CCM Mwisho wake kuwepo kama chama tawala ni 2020

Inaweza ikawa kweli maana huyu jamaa noma aliomba Corona ije Tz ikaja,hivyo na hili linaweza likatokea kweli.
 
Kweli aisee, CCM ya sasa ni CCM ya Mwenyekiti (Magufuli) na si CCM ya wanachama. Nikimanisha kuwa wanachama hawawezi amua jambo lolote likafanyiwa kazi isipokuwa matakwa ya Mwenyekiti tu ndio yanageuka kuwa matakwa ya wanachama!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati nasema niache tu hata kuchangia maana mada kama hizi za ukichaa au za digree ya 32 au ulofa katika ubora wake mimi sijui, sijui ni matumaini wanayojipaga Ufipa hata kama mtu ajaende shule na hajui kufanya tafiti hawezi kuandika ujinga kama huu, alafu vijana wa ufipa wanatiririka kuchangia utafikiri mazuzu, hii ni aibu sana si kwa Ufipa na upinzani lakini kwa taifa hata sisi tunaona aibu sana eti kisa mitandao iko wazi basi unatoka na hisiha zako za kilofa unaandika tu.
Unaijua CCM wewe?

Kama maandamano mlishindwa, sera za kupambana na ufisadi mlishindwa, mambo ya maendeleo mnapinga sasa mnafikiri watanzania hawa wajinga hawasikii ulofa wenu, alafumnasema CCM mwisho 2020 huu si upumbafu wa kujilisha upepo.

Kwanini mmekuwa wajinga kiasi hiki, mlipokea mfumo wa vyama vingi hili kuwa malofa(mmekili) au mlipokea mfumo wa vyama vingi hili kupinga kilakitu hata kama ni chema kwa taifa. Kwanini mnawaza kwenda Ikulu wakati hamna sifa hata moja ya kuwafikisha huko. Vyama vyote vya upinzani wenyeviti wanahisia za umiliki wa vyama vyao sasa iweje tumpe mtu 1 nchi kwa maslai yake binafsi na nduguzake itawezekana kweli?Kwani sababu ya kwanza ya kuletwa kwa mfumo wa vyama vingi ni kubadirishana vijiti sasa tuwaamini kwa lipi wakati Freeman anakaa mika zaidi ya 20 katika kiti?
Mimi nasema kama hamkubadilika hivi mlivyo hata mzikili bila nguo hamtoiona Ikulu hadi Yesu hatakaporudi katika nchi ya Watanganyika na Wanzinzibari.
 
Naomba niombe Radhi kwa kuleta dini kidogo kwenye ili maandiko yetu Waislamu yanasema ukiona japo Baya linafanyika unatakiwa uliondoe ukishindwa likataze ukishindwa kbs onyesha kuchukia juu jambo ilo lipi hapa Mh Rais ameonyesha kati ya hayo...
Sent using Jamii Forums mobile app
 

This is what people or rather citizens of Tz term as “DAY-DREAMING”!!
 
Una matatizo makubwa kichwani mwako! Wahi kwa Daktari.
 
Mkuu una uhakika na mada yako au umeandika tu ili kujaza servers za JF>??>>>>>>
 
This is chimpumu not beer.
 
Acha uongo kila mtu anafanya hizo field ,kwanzaa huko vijijini wanasema huyu baba achatu ,nimawakala wangapi wapembembejeo huko mikoani wamezulumiwa helazao ,wengi wamekufa kwa presha namadeni .

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kutamba kote huku ni kwa sababu ya uhakika mlio nao wa kutumia Usalama wa Taifa kubadilisha matokeo na kuyaweka mnavyotaka kwa nguvu ya dola, si kwa nguvu ya vote.

Jeuri yote hii ni kutokana na kiburi cha kudhani kuwa CCM ni chama cha Mungu: eti kitakaa madarakani milele. Ni ulevi wa madaraka mnayohodhi kwa nguvu, na kiburi cha kujiona mnajua kila kitu. MTAANGUKA saa msiyoijua. Na baada ya hilo anguko HAMTAONEKANA tena.

Kiburi hutangulia mauti. Mmedhulumu na kuishi kwa damu na jasho la watanzania kwa zaidi ya nusu karne. Hata mizimu yenu na matambiko yenu yanajua, kwamba Mungu wa mbinguni huchoshwa na dhulma ya wenye majivuno na kibri.

MTAONDOKA NA SI MUDA MREFU. Jitahidini tu kuwa wanyeyekevu, ili siku yenu ya dhiki ikifika, mtendewe kwa huruma kuliko mnavyowatendea wenzenu sasa.

Pure FACTS.
 
Jiandikisheni Uandikishaji unaendelea nawahakikishia serikali ya Ccm inaanguka mwezi october tokeni mjiandikishe kwa wingi maana mwaka huu hakuna uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi na ikipatikana Magufuli hana chake.
 
Hahah [emoji3]
Chadema wakishashiba mbege bwana

Ccm haiwezi kukabidhi Nchi kwa wahuni haitotokea, hatuwezi kumdhalilisha Nyerere
 

Hicho kiapo chako mungu atakitema kama mate tu, atakiona kama kimetoka kwa shetani.
 
Jiandikisheni Uandikishaji unaendelea nawahakikishia serikali ya Ccm inaanguka mwezi october tokeni mjiandikishe kwa wingi maana mwaka huu hakuna uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi na ikipatikana Magufuli hana chake.
Kwa chadema hii ambayo hata wabunge wanamdharau mwenyekiti wao akisema twende kushoto wao wanaenda kulia ndio waikutoa ccm?

Au kuna upinzani gani mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…