CCM nambari wani

CCM nambari wani

CCM chalinze 21st century mjengwablog.jpg
 
Nimekubali ccm ni nambali wani kwa vituko he !!!!! Kwani hapo ni tanzania!!!!!!!!!!!!!11111
 
KWANINI WATANZANIA WANAKUBALI KUISHI MAISHA HAYA WAKATI dr AMEMWAGA MAMILIONI , WAWEZESHWE KIAKILI NA MTAJI. TUJIPE PELE NIMEONA PICHA YANGU SIAMINI KAMA NI MIMI AISEEEEE!!!!!!!!!! IMETULIA
 
taratibu mkuu naona amekugusa mtimani

Wala hajanigusa popote.Siyo mtu wa hivyo ndiyo maana nimempa ANGALIZO,ila kabla ya nilimgusa maeneo NYETI ndiyo maana akaja na HOJA za MATUSI/KUDHALILISHA.

Kwangu ukija na hoja za kipumbavu nitakujibu kama inavyotakiwa na ukija na hoja za kujenga nitakujibu ili kujenga,lakini wengi wetu tumesahau UTU,tunadhani pesa ndiyo kila kitu.

Tufike mahali tumuogope MUNGU ambaye anaumba na kuuisha na pia anachukua,hakuna mtu mwenye mbingu duniani,si Kikwete,wala CCM.
 
Kuna mitoto ya kambo imejaa Lumumba ngoja ije ndo utaona itakavyoshupaa. Sina hakika kama hawa jamaa wako timamu kabisa!!!!!!!!!!!!!

hapa hatii mguu hata kifaranga kimoja kutoka LUMUMBA team. ila picha wanaziangalia sasa hivi. namuona FOXY anaipitia juu kwa ju afu huyoooooo kasepa!!
 
Wala hajanigusa popote.Siyo mtu wa hivyo ndiyo maana nimempa ANGALIZO,ila kabla ya nilimgusa maeneo NYETI ndiyo maana akaja na HOJA za MATUSI/KUDHALILISHA.

Kwangu ukija na hoja za kipumbavu nitakujibu kama inavyotakiwa na ukija na hoja za kujenga nitakujibu ili kujenga,lakini wengi wetu tumesahau UTU,tunadhani pesa ndiyo kila kitu.

Tufike mahali tumuogope MUNGU ambaye anaumba na kuuisha na pia anachukua,hakuna mtu mwenye mbingu duniani,si Kikwete,wala CCM.

kwaiyoo!!!
 
kwaiyoo!!!

Hivyo hivyo tu MWALLA,kwenye ukweli tuseme ukweli.TAIFA letu kuna wachache wananeemeka na wengine hawajui kesho yao.Wakati wengine wakienda MAJUU kutibiwa hata MAFUA kuna wengine wanakufa bila hata kumuona daktari sababu tu wamekosa pesa za kulipia hospitali au kutoa rushwa.

Leo unamwambia Mkulima eti nunua nyumba ya NSSF au NHC ,ulimaji wake wa jembe la mkono,na wengine hata ardhi yao wamenyang'anywa kwa kisingizio cha wawekezaji.

MWALLA turudi kuwa binadamu tuone maovu tuwasemee na kuwatetea wasiyo na sauti.Hivi elimu yetu tuliyoipata iwe ya kushabikia DHULUMA kweli!!!!!Ni haki ,hivi leo tukiwa tunaamini MUNGU tukifia leo tunaenda kujibu nini huko?

Hakuna mwenye MBINGU rafiki,si Kikwete,CCM,CDM,NCCR wala CUF,tumuogope Mungu na tujitahidi kutenda HAKI.
 
umebuma weyee

Sijabuma,labda kama wewe ndiyo uliyebuma au haujanielewa.Siyo mtu wa kuambiwa vitu ni mtu ninayetumia akili yangu.Na hakuna kitu kinachoniuma kama kuona binadamu mwenzangu sababu ya kukosa UWEZO mdogo anapoteza maisha au anashindwa kuendelea na ELIMU yake.

Mwalla ni muhimu kuheshimu watu wengine hasa pale tunapotofautiana,kwanza inabidi kumsoma mtu na pia kutafiti ili kujua lengo na mdhumuni ya hoja zake.

Msingi mkuu tupende kutenda HAKI,hakuna mwenye MBINGU kaka yangu.
 
Hivyo hivyo tu MWALLA,kwenye ukweli tuseme ukweli.TAIFA letu kuna wachache wananeemeka na wengine hawajui kesho yao.Wakati wengine wakienda MAJUU kutibiwa hata MAFUA kuna wengine wanakufa bila hata kumuona daktari sababu tu wamekosa pesa za kulipia hospitali au kutoa rushwa.

