CCM nambari wani

najiuliza watanzania sijuhi tumelogwa hivi watu wanataka rasilimali zikombwe zote ndo wamin hawa jamaa walikuwa hawafai so pain elf kumi mtu anauza haki yake wakati wakula.we need revolution you are the source.

Kweli kaka we have to change ila wa tz sasa hivi muamko uliopo unatia moyo kidogo
 
aibu ona wewe erythrocyte mimi natetea kile ninachoamini nawe tetea unachoamini tusizuiane kutoa mawazo tuwaachie watu wasome wenyewe
Hivi wee jamaa unatetea nini hapa , huoni aibu ?
 
mkulima anakunya togwa ulanzi mbege piwa gongo kangara na kila aina ya pombe ya kienyeji nayo ni starehe ya miguu mirefu na kukunja nne. lakini mkulima bora hujipangia maisha yake na akiuza mazao hukimbilia kuwekeza aidha kwenye kuimarisha kilimo au kwenye usafiri au kwenye ujenzi
 
sahani za pilau umezipiga kwenye mkutano wenu au wapi? huyo anayebebwa kwenye wheelbarrow una hakika gani kama sio mlevi mbwa? ambulance ziko kwenye zahanati za wilaya na tarafa sasa ukiwa kijijini huna budi kukabiliana na hali hiyo. na hilo hatumlaumu mtu wala serikali . inategemea wewe una uchungu gani na taifa lako ukachangia japo ka ambulance kamoja
 

Hivi huo ULANZI,TOGWA,MBEGE na GONGO ni shilingi ngapi kwa lita?Usijifananishe na mkulima kaka,huyu ambaye kila siku pembejeo zinapanda na mazao yake yanashuka bei kila siku.Anachokunywa hakifiki hata laki kwa mwaka.
 
tumesha wajua siku hizi mnakwepa kujitambulisha usiasa wenu mnaogopa ZOMEAZOMEA.
POLE SANA.

Kaka mie siyo mwanachama wa CCM,hilo ulijue,mimi ni mwanachama wa CDM na wala siogopi kujitambulisha kwnai hata kwenye familia wananijua na hata marafiki zangu wanajua.

Lakini bado sijifungi kwenye chama,ninajali UTAIFA wangu kwanza.
 
aibu ona wewe erythrocyte mimi natetea kile ninachoamini nawe tetea unachoamini tusizuiane kutoa mawazo tuwaachie watu wasome wenyewe

Kwa wingi wa ile hela iliyokwapuliwa na kugawanywa kama mali iliyotekwa vitani , siwezi kushangaa mtu kutokwa povu la kufa na kupona .
 
View attachment 216954 HUYU NI WEWEE....
mbaffff zako kaongee kijijini kwenu haya maneno alfu upate kipigo cha mmbwa mwizi kama yule m/kiti feki wa ccm alijiokoa kwa kukukimbilia mtaroni.
 
kaka mie siyo mwanachama wa ccm,hilo ulijue,mimi ni mwanachama wa cdm na wala siogopi kujitambulisha kwnai hata kwenye familia wananijua na hata marafiki zangu wanajua.

Lakini bado sijifungi kwenye chama,ninajali utaifa wangu kwanza.
kwenddddrrraaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!! Chadema hakuna misukule
 

uchambuzi makini!
CC: REV KISOLO
 
Last edited by a moderator:
aibu ona wewe erythrocyte mimi natetea kile ninachoamini nawe tetea unachoamini tusizuiane kutoa mawazo tuwaachie watu wasome wenyewe

ni kweli huwezi kuona aibu maana akili yako imeshatekwa na ufisadi!!!
 
kwenddddrrraaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!! Chadema hakuna misukule

Usinitukane kaka mie ni mtu na heshima zangu,kama MSUKULE waweza kuwa mwenyewe.

Rudi kwenye post zangu zote uone kama nafanania na ujinga wa CCM.Labda kama mwenzangu ni MwanCCM na unaona kiama na post zangu.

Pole sijui kutukana ila ukitaka nikutukane sitakutukana bali nitakudharau sababu unatumia MATUSI badala ya HOJA.Rudi kwenye post zangu zote uone ni wapi nimetoa hoja yenye UCCM,niko KITAIFA zaidi,sijali mtu ni chama gani akivurunda nitamwambia ukweli,na daima ukweli ndiyo ngao yangu.

Siyo mwanaCCM na ukitaka hata number ya kadi yangu naweza kukupa.

Pole maisha ndivyo yalivyo,wanasema ...USILILIJUA NI SAWA NA USIKU WA KIZA.
 

Hapo mwigulu hayupo hapo
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
@tpaul kwanini unaishi maisha ya wasiwasi mkuu? unawafitinisha wananchi dhidi ya chama chao ila ujue mwisho wa chuki ni aibu, karibu CCM mimi nitakulipia ada ya chama ya miaka miwili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…