CCM nambari wani


Ni kweli kabisa CCM imejenga shule kila kijiji na imejenga maabara ya shule za kata na ufaulu umeongezeka. Asiye na macho haambiwi tazama, ona maendeleo tele ya CCM. Wananchi wote tuseme CCM oyeeeeee!!!!
 

Great Thinker from Lumumba.......foleni ya magari Dar ni kielelezo cha maisha bora kwa kila mtanzania...by JK. Haya ni mawazo kutoka kuzimu!!!!
 
MACCM/Maintarahamwe yakwama barabarani

 
View attachment 176468
Hawa kweli watakiona chuo kikuu?

Mkuu ngorope kwa kweli CCM ni zaidi ya INTARAHAMWE. Watoto hawa wanateswa bure bila hatia wakati nchi yao imesheheni madini, misitu, ardhi, maziwa, na mito kila mahali. Inauma sana kuendelea kuishi chini ya utumwa huu wa CCM. Eee Mungu tufikishe haraka October, 2015, tujiondoe kwenye huu utumwa mamboleo.
 
Last edited by a moderator:
MACCM/Maintarahamwe yakiwazuga Watanzania













Wanahangaika bure, siku hizi hata mataahira hawahudhurii mikutano yao, pamoja na kwamba wanawasomba kwa kutumia malori ya kubebea mifugo.


Wako tayari kuwatumia hata misukule na waabudu sanamu kutafuta kura na kuvutia wananchi kwenye mikutano yao, lakini bado watu hawajitokezi. CCM ni chama chakavu....kimezeeka, kimechoka na kinaelekea kaburini mwaka 2015. Na huu mchakato wa katiba mpya ndio utakaochukua roho yake.
 
MACCM/Maintarahamwe yakiwazuga Watanzania













Wanahangaika bure, siku hizi hata mataahira hawahudhurii mikutano yao, pamoja na kwamba wanawasomba kwa kutumia malori ya kubebea mifugo.
View attachment 176656

Wako tayari kuwatumia hata misukule na waabudu sanamu kutafuta kura na kuvutia wananchi kwenye mikutano yao, lakini bado watu hawajitokezi. CCM ni chama chakavu....kimezeeka, kimechoka na kinaelekea kaburini mwaka 2015. Na huu mchakato wa katiba mpya ndio utakaochukua roho yake.
View attachment 176658View attachment 176659
 
Reactions: BAK
MACCM NI WATU WA AJABU SANA. HEBU MSIKILIZE HUYU MBUNGE WA CCM ANACHOSEMA HUKU AKIPIGIWA MAKOFI NA WENZAKE:
*********************************************************************************************************
"Mheshimiwa Spika, naona upinzani wamefikia pabaya, wanaikashifu serikali sikivu ya CCM. Chama kimefanya mengi sana, maendeleo makubwa tumepata, shule za msingi, sekondari na vyuo viko vingi leo, barabara za lami, umeme nchi nzima mpaka vijijini, lakini CHADEMA wanakebehi. Naipongeza sana serikali ya chama cha Mapinduzi.

Mheshimiwa Spika, nikiendelea mbele naomba nielezee kwa kifupi matatizo ya jimbo langu. Kule hatuna shule ya sekondari katika kata sita, maji ni ndoto, tunategemea mvua. Shule zilizopo hazina ubora wala walimu wa kutosha. Rais alikuja sasa ni miaka sita akatuahidi umeme lakini mpaka leo hakuna lolote. Barabara ni mbovu hazipitiki. Nauliza ni lini serikali híi (ya CCM) ITATUSIKIA NA KUTULETEA MAENDELEO?" (Makofi) Kwa! Kwa! Kwa!
*******************************************************************************************************
 
Wewe ni ni tahira,sera nzuri za ccm zimewezesha matumizi mazuri ya kodi kuwasomesha kwa kuwapatia mikopo vyuoni

Sera nzuri za ccm zilifariki kwa pamoja na Mwl.Nyerer huko St. Thomas sasa chama kimebaki ni cha walanguzi tu,muda si mrefu kitakuwa kuzumu!
 
Great Thinker from Lumumba.......foleni ya magari Dar ni kielelezo cha maisha bora kwa kila mtanzania...by JK. Haya ni mawazo kutoka kuzimu!!!!

Mkuu unatukosea adabu sana kusema mawazo ya wachangiaji ni toka kuzimu, nikuambie kitu ccm ndio chama kilicholeta mwamko wa kisiasa hapa nchini kwa kuwahamasisha watu maeneo mbalimbali, pili wabunge wenu wa chadema wanawakataza wananchi wao kutokuchangia maendeleo yao mfano NI HUYU MBWIGA TUNDU LISU, halafu ninyi ninyi mnakuja na uharo wenu humu ndani kwamba ccm haina uchungu na nchi yetu ,katika vijana wenye ufahamu mdogo ni vijana wa chadema mnakuja na picha zenu humu za nchi nyingine kama sudani kudanganya umma kwamba ni tanzania
 

MMARANGU WA KWANZA MbiSHI NA BINGWA WA MATUSI AFRICA .
 
watu wazima lakini wamejaa utapeli mtupu !
 

Attachments

  • 2014-07-14 17.28.54.jpg
    438.8 KB · Views: 74

Ww ni chinja chinja na wala huitakii mema nchi yetu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…