CCM na RPF ni vyama ndugu tangu lini?

CCM na RPF ni vyama ndugu tangu lini?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Nijuavyo mimi RPF kimepindua kuingia madarakani, CCM ilishiriki vipi kwenye mapinduzi ya Kagame hadi CCM kuvialika RPF na CNDD-FDD?

Chama cha mambuzi bhana!!!!

 
Kuna wimbo utotoni tulikuwa tunaimba wa "RPF ni ngome yangu, nimuogope nani". Huenda kweli ni vyama rafiki na ni urafiki wa muda mrefu
 
Rafiki yako wa kwanza ni jirani yako. Ujirani wa Rwanda na Burundi umepelekea CNDD-FDD na RPF kuendeleza urafiki na CCM kwa kuwa vyote ni vyama tawala.

Hii ikiwa na maana ya kwamba Sera za Serikali ya Rwanda Zinaandaliwa na RPF na vivyo hivyo kwa Tanzania na CCM na hapo kutakuwa na urafiki baina ya vyama hivyo.

Rwanda kuwa mwanachama wa EAC anakuwa na urafiki na kila kinachohusiana na EAC na mojawapo ni CCM
 
Nijuavyo mimi RPF kimepindua kuingia madarakani, CCM ilishiriki vipi kwenye mapinduzi ya Kagame hadi CCM kuvialika RPF na CNDD-FDD?

Chama cha mambuzi bhana!!!!

 
Wacha wawe marafiki tu, naona matendo yao yanafanana kwa kiasi kikubwa.
 
Kuna wimbo utotoni tulikuwa tunaimba wa "RPF ni ngome yangu, nimuogope nani". Huenda kweli ni vyama rafiki na ni urafiki wa muda mrefu
Manyani hucheza pamoja uchakachuzi wa chaguzi za 2019 na 2022 Referee ni hivyo vyama.
 
Kweni CCM ilimpindua nani?
Upande wa Zanzibar huko mwarabu alipinduliwa mwaka 1964. Ile serikali ya Zanzibar inaitwa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar. Labda watu waipindue ccm iingie serikali mpya ya jamhuri ya muungano wa mapinduzi ya Tanzania 😂😂. Nahisi hiyo ndio mbinu pekee ya kuitoa ccm madarakani, ni kuipindua tu. Unadhani waliojaribu kumpindua nyerere toka enzi hizo mpaka enzi za zakaria hanspope ni wajinga?
 
Upande wa Zanzibar huko mwarabu alipinduliwa mwaka 1964. Ile serikali ya Zanzibar inaitwa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar. Labda watu waipindue ccm iingie serikali mpya ya jamhuri ya muungano wa mapinduzi ya Tanzania 😂😂. Nahisi hiyo ndio mbinu pekee ya kuitoa ccm madarakani, ni kuipindua tu. Unadhani waliojaribu kumpindua nyerere toka enzi hizo mpaka enzi za zakaria hanspope ni wajinga?
Kilichosababisha mapinduzi y zanzibar ni nini?
 
Rafiki yako wa kwanza ni jirani yako. Ujirani wa Rwanda na Burundi umepelekea CNDD-FDD na RPF kuendeleza urafiki na CCM kwa kuwa vyote ni vyama tawala.

Hii ikiwa na maana ya kwamba Sera za Serikali ya Rwanda Zinaandaliwa na RPF na vivyo hivyo kwa Tanzania na CCM na hapo kutakuwa na urafiki baina ya vyama hivyo.

Rwanda kuwa mwanachama wa EAC anakuwa na urafiki na kila kinachohusiana na EAC na mojawapo ni CCM
Kwaajili ya ujirani na usalama tungeishia TU kwenye ushirikiano kati ya serikali zetu TU baasi, sio kwa vyama ambavyo havina historia zinazofanana. Mfano, CCM, zanu-pf, frelimo, APLA, Uganda Democratic movement, polisalio, KANU, na ANC vina historia na uhusiano unaosababisha vialikane kwenye matukio kuliko RPF.
 
Back
Top Bottom