CCM nambari wani

Ni Majizi na hayasaidii wananchi maskini,pia ni wauza unga
 
Si kweli kwamba wananchi wote wanataka UKAWA iingie Ikulu bali Mafisadi na Mawakala wao

Yaani Lizaboni jinsi ambavyo tunaitaka hiyo CCM iingie kaburini haijalishi ni jiwe au binadamu anagombea nafasi hiyo.Kwa sasa Lizaboni mngekaa mjiulize ni wapi CCM ilikosea??Ni wapi JK alitakiwa kurekebisha akakosea???

Escrow tunaijua ya MKOMBOZI tu ya STANBIC nani muhusika???Je ni Lowassa??Tutajieni nani muhusika labda tutarudisha moyo.

Mmekaa miaka 54,shule hazina madwati,kama yapo ni yake ya ENZI ZA MWALIMU,yamechoka na mengine yameliewa na mchwa.

CCM tulijichangisha tukaweka SUPERMARKET (SUKITA) Mabasi ya wanafunzai yote haya yameenda wapi hivi ni Lowassa kweli???Mabehewa mabovu,barabara mbovu zilizojengwa chini ya kiwango,Meli ya mwaka 1978 kununuliwa kwa bilioni 8,malipo hewa kwa wakandarasi bilioni 258,hivi vyote hivi ni Lowassa???

Ukweli unauma japo mzuri kuusema,najua Lowassa ana madhambi yake mengi,vivyo hivyo Magufuli anayomengi pia,ambayo kwa kujifunika Ngozi ya utendaji kazi,basi mnataka kufunika na uovu wake.

Sumaye kasema kila mtu afunue uovu aliotufanyia WATANZANIA ili tupate kumhukumu Lowassa.

Pole ni mwizi anayejulikana bora kuliko mwizi anayefichwa kwa jina la utendaji kazi.Maana akiingia IKULU hakika tutamalizika,ni wakati wa MABADILIKO,tunayataka si kwa hiari ya CCM bali kwa lazima..

Watanzania ndiyo tulioamua.
 
Katika maisha yangu nimebaini waTZ wenzangu wengi wanauwezo mdogo wa fikra,na upambanuaji wa mambo(kiasi kwamba mh.Mkapa akawatolea uvivu lakini hawakushituka!) kweli yale nilisikia kuwa watanzania wengi hawajui historia ya taifa lao ni kweli kutokana na watu wanayoyaandika mitandaoni
 
Yaani ni bora kufa kuliko kuwa chini ya ccm

Wewe hacha kufuru! au haukusoma historia ya taifa lako..Tatizo sio CCM bali wajinga kama wewe ndio wengi nchi hii tafakari hiyo kauli yako...Kiburi chote hicho ni baada ya utawala usio na ubaguzi wenye huruma mpaka kwa wajinga,kulea mazombi kama wewe!
 
Mtu analalamika nchi ina rasli mali nyingi yeye mwenyewe hana elimu ya kuitumia rasli mali,hajawai kugundua chochote,mpira wa miguu tu hawezi,hajui ata kubadili shibe aliyoipata kufanyia kazi!... alafu analaumu CCM badala ya kufikiria kwa nini yeye au babu yake hajawahi kuongoza/kubuni au kugundua kitu kilicholeta maendeleo kijijini kwao,pengine upo mjini unafikiri ungekuwa na range rover usumbue mabinti za watu badala ya kuoa!..kijijini kwenu mmeyatelekeza makazi yenu mpo mjini mnataka mwaka tu! muwe matajiri sijui huo uchumi wa malofa waliojaa kwenye majiji kama dar,mwz nk watapona! katika ulimwengu huu wa HD life!
 
Si kweli kwamba wananchi wote wanataka UKAWA iingie Ikulu bali Mafisadi na Mawakala wao
Ambaye hataki mabadiliko akale malimao ccm mmeshindwa kumwaga sera mmebakia Lowassa mwizi lowassa mwizi kaanza kile kibabu mkapa mpk nyie huku ambao mpo mpo tuu.
Sita anakazania kueleza watu ambao jina lenyewe wanajua lazima litakuwa Gari eti Dowans sijui imepanda sijui imeshuka sasa huo ushaidi aliuficha kwa bibi yake mbona hakumpa JK amkamate mwizi.Sababu wizi ni Richmond tuu
nchi hii.
Dadadake na mwaka huu mtatukana mpk yaishe ila Bye bye bye...CCM
 
Wewe hacha kufuru! au haukusoma historia ya taifa lako..Tatizo sio CCM bali wajinga kama wewe ndio wengi nchi hii tafakari hiyo kauli yako...
unaweka upotoshaji hapa kwa manufaa ya nani ? hizo shule mbovu ulizowekewa humu za chini ya miti zinaweza kuzalisha wasomi gani ? nimekudharau sana !
 
nambari one kwa kutufanya malofa na wapumbavu kwa zaidi ya miaka 50
 
SHIKAMOO tpaul , japo natumia TECNO YA TOCHI lakini kwa uzi huu nakuomba upokee LIkE zangu 100 za kimoyomoyo , NOMA SANA ! Mungu akulinde sana mkuu .
Mtoa uzi ameweza vzr kujenga hoja zenye mashiko na hata wasioelewa wataelewa picha
 
Kazi kweli kweli! Eti ndio wanataka tuwaongeze miaka mingine,ULOFA SASA BAAAAAAASIIIIIIIII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…