CCM nambari wani

siyo kinana na nape tu , hata makonda naye kala kona ! Huu uzi usipime mkuu .

mkuu Erythrocyte don't waste your previous time arguing with that twit. nimegundua kwamba ana mawazo ya ki-adolescent, anakupotezrea muda bure. just leave him/her alone and carry on with a constructive business of building our nation and getting it rid of glutton FISADIS.
 
Last edited by a moderator:

Naomba inyeshe hivi kwa muda wa wiki nzima iwazindue wananchi kutoka kwenye usingizi wa pono waliolala ili mwezi wa oktoba wafanye mapinduzi chanya through ballot box na hatimaye waondokane na hizi KERO zinazowasumbua kwa miaka 53 sasa.

https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=IoS_iB-I4I8
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
tpaul muongo mkubwa mzushi ccm haikudidimiza maisha ya watanzania labda wewe binafsi na wachache waliozoea kupewa asali na maziwa bila kutoka jasho ndio mnaona imedidimiza. takwimu zako za asilimia 101% ni kichekesho cha mrindoko. Hakuna madhara kwa kuwa kuna amani na ninao uwezo wa kwenda ninakotaka kujitafutia riziki ya halali na ninarudi muda ninaotaka bila vurugu..mimi nahangaika kama wewe unakaa tu kusubiri manna na salwa nakupa pole
 

A girl draws water for domestic use from a shallow well at Saranga Ward in Kinondoni District, Dar es Salaam, yesterday. The locality is among many areas in Dar es Salaam where clean and safe water is in short supply, forcing residents to either rely on unsafe sources or buy the commodity from vendors for up to Sh1,000 per 20 litres. PHOTO | SALIM SHAO
 
kwa uzi huu,, nimekubali kua kuna watu wanajua kujenga hoja za ukweli.. na wazalendo.. kama mleta nada na wachangiaji baadhii,, lakini kuna watu huwa wanatumiwa hapa jamvini kutuvuruga, vibaraka wa sirikali kama r,f,s,t na wengine
:A S embarassed::A S embarassed:
 


"Proudly Tanzanian" banghead::banghead
 
Reactions: BAK
ninachojua mimi ni kwamba ccm si kwaajili ya watu bali ni watu kwa ajili ya ccm

chama kinahitaji kinufaile na watu lakini hakitaki watu manufaike nacho

sasa jiulize ccm ninini? au ni jabali linalokula roho za watu na kuwanyesha damu makuhani wakuu kwa maana mwenye nguvu ndiye mwenye ccm sasa swali laja kwako mnyonge mwenzangu hapo ccm wafanya nini?

hatakama hakuna mbadala wa ccm ni bora kuwe na sirikali bila chama mana kila chama kinachojaribu kufurukuta kinapewa shutma nying na kupangiwa mikakati miovu ya kukimaliza wanazi wa chama husika nao hupanic na kuanza kujibu mapigo matokeo yake ccm hutembeza rungu la dola na damu zetu kumwagwa mifano iko mingi rejea maktaba ya jf.

ccm ni laana ndani ya nchi hii kama umaskini ulivyo laana kwa dunia yetu mungu barik tanganyika na laana zako ziwashukie ccm na jopo lao la wez
 
With this vivid evidences, CCM is nothing but a bunch of twits, whose intention is to exploit all the natural treasures in this country for the benefit of a minority & greedy hypocrites.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…