Samahani Naomba kuuliza; ulikueopo Kwenye viwanja vya maandamano na ukashuhudia pasina shaka kwamba FAM alikimbia KWA speed ya Sauti?Kamanda wa konyo, Mbowe kwenye maandamano ya Akwilina alipoona makamanda wa polisi alitoka mbio kwa spidi ya sauti, Sasa kwa nini awakimbie makamanda wenzake? Angeomba lichorwe box chini, aingie ndani wazichape.
Kigaila eti naye kamanda, na ule urefu , mifuko ya mashati yake imejaa sigara tu
Unamjua aliyemuua Chacha Wangwe? Ndio huyo unayemteteaSamahani Naomba kuuliza; ulikueopo Kwenye viwanja vya maandamano na ukashuhudia pasina shaka kwamba FAM alikimbia KWA speed ya Sauti?
Unaweza kutuambia ni nani aliyejenga msingi wa yale maandamano mpaka wanachadema wakaandamana?
Ambacho kingefurahisha ni kipi kwamba Askari wauewe raia wengi zaidi katika eneo la tukio ndio ingekua kina mbowe ndio wamechagiza maandamano na sio kwamba Kuna mtu alijenga mazingira maandamano yatokee Ili ipatikane sababu ya kuwavictimize chadema?
Dada yetu (Akwilina) aliuwawa kikatil na kamanda bila aibu akasema risasi ilipigwa hewani means wanachadema waliingia Kwenye daladala wakamuua dada yetu! Na kupitia wizara ya Elimu serikali ikagharimia mazishi na kuahidi kumsomesha mdogo wake akwlina!
Kuna mtu anakalia kile kiti KWA damu ya akwlina kwako ni raha!
Btw
Mada husika haijajikita KWA kile ambacho umepresent (chawa vs kamanda)
Hapa Kwenye platform utadhani unapata umaarufu na kujifurahisha KWA damu za watu na kejeli Ila karma will haunt you KWA kuwashabikia wauwaji na chawa wanyonyaji kama sio kwako hata KWA kizazi chako!
Bahati mbaya zaidi ni kuwa wakubwa wameshalibariki hadharani.Chawa wa mama ni wafuasi na mashabiki wa mama.
Hili jina chawa siyo sawa kwenye jamii, kwa kuwa chawa huambatana na watu wachafu. Pia chawa ni wadudu wasiotakiwa kuambatana na binadamu anayejielewa.
Tunawafundisha watoto na jamii kwa ujumla kuepuka uchafu ili wasisumbuliwe na chawa.
Tunaichanganya jamii.
CCM ni CHAWA na CHADEMA ni KUPE- huu ndio mlinganisho mzuri wenye mantikiWanaJF Salaam!
Nimeona leo kwenye mitandao ya kijamii issue ya uzinduzi wa Chawa wa Mama kwa upande wa CCM yangu;
Lakini upande wa CDM mara kadhaa majina ya kimkakati ya uendeshaji siasa nchini yanaitwa Makamanda, Operesheni Sangara nk.
Nachojiuliza ni kwa nini ndg zangu hawa wakubali kujiita Chawa wa Mama? Fasiri nyepesi ni ipi?
Mpaka sasa sijaamua kuwa kundi la chawa mpaka hapo nitakapopata uelewa juu ya dhana hii.
Msakila Kabende
Kakonko
Hata marehemu Muhidin Guromo/Ngurumo wa msondo naye walimuita "kamanda", hii nakutoa hofu isikustue sana.
CCM imeweka misingi na mizizi mikubwa sana kwenye nchi hii.
Kwa kawaida chawa huishi na kuneemeka na damu kwenye nguo na miili michafu kwa hiyo kujiita chawa wa mtu fulani wazi wazi ni dhahiri nguo au mwili uliotajwa wanaishi kwake unatia shakaWanaJF Salaam!
Nimeona leo kwenye mitandao ya kijamii issue ya uzinduzi wa Chawa wa Mama kwa upande wa CCM yangu;
Lakini upande wa CDM mara kadhaa majina ya kimkakati ya uendeshaji siasa nchini yanaitwa Makamanda, Operesheni Sangara nk.
Nachojiuliza ni kwa nini ndg zangu hawa wakubali kujiita Chawa wa Mama? Fasiri nyepesi ni ipi?
Mpaka sasa sijaamua kuwa kundi la chawa mpaka hapo nitakapopata uelewa juu ya dhana hii.
Msakila Kabende
Kakonko
Hata kupe, mjusi, nge, nyoka, nzi aina zote hawafai kuwa sehemu ya maisha na ufahamu wa binadamu.Mimi kuna viumbe wanne nikionaga lazima nimuuue by any means..
1. Panya
2. Mende
3. Kunguni
4. Chawa
Yaani nikiwaona hawa viumbe lazima, narudia lazima nimtoe roho
Eeeh kumbe, walikopa kwa nani?Unawaongelea watu wanaohama nchi kwa madeni ya vicoba
Joyce GeweEeeh kumbe, walikopa kwa nani?