CCM nambari wani

CCM nambari wani

bado una ndoto ya kuwa mbunge Wa chadema kwa kumtukana mzazi wako ccm, laana ya kusaliti ccm haitakuacha kamwe unashabikia Uzi Wa kijinga kama huu

Unajua maana ya matusi? Na unadhani Chadema ndio sahani ya ugali kwa kila mmoja au kwa vile sahani yako iko CCM unaona wote tunafanana?

Acha siasa za kichama na kikabila. Kuwa Mtanzania, na zungumzia Utanzania!
 
Unajua maana ya matusi? Na unadhani Chadema ndio sahani ya ugali kwa kila mmoja au kwa vile sahani yako iko CCM unaona wote tunafanana?

Acha siasa za kichama na kikabila. Kuwa Mtanzania, na zungumzia Utanzania!

una matatizo kijana wapi nimetaja ukabila wewe pimbi, unaniletea mambo yako ya kukwama kimaisha, mbwaa mini.ccm ndio tunu ya watanzania kwa miaka yote hawawezi kumuacha kamwe
 
una matatizo kijana wapi nimetaja ukabila wewe pimbi, unaniletea mambo yako ya kukwama kimaisha, mbwaa mini.ccm ndio tunu ya watanzania kwa miaka yote hawawezi kumuacha kamwe

Hawa watumiaji wa "cannabis sativa" wanatafuta umaarufu kwa lazima kisingekuwepo CHAma cha DEgedege na MAlaria, bwana Mwangosi angekuwa hai.
 
1604946_10205004734624374_363404543317998496_n.jpg
 
una matatizo kijana wapi nimetaja ukabila wewe pimbi, unaniletea mambo yako ya kukwama kimaisha, mbwaa mini.ccm ndio tunu ya watanzania kwa miaka yote hawawezi kumuacha kamwe

Huo ndio mwisho wako wa kufikiri. Matusi ndio uwezo wako; kila asiyeafikiana na wewe ni mtoto, pimbi na mbwa!

Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi, na ukubwa wa pua si wingi wa kamasi. Kwa namna hiyo ndio utaonekana mbora wa utetezi na hoja?
 
Mwageni picha kamanda! !!!!!

Hii ni ambulance ambayo wananchi wameamua kujitengenezea baada ya CCM kuwatelekeza lakini utakuta baadhi ya watu, tena wenye akili timamu, kama Agogwe wanajitoa akili zao na kuzikabidhi kwa bosi wao Nape Nnauye halafu wanakuja hapa kutoa mapovu wakati umasikini huu umeletwa na uzembe wa CCM. Hivi zile bilioni 33 alizochukua mwenyekiti wako kutoka kwa wezi wa EPA ziko wapi au ndizo mnazolipwa posho huko Lumumba ndugu yangu Agogwe? Na zile fedha za umma mlizoficha huko USWISI mmezificha kwa manufaa ya nani badala ya kuzileta zitatue changamaoto kamz hizi zinazowakabili raia? Shame on you all gambaz!
ambulance ya CCM.jpg
 
Last edited by a moderator:
Kinyambiga_01-1.jpg


Kinyambiga_02-655x350.jpg


TAKRIBANI wanafunzi 700 katika Shule za Msingi Machimweru na Kinyambwiga A na B, zilizopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, wanasomea chini ya mti wakiwa wamekalia mawe na magogo, huku mbao za kufundishia zikiwa zimepigiliwa misumari kwenye miti, FikraPevu imebaini. Hali hiyo imeelezwa kuwa chanzo kikuu cha kudhoofisha hali ya taaluma katika wilaya hiyo kwa kiwango kikubwa. Taarifa zilizoifikia FikraPevu Agosti 31, 2014 zinaeleza kuwa licha ya wanafunzi hao kukaa chini wakati wa masomo pia shule hizo zina matundu machache ya choo, ikiwemo matundu manne ya shule ya msingi Machimweru yanayotumiwa na wanafunzi pamoja na Walimu 18 wa shule hiyo.
 
FP_Kariakoo_02-798x350.jpg


FP_Kariakoo_01.jpg


FP_Kariakoo_03.jpg


Afya za wakazi wa mitaa mbali mbali jijini Dar es Salaam zipo hatarini kutokana na mifereji na mitaro ya kusafirishia maji machafu kuziba na kusababisha maji hayo kutuama na kutoa harufu mbaya ikiwa ni pamoja na kuchafua mazingira.
 
Hii ni ambulance ambayo wananchi wameamua kujitengenezea baada ya CCM kuwatelekeza lakini utakuta baadhi ya watu, tena wenye akili timamu, kama Agogwe wanajitoa akili zao na kuzikabidhi kwa bosi wao Nape Nnauye halafu wanakuja hapa kutoa mapovu wakati umasikini huu umeletwa na uzembe wa CCM. Hivi zile bilioni 33 alizochukua mwenyekiti wako kutoka kwa wezi wa EPA ziko wapi au ndizo mnazolipwa posho huko Lumumba ndugu yangu Agogwe? Na zile fedha za umma mlizoficha huko USWISI mmezificha kwa manufaa ya nani badala ya kuzileta zitatue changamaoto kamz hizi zinazowakabili raia? Shame on you all gambaz!
View attachment 183299

NIMELIA UPYA TENA HADI MACHO yamekuwA MEKUNDUUU !!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom