akashube
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 401
- 23
A. Kinana ameonyesha umahiri mkubwa kwa wakubwa wake ndani ya CCM kwa kuandaa mkakati maalumu wa kuhakikisha kuwa siku tatu za mwisho za kampeni, tarehe 28,29 na 30 Oktoba CCM inafanya 'suprise' kwa kutoa pigo kali kabisa dhidi ya CHADEMA na CUF ili kuwavuruga kabisa na kubadilisha kabisa mwelekeo wa upepo kwa wapiga kura.
Akimnukuu R. Odinga waziri mkuu wa Kenya kuhusu umuhimu wa saa 24 za mwisho kabla ya siku ya uchaguzi A. Kinana ameuelezea mpango huo kwa wakubwa wa chama chake kama mkakati ambao ni 'feasible'.
WITO
CHADEMA na CUF jiandaeni na siku hizo tatu za mwisho na hayo masaa 24 ya mwisho.......something dirty is cooking.
Akimnukuu R. Odinga waziri mkuu wa Kenya kuhusu umuhimu wa saa 24 za mwisho kabla ya siku ya uchaguzi A. Kinana ameuelezea mpango huo kwa wakubwa wa chama chake kama mkakati ambao ni 'feasible'.
WITO
CHADEMA na CUF jiandaeni na siku hizo tatu za mwisho na hayo masaa 24 ya mwisho.......something dirty is cooking.