata copy na kuwatumia viongozi waoMawazo uliyo nayo wewe leo ndio mimi pia nilikuwa nayo kabla ya July,2017, Baada ya kupata kibarua cha kuwa National Sales Manager wa kampuni kubwa binafsi ya usambazaji bidha za matumizi mbali mbali ya nyumbani, ilinipa fursa ya kutembelea karibu Wilaya zote na hasa miji mikubwa na midogo karibu maeneo yote ya Tanzania.
Nimejifunza mengi katika mzunguuko huo ambao nakaribia miaka 3, hali hiyo imenibadilisha sana na nilivyokuwa nafikiri kabla kuhusu kukubalika kwa vyama hasa vyama vya upinzani kulinganisha na CCM, kwa ushuhuda wa matembezi ya kikazi nilibadilisha muono wangu. Hatuna mgombea wa kuitikisha CCM kwa nafasi ya Urais labda kwa ushabiki. Tuna kazi ngumu sana ya kufanya na tunahitaji kufanya kazi ya kutosha.
Nina wasi wasi kuwa hata wabunge wa majimbo wanaweza wakapungua sana. Sidhani hata kumtikisa Mkulu tutaweza labda afanye blanda kubwa ambayo itamwodolea imani wapiga kura.
KWA MFANO: Ukisema hana uwezo wa kujieleza vizuri au kuelezea masuala ya kitaifa na kimataifa vizuri, MAJIBU....walikuwepo waongeaji wazuri sisi walitusaidia nini, sisi tunataka kazi na tunataka matokeo tuu na sasa tunaona jaribu kutembea nchi nzima inajengwa leo hii.
Ukiwaeleza jamaa amebana sana upande wa siasa
MAJIBU.. sasa kazi yetu ya kulima siasa inatusaidia nini?
Walioko vijijini wanaona tufauti ndogo sana ya mapato kati ya siku za nyuma na kulinganisha na leo. Hasa ukitilia maanani mazao yao mengi ya kilimo wanayauzwa na wanapata pesa labda kwa mazao machache ya biashara.
Kuna mengi ningechangia humu, lakini kwa kifupi elimu ya demokrasia bado sana miji mingi midogo na vijijini. Ngoja wazoee umeme, maji, barabara, na hospitali mpya zilizojengwa nina hakika baada ya kuzoea, mahitaji yao yatakua na hapo ndipo wataanza kuigeukia CCM kwa kuhitaji mambo mengi Zaidi..
Na wenzetu CCM wameweka watu wao katika kila ngazi ya utawala kuanzia nyumba kumi.
UPINZANI BADO TUNA KAZI KUBWA YA KUFANYA. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mkuu Gerald Magembe, michango kama hii yenye ukweli mchungu ndio itawasaidia wapinzani wa kweli. Numbers don't lie, CCM ina wajumbe wa shina, wale wajumbe wa nyumba kumi, huko ndio grassroots level, baada ya wajumbe wa mashina, wana mashina ya wakereketwa karibu vijiwe vyote ni CCM, wanakuja matawi, wanakua vijiji, kata, wilaya, jimbo, mkoa. Ndani ya ofisi zote za CCM kuna Jumuiya zao tatu za wanawake, vijana na wazazi, wakati kwenye vyama vya upinzani kuna maeneo hakuna hata ofisi moja ya chama chochote cha upinzani wilaya nzima.
Nikawashauri Chadema as the main opposition party, they should invest on people, kwa kutumia modern ways of mass mobilization through mass communications. Fedha zilizotumika kununua yale mandinga makubwa ya M4C zingetosha kabisa kuanzisha redio yake, tv yake, gazeti lake na interactive online forum ili to reach the masses wa grassroot level, wao wameng'ang'ania siasa za kiharakati za mikutano ya siasa na maandamano.
Utamwambia nini mtu anayesomeshewa bure watoto wake, kapatiwa maji, barabara, hospitali na huduma muhimu za jamii?.
Kila ukiwaambia ukweli huu wa 2020 Chadema wanakarika na kutukana hovyo humu mitandaoni.
P.
Mkuu Rubawa, kwanza ni kweli miongoni mwa wapinzani, kuna wapinzani wa kweli, wachumia tumbo na wasaka fursa, baada ya Bunge kuvunjwa wachumia tumbo na wasaka fursa, wote watajitimkia zao, watabaki wapinzani wa kweli tuu, swali linakuja kwa political dynamics za sasa na the political landscape ya Mafulification, jee watatoboa au ndio tunarudishwa mfumo wa chama kimoja?.Naunga mkono hoja atuna wapinzani tunawachumia tumbo na hizi kelele za tume Uhuru sijui kwenda kuonana Mh Rais ni kwenda kuomba kwenye maigizo ya uchaguzi wa mwaka huu nao wapewe majimbo kadhaa kwa Ajiri matumbo yao...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Rubawa, kwanza ni kweli miongoni mwa wapinzani, kuna wapinzani wa kweli, wachumia tumbo na wasaka fursa, baada ya Bunge kuvunjwa wachumia tumbo na wasaka fursa, wote watajitimkia zao, watabaki wapinzani wa kweli tuu, swali linakuja kwa political dynamics za sasa na the political landscape ya Mafulification, jee watatoboa au ndio tunarudishwa mfumo wa chama kimoja?.
P
Mkuu Rubawa, kama ni Maalim Seif, please huyo mwache kwasababu uchaguzi wa 2020 kwake ni do or die, hivyo katika maandalizi ya mpambano wa mwisho, atakuwa tayari kwa lolote. Baada ya kuonja ving'ora ile 2010-2015, halafu akavikosa 2015-2020Kwangu kheri chama kimoja kuliko huu usanii na maigizo haya tulio nayo mfano mdogo Kuna kauli mbili toka kwa mtu mmoja ndani wiki moja Angalia Mahojiano ya Maalim Seif wakt katoka Ikulu kuomba kupewa japo Umakamo wa kwanza Rais Znz mwaka huu hlf siku mbili mbele amefanya mahojiano Global TV angalia tna amesema nn khs Magufuli na serikali yke...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Rubawa, kama ni Maalim Seif, please huyo mwache kwasababu uchaguzi wa 2020 kwake ni do or die, hivyo katika maandalizi ya mpambano wa mwisho, atakuwa tayari kwa lolote. Baada ya kuonja ving'ora ile 2010-2015, halafu akavikosa 2015-2020
amejutia makosa yake, hivyo sasa kwa 2020 hawezi kufanya tena makosa, yuko tayari kusema chochote, kufanya chochote ali mradi 2020-2025 ni ving'ora tena.
P
Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda
Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi ccm haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda kuwaondoa madarakani kimchezo mchezo.
Wale mliokwapua pesa za umma muanze kuzilejesha bila kusahau mliokuwa mnafanya maovu mjindae kweli kweli.
Naapa kwa jina la baba la mwana na roho mtakatifu ccm haitarudi madarakani kwa sababu ya ubishi na mtakuja kukumbuka maneno yangu mlikuwa na muda wa kujirekebisha ila kibri kibri mjiandae kisaikolojia.