Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM ni wajinga sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni matapeli haswaSerikali ya fisiemu walichofanya waliondoa allowances kusomeka kwenye salary slip ili kuficha mishahara kiduchu, fikiria mshahara wa laki tatu uuainishe katika allowance zile za muhimu, mfano, nyumba, usafiri, maji, umeme......ina maana allowances peke yake zinakula mshahara mzima....hapo hatujaweka posho ya chakula unapokuwa kazini.
Nchi ya kusadikikaKuna hoja,ya msingi
Ila CCM ni nanihii Sana sanaCCM, CCM haaaaa haaaa Chama cha mapinduzi CCM namba one.
Ndiyo hivyoCCM, Chama Cha Mapungaz (Kasoro mimi) haaaaa haaaa Chama cha mapinduzi CCM namba one.
Comparison ya Mwalimu na Mfagizi aaghh iko kiuchonganishi Sana sanamwalimu,
Mwalimu analipwa zaidi ya mfanya usafi
Lakini ni ukweli mtupu huo😀😛Comparison ya Mwalimu na Mfagizi aaghh iko kiuchonganishi Sana sana
Kuna mishahara ya aina mbili;Watanzania wengi walioajiriwa hutazama zaidi ukubwa wa viwango vya mishahara lakini sidhani kama huwa wanahoji ndani ya viwango hivyo vya mishahara kunawekwa nini !!??
Kwa mfano labda kiwango cha mshahara kiwe ni shilingi 350,000. Je muajiri ndani ya hiyo 350,000 ameweka vitu gani na kwa mngawanyo upi? Maana kabla ya kodi haijaanza kukatwa ni vizuri mtu akajua amewekewa nini na nini kwenye mshahara wake.
Kwa mfano kwenye mshahara wa Shilingi 350,000 muajiri kakadiria huo mshahara utamudu kununua nini na nini mpaka utakapolipwa mshahara mwingine?? Kodi ya nyumba, nauli ya kukufikisha kazini na kukurudisha nyumbani, gharama za nishati, chakula?
bila ya kujua muajiri kakusudia nini kwenye mshahara anaokulipa ni kazi bure kudai nyongeza ya mshahara maana hata huo ulio nao hujui ilikuwaje muajiri wako akaamua ulipwe hivyo??
CCM mishahara ya watanzania hukokotolewa kwa kutumia kigezo gani??
Kwa nini sisi tusiwe miongoni mwa hizo nchi tano?Kuna mishahara ya aina mbili;
(i) Living Salary ambayo ndio inazingatia mchanganuo ulioonesha hapo juu. Mara nyingi mishahara hii inatolewa na nchi za Dunia ya Kwanza.
(ii) Basic Salary ambayo inatolewa na nchi za Dunia ya Tatu kama Tanzania.
NB: Suala la mishahara ni la kiulimwengu sio la CCM. Sidhani kama Afrika kuna nchi zaidi ya tano zenye kutoa Living Salary. Sidhani.
Kabla ya kutoa si lazima uweke? Unatoaje usipoweka?Nafikiri swali lingekuwa 'wanatoa nini katika mishahara?'; maana katika hiyo 350,000/= wanatoa PAYE, PSSF/NSSSF, NHIF, nk na kinachobaki ukapambanie mtaani kwa Mangi..!
Sawa mkubwa ntajitahidi.Mtoto wa Shule ukipata nafasi naomba utoe Elimu kuhusu "Basic salary" na hiyo "Living salary".
Kama hautojali tuelimishe imekuwaje hiyo living salary haiwezekani kulipwa hapa Tanzania.
Maana Kwa mtazamo wangu ni kuwa watu wanalipwa mishahara ili waendeshee maisha yao. Kumbe kwa nchi yetu ni tofauti.