chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Kamanda wa konyo, Mbowe kwenye maandamano ya Akwilina alipoona makamanda wa polisi alitoka mbio kwa spidi ya sauti, Sasa kwa nini awakimbie makamanda wenzake? Angeomba lichorwe box chini, aingie ndani wazichape.
Kigaila eti naye kamanda, na ule urefu , mifuko ya mashati yake imejaa sigara tu
Kigaila eti naye kamanda, na ule urefu , mifuko ya mashati yake imejaa sigara tu