TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Ulimnofu.
Asalaam alykhum.
Bwana Yesu asifiwe.
Kule DRC poleni kwa kuwakosa ndg waliofariki maji ziwa Kivu.
Nisipoteze muda.
Adani Group inaonekana ni kampuni imeundwa maalum si kutoa huduma ipasavyo nje ya nchi zawa kwao huko India.
Nje ya India kampuni hilo halina tija na ufanisi kwenye factors muhimu.
Baada ya kufuatilia kwa kiasi kidogo tu nimegundua hao jamaa adani group wanatumika katika baadhi ya nchi barani afrika na baadhi ya nchi za ulaya kama ni special robbery company.
Wazungu huko wameitimua hii kampuni, juzi hapo Kenya wananchi wameishtukia hii robbery company na kuliamsha kuwa wasipewe uwanja wao.
Baada ya kuona wakenya wameshtuka serikali ya Kenya ikapiga maktaimu na sidhani kama itawapa JKIA.
Kuna mkenya ambaye aliibua sakata la hiyo robbery company to afrika akasakwa na serikali ili wambane pumbu jamaa akatoweka now yupo ugaibuni.
Hatimaye Adani imetua Tanganyika (shamba la bibi) Tanesco inaenda kugawanywa vipande vipande ili tu wahindi hao wapate ulaji wa kukusanya Tshs na kuzipelekakuwa dollar zitakazopelekwa India.
Viongozi wa serikali na CCM hamuoni aibu kuifanya hii nchi shamba la bibi?.
Najua mnakumbuka mfano, wale wahindi mliowapa TRC je, walifanya nini cha ziada ambacho leo kinafaida kwa nchi?.
CCM na viongozi wa Serikali Watanzania Wamewakosea Nini?
Mnajua kwa sasa hatuna shida na umeme mara baada ya bwawa la Mwl. Nyerere kuanza kuzalisha umeme wa kutosha na mwingine unaenda kuuzwa nje ya mipaka ya Tanganyika.
Kuna nini au nani anatakiwa kuiibia fedha nchi kwa kipindi hiki?.
Hebu tuone aibu, japo hamna uchungu na nchi hii ila oneni haibu aseee, mnatuona hatuandamani na tunaandamana kwenye mitandao ila the day has come.
Je,tumewanyia nini watanzania nyie watu?.
Asalaam alykhum.
Bwana Yesu asifiwe.
Kule DRC poleni kwa kuwakosa ndg waliofariki maji ziwa Kivu.
Nisipoteze muda.
Adani Group inaonekana ni kampuni imeundwa maalum si kutoa huduma ipasavyo nje ya nchi zawa kwao huko India.
Nje ya India kampuni hilo halina tija na ufanisi kwenye factors muhimu.
Baada ya kufuatilia kwa kiasi kidogo tu nimegundua hao jamaa adani group wanatumika katika baadhi ya nchi barani afrika na baadhi ya nchi za ulaya kama ni special robbery company.
Wazungu huko wameitimua hii kampuni, juzi hapo Kenya wananchi wameishtukia hii robbery company na kuliamsha kuwa wasipewe uwanja wao.
Baada ya kuona wakenya wameshtuka serikali ya Kenya ikapiga maktaimu na sidhani kama itawapa JKIA.
Kuna mkenya ambaye aliibua sakata la hiyo robbery company to afrika akasakwa na serikali ili wambane pumbu jamaa akatoweka now yupo ugaibuni.
Hatimaye Adani imetua Tanganyika (shamba la bibi) Tanesco inaenda kugawanywa vipande vipande ili tu wahindi hao wapate ulaji wa kukusanya Tshs na kuzipelekakuwa dollar zitakazopelekwa India.
Viongozi wa serikali na CCM hamuoni aibu kuifanya hii nchi shamba la bibi?.
Najua mnakumbuka mfano, wale wahindi mliowapa TRC je, walifanya nini cha ziada ambacho leo kinafaida kwa nchi?.
CCM na viongozi wa Serikali Watanzania Wamewakosea Nini?
Mnajua kwa sasa hatuna shida na umeme mara baada ya bwawa la Mwl. Nyerere kuanza kuzalisha umeme wa kutosha na mwingine unaenda kuuzwa nje ya mipaka ya Tanganyika.
Kuna nini au nani anatakiwa kuiibia fedha nchi kwa kipindi hiki?.
Hebu tuone aibu, japo hamna uchungu na nchi hii ila oneni haibu aseee, mnatuona hatuandamani na tunaandamana kwenye mitandao ila the day has come.
Je,tumewanyia nini watanzania nyie watu?.