Uchaguzi 2020 CCM na NCCR Mageuzi watwangana makonde Bariadi kila chama kikituhumu kingine kuwa chanzo cha vurugu

Wafuasi wa CCM na NCCR Mageuzi wamerushiana makonde wilayani Bariadi na kusababisha kijana mmoja kuumizwa kichwani na kupoteza fahamu.....
Inafahamika kwamba CCM ndo chama chenye vurugu mara wapigane na wafuasi wa CHADEMA mara ACT mara NCCR sababu hawakutaki kushindwa ila mwaka huu lazimawataelewa nguvu ya umma ninini
 
Ugomvi wa mume na mke ndani ya familia.
 
Hao ni mtu na mkewe tuwaachie ugomvi wao usiku wakiwa kitandani watayamaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…