CCM nambari wani

CCM nambari wani

ccm ndio mama yenu amewazaa na kuwalea,ccm imewapa elimu bure mpaka sasa mmepata akili ya kuitukana humu jf

ccm@50 1407624637513.jpg
 
Katika kitabu kiitwacho Mkweli
Mwaminifu cha Sheikh Said
Moosa Mohamed Al- Kindy wa
Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42
Hadithi Na. 74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani
(Jini) katika sala basi anapuliza
(anampuliza) katika makalio yake,
basi (yule mtu) inamuijia fikra ya
kuwa umemtoka upepo (kafusa)
naye haukumtoka, basi akiona
namna hiyo asiondoke (kwenye
sala}) mpaka asikie sauti ( ya
kutoka upepo) au anuse harufu
( ya huo upepo uliyomtoka, ndio
aondoke).
Huyo shetani, au Jini anayekuwa
karibu sana na huyu muumini wa
kiislamu hamchezei tu mwislamu
katika makalio yake kama
tulivyosoma hapo juu bali pia
anapofanya tendo la ndoa .
 
uzi umetengenezwa kwa hoja zaidi ,utaifa kwanza,ritz,bakorakamo,simiyu yetu,faiza foxy njooni huku mna kesi ya kujibu.

Hakyanani, akija mwana ccm yeyote akatoa majibu ambayo angalau yatakubaliwa na mtoto kwa chekechea kuhusu Uzi huu (obviously haiwezekani kwa mtu mzima mwenye akili zake timamu kupewa majibu yatakayomtosheleza on a simple account kuwa majibu hayo hakuna) nitajiunga na ccm!
 
Thread bora kabisa kuwahi kutokea hapa jf. Umenigusa sana mimi mtu wa kijijini, ila ongezea na nondo zingine kuhusu wafanyakazi hasa walimu. Ubarikiwe sana.
 
Shit again,

" Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"

Wewe lala ukitegemea kuna serikali itakayokuja kukukomboa

kama n masikin utabak kua masikin tu.
 
Kuna kitu tunapaswa kukubaliana nacho, Watanzania bado tupo chini sana kwenye upande wa uchumi.
Ukianza kupanda ngazi, ni lazima uanze ya kwanza ili ufike ya tano. Ukiruka ngazi moja na kuweka mguu ngazi ya tatu, uwezekano wa kuanguka ni mkubwa sana.
Ninachomaanisha, tusitegemee akiingia Raisi fulani madarakani basi mambo yatabadilika ghafla kama alivyohaidi. Lazima tupande ngazi moja moja.
Hata Chadema ikishika nchi, hakuna kitakachobadilika ghafla na kutuacha midomo wazi kuwa tulikua wapi kuwachagua.
Kinachotakiwa kufanywa na hao marais to make sure that within five years, tatizo/ matatizo fulani yanasahaulika kabisa kama yalikuepo. Mwingine anaekuja, anapanda ngazi ya pili, mwingine ya tatu.... mpaka tufike kule juu.
 
Shika adabu yako..kama hukufunzwa na mama yako upumbavu wako peleka huko.

Wewe ni kiazi kweli, ccm tangu kipindi cha awamu ya kwanza ya mwalimu nyerere kupitia sera ya chama chetu wote na ninyi mpaka sasa kwenye awamu ya nne imekuwa inasomesha vijana wetu bure mpaka chuo kikuu kwa kuwapatia mikopo bure. CCM isipokuwapo mtaikumbuka kwa machozi mengi.amekuwa nguzo mama kwenu
 

Kupitia sera nzuri za ccm imewezesha maji safi na salama kufika vijijini mwetu kwa uchimbaji wa visima kila kata na wananchi wengi wa maeneo hayo wamekuwa mashahidi kuhusu hili, mshana jr nenda vijiji vingi wakazi wengi wanaipenda sana ccm na wanaipa kura kwenye kila uchaguzi kwasababu wanaona matunda ya ccm mfano amani,barabara za lami,sekondari kwa kila kata,umeme umewafikia kila kijiji, zahanati kwa kila kata n.k na mheshimiwa kikwete ametoa maagizo kwa kila halmashauri zote nchini kuwa kila shule ya kata ya sekondari ijenge MAABARA, niambie leo huyu TPAUL anayeleta mada kama hizi hapa jf anakitendea ccm haki na yeye ni mnufaikaji wa ccm kupatiwa elimu bure. Nenda mikoani kama barabara ya ARUSHA mpaka SINGIDA ni lami tupu,nenda mtwara,lindi, simiyu,kilimanjaro kuna lami mpaka kwenye majumba ya watu mfano kwa MBOWE mpaka akampongeza RAIS KIKWETE NA CCM YETU. JE CCM TUWALAMBE WAPI WANANCHI MTUPONGEZE
 
Wewe ni kiazi kweli, ccm tangu kipindi cha awamu ya kwanza ya mwalimu nyerere kupitia sera ya chama chetu wote na ninyi mpaka sasa kwenye awamu ya nne imekuwa inasomesha vijana wetu bure mpaka chuo kikuu kwa kuwapatia mikopo bure. CCM isipokuwapo mtaikumbuka kwa machozi mengi.amekuwa nguzo mama kwenu

tokea darasa la kwanza hadi chuo kikuu nimesomeshwa na wazazi wangu...wewe unaishi nchi gani?waliosomeshwa bure ni wa enzi za nyerere tu.,kuna mkopo wa bure?,basi usingeitwa mkopo
 
Kupitia sera nzuri za ccm imewezesha maji safi na salama kufika vijijini mwetu kwa uchimbaji wa visima kila kata na wananchi wengi wa maeneo hayo wamekuwa mashahidi kuhusu hili, mshana jr nenda vijiji vingi wakazi wengi wanaipenda sana ccm na wanaipa kura kwenye kila uchaguzi kwasababu wanaona matunda ya ccm mfano amani,barabara za lami,sekondari kwa kila kata,umeme umewafikia kila kijiji, zahanati kwa kila kata n.k na mheshimiwa kikwete ametoa maagizo kwa kila halmashauri zote nchini kuwa kila shule ya kata ya sekondari ijenge MAABARA, niambie leo huyu TPAUL anayeleta mada kama hizi hapa jf anakitendea ccm haki na yeye ni mnufaikaji wa ccm kupatiwa elimu bure. Nenda mikoani kama barabara ya ARUSHA mpaka SINGIDA ni lami tupu,nenda mtwara,lindi, simiyu,kilimanjaro kuna lami mpaka kwenye majumba ya watu mfano kwa MBOWE mpaka akampongeza RAIS KIKWETE NA CCM YETU. JE CCM TUWALAMBE WAPI WANANCHI MTUPONGEZE

Hivi ni kweli ccm ina Sera nzuri kweli???
 
Kupitia sera nzuri za ccm imewezesha maji safi na salama kufika vijijini mwetu kwa uchimbaji wa visima kila kata na wananchi wengi wa maeneo hayo wamekuwa mashahidi kuhusu hili, mshana jr nenda vijiji vingi wakazi wengi wanaipenda sana ccm na wanaipa kura kwenye kila uchaguzi kwasababu wanaona matunda ya ccm mfano amani,barabara za lami,sekondari kwa kila kata,umeme umewafikia kila kijiji, zahanati kwa kila kata n.k na mheshimiwa kikwete ametoa maagizo kwa kila halmashauri zote nchini kuwa kila shule ya kata ya sekondari ijenge MAABARA, niambie leo huyu TPAUL anayeleta mada kama hizi hapa jf anakitendea ccm haki na yeye ni mnufaikaji wa ccm kupatiwa elimu bure. Nenda mikoani kama barabara ya ARUSHA mpaka SINGIDA ni lami tupu,nenda mtwara,lindi, simiyu,kilimanjaro kuna lami mpaka kwenye majumba ya watu mfano kwa MBOWE mpaka akampongeza RAIS KIKWETE NA CCM YETU. JE CCM TUWALAMBE WAPI WANANCHI MTUPONGEZE

ccm hoyee.jpg
Maelezo yako yanasadifu uhalisia huu?
 
tokea darasa la kwanza hadi chuo kikuu nimesomeshwa na wazazi wangu...wewe unaishi nchi gani?waliosomeshwa bure ni wa enzi za nyerere tu.,kuna mkopo wa bure?,basi usingeitwa mkopo


maisha ya wtz.jpg
Hawa kweli watakiona chuo kikuu?
 
Duh.....huu Uzi natamani utolewe kwenye Gazeti la UHURU tena front page.
 
MACHOZI YAMENIBUBUJIKA BAADA ya KUMUONA HUYU MZEE , PAMOJA NA KUVAA MASHATI MAWILI LAKINI BADO AMESHINDWA KUSITIRIKA ! EEE MUNGU SIKIA KUOMBA KWETU , KILIO CHETU KIKUFIKIE .
 
Back
Top Bottom