Leo unamwambia Mkulima eti nunua nyumba ya NSSF au NHC ,ulimaji wake wa jembe la mkono,na wengine hata ardhi yao wamenyang'anywa kwa kisingizio cha wawekezaji.

MWALLA turudi kuwa binadamu tuone maovu tuwasemee na kuwatetea wasiyo na sauti.Hivi elimu yetu tuliyoipata iwe ya kushabikia DHULUMA kweli!!!!!Ni haki ,hivi leo tukiwa tunaamini MUNGU tukifia leo tunaenda kujibu nini huko?

Hakuna mwenye MBINGU rafiki,si Kikwete,CCM,CDM,NCCR wala CUF,tumuogope Mungu na tujitahidi kutenda HAKI.
usilaumu yoyote katika hili jilaumu wewe kwa kuindekeza CCM iendelee kukukamua
 
usilaumu yoyote katika hili jilaumu wewe kwa kuindekeza CCM iendelee kukukamua

Ndiyo hapo MWALLA unapomfikiria mtu usiyemjua ukampa na mawazo yasiyo yake!Mie na CCM ni sawa na KUKU na NYOKA au PANYA na PAKA.Sipendi viongozi wezi na walevi wa madaraka haijalishi chama atokacho.

Kwangu napenda kuliita KOLEO ni KOLEO na si KIJIKO kikubwa.

Napenda viongozi WAZALENDO bila kujali chama atokacho,yupo tayari kupoteza uhai wake sababu ya kuipigania TAIFA lake,kiongozi ambaye TANZANIA ni kwanza mengine baadaye,kiongozi asiye na waoga wa kukabiliana na maovu na yule awezaye kutoa maamuzi magumu bila kujali kama MTOTO au FAMILIA yake ni muhusika mkuu.Na pia nampenda kiongozi ambaye anamuogopa MUNGU sana sana.

Hivyo basi hivyo ndivyo nilivyo.
 
huu uzi naomba usifungwe mpaka desemba tuone jeuri ya UKAWA
 
View attachment 175977
huyu anae bakwa.... Ooops!! Anaekabwa mboni anafanana na chabruuuuu???

yeah! huyo anayetwangwa na magamba wenzake hapo juu ni Chabruma. hawa watu ni kama fisi pindi wanapogawana buku 7 wanazogawiwa huko lumumba...wakidhurumiana hutembeza ngumi vibaya sana. ukoo wa panya unafanana tangu babu hadi mjukuu...wote wezi tu. dhambi ya ukwapuaji wa rasilimali za umma itawatafuna tangu kizazi cha kwanza hadi cha mwisho.

tatizo vijana wa lumumba wanashabikia chama kama wanavyoshabikia mpira (yanga vs simba). kwenye mpira hata timu yako ikishuka daraja unashuka nayo. ushabiki wa kipuuzi kama huo ndio vijana wa #lumumba wanaoufanya. CCM imeishashuka daraja lakini bado wameing'ang'ania. huu ni ushabiki wa kijuha kabisa.

nichukue fursa hii kuwapongeza ndugu lusungo na Mamndenyi kwa kukubali kwenda na wakati. hawa vijana wanajitambua sana na hawaburuzwi na mtu yeyote kama vipofu...wanatanguliza masilahi ya nchi badala ya chama tofauti na akina Elungata, et al.
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo hapo MWALLA unapomfikiria mtu usiyemjua ukampa na mawazo yasiyo yake!Mie na CCM ni sawa na KUKU na NYOKA au PANYA na PAKA.Sipendi viongozi wezi na walevi wa madaraka haijalishi chama atokacho.

Kwangu napenda kuliita KOLEO ni KOLEO na si KIJIKO kikubwa.

Napenda viongozi WAZALENDO bila kujali chama atokacho,yupo tayari kupoteza uhai wake sababu ya kuipigania TAIFA lake,kiongozi ambaye TANZANIA ni kwanza mengine baadaye,kiongozi asiye na waoga wa kukabiliana na maovu na yule awezaye kutoa maamuzi magumu bila kujali kama MTOTO au FAMILIA yake ni muhusika mkuu.Na pia nampenda kiongozi ambaye anamuogopa MUNGU sana sana.

Hivyo basi hivyo ndivyo nilivyo.

tumesha wajua siku hizi mnakwepa kujitambulisha usiasa wenu mnaogopa ZOMEAZOMEA.
POLE SANA.
 
Natamani watanzania wote tuamke hongera chief kwa thread the best imegusa sana moyo wangu tunahitajo mapinduzi sasa hii nchi s ya kwao peke yao ni ya watu na rasilimali wanufaike watanzania wote mungu ibariki Tanzania.
 
najiuliza watanzania sijuhi tumelogwa hivi watu wanataka rasilimali zikombwe zote ndo wamin hawa jamaa walikuwa hawafai so pain elf kumi mtu anauza haki yake wakati wakula.we need revolution you are the source.
 
Back
Top Bottom