Ukweli lazima usemwe hata kama ni mchungu...mwaka huu kumekuwa na ugumu sana kwenye haya mazoezi...
Kwenye vitambulisho vya kura watu wameenda tu tokana kuaambiwa vitawasaidia kwenye shughuli nyingine km ID...
Navuta picha kubwa nin kitatokea kwenye siku za kupiga kura.
CCM naomba tubadilike kwenye teuzi zetu kuanzia mashinani...Tuna tamani serikali yetu tunayoiunda ipendwe kuanzia mashinani
Tuteue viongozi watendaji wazuri,wenye kauli nzur hata wanapoongelea mambo ya vyama vya wapinzani,wenye maono...
Wenye kujua wananchi wao wanataka nini ..
Sio viongozi wanakaa miaka ishirini na si wawajibikaji katika maeneo yao wanayogombea na kupelekea chuki kali kwa wananchi .
Kwenye vitambulisho vya kura watu wameenda tu tokana kuaambiwa vitawasaidia kwenye shughuli nyingine km ID...
Navuta picha kubwa nin kitatokea kwenye siku za kupiga kura.
CCM naomba tubadilike kwenye teuzi zetu kuanzia mashinani...Tuna tamani serikali yetu tunayoiunda ipendwe kuanzia mashinani
Tuteue viongozi watendaji wazuri,wenye kauli nzur hata wanapoongelea mambo ya vyama vya wapinzani,wenye maono...
Wenye kujua wananchi wao wanataka nini ..
Sio viongozi wanakaa miaka ishirini na si wawajibikaji katika maeneo yao wanayogombea na kupelekea chuki kali kwa wananchi .