CCM na Upinzani zingatieni amani

CCM na Upinzani zingatieni amani

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Ni Msimu Wa siasa ndivyo tunavyoweza kusema, tangu mikutano ya hadhara ipigwe marufuku ni muda mrefu Sana.

Lakini sasa busara imetumika kuruhusu siasa za majukwaani kuanza.

Nasukumwa na uzalendo kuwaomba Wanasiasa Wa upinzani na chama tawala kuendesha siasa zenye tija na weledi ili Tanzania ibakie kisiwa cha amani, huu siyo wakati wakufukua makaburi bali ni wakati Wa kutoa mwelekeo na kukosoa makosa ambayo yakilekebishwa Tanzania itasonga mbele.

Naomba ieleweke kuwa Tanzania ndio nyumba yetu hatuna pengine pakukimbilia.
 
Imenenwa katika Biblia katika kitabu Cha Mithali 14:34

Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote.

Mwisho wa kunukuu

Huwezi kuhubiri amani, bila kwanza kuwataka watawala hawajatenda Haki, katika uongozi wao.
 
Umenena vema ila kwako ni amani fair enough, upo salama na wapendwa wako, familia za Azory, Mawazo, Saanane, Akwilina etc etc zinahitaji ukweli ili waweze kufanya closure kuhusu wapendwa wao, nchi ili tuweze kuwa na Amani ni lazima ukweli uwepo sio kufukia chini ya zuria,Amani yes ila iwe ya ukweli sio plastic one au fake.
 
Umenena vema ila kwako ni amani fair enough, upo salama na wapendwa wako, familia za Azory, Mawazo, Saanane, Akwilina etc etc zinahitaji ukweli ili waweze kufanya closure kuhusu wapendwa wao, nchi ili tuweze kuwa na Amani ni lazima ukweli uwepo sio kufukia chini ya zuria,Amani yes ila iwe ya ukweli sio plastic one au fake.
Naamini sasa tunatakiwa kuangalia mbele na kujenga Tanzania mpya Tanzania ambayo mama Samia anaitaka Tanzania ya Watanzania Yaliyopita tuyaache ya pite tuijenge nchi kwa vizazi vijavyo.tufute historia mbaya
 
Naamini sasa tunatakiwa kuangalia mbele na kujenga Tanzania mpya Tanzania ambayo mama Samia anaitaka Tanzania ya Watanzania Yaliyopita tuyaache ya pite tuijenge nchi kwa vizazi vijavyo.tufute historia mbaya
Fair enough mkuu huwezi kufukia vitu na uka move on, ni muhimu hizi families zikajua ukweli kuhusu wapendwa wao then wakajaribu to move on, wewe usiongelee kwa sababu huguswi moja kwa moja, hivi ingekua ni baba yako au mtoto wako ungefanya hivyo bila ya kujua nini kiliwatokea ndugu zako?

Waambiwe ukweli then wata grieve na kupata closure then slowly wataanza kuishi, watoto wa Ben Saanane wata move on kivipi wakati hawajui baba yao angali hai au ameuliwa?

Mkuu always jitahidi kuangalia another side of coin
 
Naamini sasa tunatakiwa kuangalia mbele na kujenga Tanzania mpya Tanzania ambayo mama Samia anaitaka Tanzania ya Watanzania Yaliyopita tuyaache ya pite tuijenge nchi kwa vizazi vijavyo.tufute historia mbaya
... dah; inanipa shida sana kuamini kwamba mtu mmoja ndani ya muda mfupi sana anaweza kuvuruga apendavyo without any control! Mungu apishe mbali yasitokee tena!
 
Ni Msimu Wa siasa ndivyo tunavyoweza kusema, tangu mikutano ya hadhara ipigwe marufuku ni muda mrefu Sana.

Lakini sasa busara imetumika kuruhusu siasa za majukwaani kuanza.

Nasukumwa na uzalendo kuwaomba Wanasiasa Wa upinzani na chama tawala kuendesha siasa zenye tija na weledi ili Tanzania ibakie kisiwa cha amani, huu siyo wakati wakufukua makaburi bali ni wakati Wa kutoa mwelekeo na kukosoa makosa ambayo yakilekebishwa Tanzania itasonga mbele.

Naomba ieleweke kuwa Tanzania ndio nyumba yetu hatuna pengine pakukimbilia.
Sawa lakini usiogope kama kaburi la mtu litafukuliwa manake kuna mengi mabaya yaliatendeka na kila kitu kitaweka hadharani na kila haki iliyochukuliwa itarudishwa! Ni seme tu hakuna msimu wa siasa, ni sawa na kusema msimu wa haki, kila wakati ni msimu wa siasa ni msimu wa haki. Tunarudishiwa haki yetu ya kufanya siasa na tutaitumia ipasavyo, wasiopenda demokrasia mtachukia sana.
 
Back
Top Bottom