Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Usisahau kazi kubwa aliyofanya ya kupaisha Deni la taifa kwa Kipindi Kifupi tu cha miaka mitano.Mbeleko ya ccm kushindwa uchaguzi hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba wana mchango ccm kushinda kwa kishindoMh.. Wanajua nini?
Wao huwa wanapigia kura wananchi?Kwamba wana mchango ccm kushinda kwa kishindo
Haahaa cha msingi wao mshiko uingie.kwa sasa makada wamepenyezwa kote, sio mahakama, polis, bungeni wala kwenye tume.upinzani wasahauWanapewa shinikizo kubwa sana, sina hakika wanafurahia hata maisha nafsi zao zinawasuta sana, mfano yule mkurugenzi Kibamia.
Kura zipi Mkuu? Hizi za kutangazwa huku mawakala wamenyimwa nakala za matokeo?Wao huwa wanapigia kura wananchi?
Mwongo ww bure kabisaCCM haujawahi kufanya kosa tangu iundwe
Hiyo sio kweli. Chadema na Act waongo. Hicho kitu hakiwezekani.Kura zipi Mkuu? Hizi za kutangazwa huku mawakala wamenyimwa nakala za matokeo?
Endapo mzee Mangula aliwahi tamka haya basi taifa linahitaji mapinduzi na si mbali yanakuja.Mipango haramu ya ccm kuiba kura Kama uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ,imeivaView attachment 1467816
Kiwezekane Mara ngapi? Umesikia tume ikikanusha?Hiyo sio kweli. Chadema na Act waongo. Hicho kitu hakiwezekani.
Demokrasia IPI? Ndani ya chama tu imewashindaCcm itashinda kwa demokrasia Mkuu
Vile vyama vya siasa waliowekeza kwenye matusi watarajie kupotea
Kama upinzani wa kushindana na CCM haupo bunduki na mabomu ya nini? CCM bila mabavu na mbeleko ya vyombo vya dola ni wepesi saaaana yaani ushindi saa nne asubuhi tu.Kwanza upinzani wa kupambana na CCM haupo.Kuhusu miradi ya maendeleo itaisha haijalishi kwa wakati ama nje ya wakati.
Kuhusu maisha kuwa magumu hakuna utawala uliingia madarakani kisha wananchi wakasema wazi maisha ni mepesi.
Yote kwa yote jitahidi upambanie maisha yako kwa kadri utakavyoweza,kwani tulipotoka tunapajua ila twendapo hatupajui.
Mkuu mimi nasema hivi kwa CDM ya sasa,awe mgombea yeyote wa CDM alafu ashindane na kuku yani CDM VS KUKU.Kama upinzani wa kushindana na CCM haupo bunduki na mabomu ya nini? CCM bila mabavu na mbeleko ya vyombo vya dola ni wepesi saaaana yaani ushindi saa nne asubuhi tu.
Wewe umekaririshwa tu, sisi ambao tuko field ndiyo tunajua nguvu ya chama chetu kwani kazi tuliyoifanya kimya kimya kwa miaka hii minne imewatisha hata wazito ndiyo maana fujo zoooote hizi za matumizi ya mabavu ya dola, kununua wapinzani uchwara, kuvuruga mchakato wa uchaguzi mkuu ujao kwa kuwanyima mawakala wa vyama form za matokeo toka kwenye vituo vya kupigia kura. Wewe bisha kwa vile ndiyo kazi inayokuwezesha kuishi, lakini kama uwanja ukiwa sawa kabisa wa uchaguzi CCM mnalamba sakafu mapema tu.Mkuu mimi nasema hivi kwa CDM ya sasa,awe mgombea yeyote wa CDM alafu ashindane na kuku yani CDM VS KUKU.
Kwa jinsi watanzania walivyoichukia CDM kwa tabia yake ya kupinga kilakitu KUKU atapata kula za kishindo cha Corona.
Unajua chaguzi serikali mitaa 2019; 99%, unadhani nini kilipelekea maamuzi yale? Waulize watendaji mitaa ,vijiji na viongozi wa dolla waliagizwa nini baada ya utafiti kuonyesha upepo mbaya ccm!?Mkuu mimi nasema hivi kwa CDM ya sasa,awe mgombea yeyote wa CDM alafu ashindane na kuku yani CDM VS KUKU.
Kwa jinsi watanzania walivyoichukia CDM kwa tabia yake ya kupinga kilakitu KUKU atapata kula za kishindo cha Corona.
Mkuu huyo ni ngumbaru hata umueleweshe vipi hawezi kuelewa lakini wenye chama chao wanajua mziki wa Chadema siyo wa kitoto.Unajua chaguzi serikali mitaa 2019; 99%, unadhani nini kilipelekea maamuzi yale? Waulize watendaji mitaa ,vijiji na viongozi wa dolla waliagizwa nini baada ya utafiti kuonyesha upepo mbaya ccm!?
Kama upepo mbaya kwa CCM kwa nini mliweka mpira kwapani ?Unajua chaguzi serikali mitaa 2019; 99%, unadhani nini kilipelekea maamuzi yale? Waulize watendaji mitaa ,vijiji na viongozi wa dolla waliagizwa nini baada ya utafiti kuonyesha upepo mbaya ccm!?
Bila watendaji kuagizwa kukimbia ofisi kuwakwepa wagombea Wa upinzani ccm ilikuwa inapigwa asubuhi tu serikali za mitaaKama upepo mbaya kwa CCM kwa nini mliweka mpira kwapani ?
Umeishia la ngapi?Dola lazima itumiwe vizuri tu. Polisi lazima walinde usalama wa raia na mali zao,Pccb lazima wadhibiti rushwa, Jwtz lazima walinde mipaka ya nchi yetu. Na uchaguzi utafanyika kwa amani. Dola haitumiwi kumlazimisha mtu aichague Ccm
Bali watu wamelidhika na uchapa kazi wa JPM.