CCM nambari wani

CCM nambari wani

mwalla hatuwashangai kwani asili yenu vurugu...mwenyekiti alichaguliwa kihalali ninyi mnakodisha watu waende sehemu za kuapisha watu wafanye vurugu wakijidai wao ndio wananchi lakini afisa mtendaji akileta matokeo rasmi mnaumbuka mnadai mlitaka uchaguzi urudiwe
View attachment 216954 HUYU NI WEWEE....
mbaffff zako kaongee kijijini kwenu haya maneno alfu upate kipigo cha mmbwa mwizi kama yule m/kiti feki wa ccm alijiokoa kwa kukukimbilia mtaroni.
 
hata mimi sishangai kwa mtu kuongea uzushi na pumba ili mradi amedaka mtandaoni tu...unadai hela imekwapuliwa wakati hela wamelipwa watu wanaofahamika nao wakawalipa watu wanaofahamika...kwa kuwa mawazo yako mgando utaendelea kudaka maneno ya kafulila lakini ungetumia na akili yako kidogo tu ungebaini ulikuwa ndotoni.
Kwa wingi wa ile hela iliyokwapuliwa na kugawanywa kama mali iliyotekwa vitani , siwezi kushangaa mtu kutokwa povu la kufa na kupona .
 
mwalla hatuwashangai kwani asili yenu vurugu...mwenyekiti alichaguliwa kihalali ninyi mnakodisha watu waende sehemu za kuapisha watu wafanye vurugu wakijidai wao ndio wananchi lakini afisa mtendaji akileta matokeo rasmi mnaumbuka mnadai mlitaka uchaguzi urudiwe

kwendddrrrrrraaaaa!!!!!!!!!!!!!!
 
hata mimi sishangai kwa mtu kuongea uzushi na pumba ili mradi amedaka mtandaoni tu...unadai hela imekwapuliwa wakati hela wamelipwa watu wanaofahamika nao wakawalipa watu wanaofahamika...kwa kuwa mawazo yako mgando utaendelea kudaka maneno ya kafulila lakini ungetumia na akili yako kidogo tu ungebaini ulikuwa ndotoni.
Unaweza kututajia walioenda na mikokoteni stanbic bank ?
 
kama uliwasindikiza lazima unawajua. na kwa akili yako mtu akachukue pesa na mkokoteni huoni kuwa huo ni uzushi wa pesanane? sio kosa lako...
Unaweza kututajia walioenda na mikokoteni stanbic bank ?
 
kama uliwasindikiza lazima unawajua. na kwa akili yako mtu akachukue pesa na mkokoteni huoni kuwa huo ni uzushi wa pesanane? sio kosa lako...

MJOMBA huu UZI UMEWASHINDA VIONGOZI WAKO , SI KINANA WALA NAPE , WOTE WAMETOKA NDUKI , SASA WEWE MJUMBE WA NYUMBA 10 UTAWEZA ? UTAJINYONGA BURE ! KWANINI USIENDE KULALA ?
 
erythrocyte walitokaje nduki? unazo picha za wao kutoka nduki? hebu zitupie kwenye uzi huu tukuamini vinginevyo unatudhihirishia wazi kabisa kuwa wewe ni al sahaf wa iraq enzi za saddam
MJOMBA huu UZI UMEWASHINDA VIONGOZI WAKO , SI KINANA WALA NAPE , WOTE WAMETOKA NDUKI , SASA WEWE MJUMBE WA NYUMBA 10 UTAWEZA ? UTAJINYONGA BURE ! KWANINI USIENDE KULALA ?
 
erythrocyte walitokaje nduki? unazo picha za wao kutoka nduki? hebu zitupie kwenye uzi huu tukuamini vinginevyo unatudhihirishia wazi kabisa kuwa wewe ni al sahaf wa iraq enzi za saddam

siyo kinana na nape tu , hata makonda naye kala kona ! Huu uzi usipime mkuu .
 
aisseeeee hata makonda....lakini mimi kama niliwaona mbowe slaa na mnyika wakila kona?? ama kweli uzi huu usipime
siyo kinana na nape tu , hata makonda naye kala kona ! Huu uzi usipime mkuu .
 
Dhiki zote za nchi hii ziko ndani ya uzi huu , bado picha za vyandarua vya msaada tu !
 
kwa hiyo hata jogoo asipopanda mtungi utasingizia chama cha mapinduzi.
 
 
Last edited by a moderator:
Wapwa zangu akina MANI, Elli, Eli79, Chakaza, zumbemkuu piteni huku muone mauzauza ya nchi yetu baada ya miaka 53 ya uhuru na "amani" ya kutosha na utajiri wa kumwaga lakini barabara zetu ikinyesha mvua kidogo tu katika jiji letu kuu nchini basi hali huwa ni ya kutisha na kusikitisha sana.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom