CCM ndio chama pekee Afrika kitadumu dahari kwa dahari

CCM ndio chama pekee Afrika kitadumu dahari kwa dahari

Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
naunga mkono hoja 100%

umefanya vizuri sana kueleza Ukweli Japo kwa kifupi namna ambavyo CCM ilivyo imara, madhubuti na yenye maono ya mbali kwa mustakabali mwema wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
 
Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
Siku zote mtu aliyevimbiwa huwa anatapika tu hewa chafu kama unavyofanya wewe hapa. Ila siku itakapofika, hutaamini macho yako.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
Kwa hiyo ranking tunapewa kama nchi kwa
1. Watu wake kukosa furaha
2 watu wake kuwa masikini kuishi chi ya Dola
4) nchi kuwa na uchumi Duni yenye gdp ndogo sana

Kwa Hizi ranking ccm huenda haihusiki nazo kabisa

Na waitawale milele tu kama watu wake wameridhika na hali
 
CCM imepitia transformation nyingi toka TAA,hadi TANU na baadae muungano wa TANU na Afro Shiraz Party kuzaa CCM.
Ina dola,kila siku inawaza namna ya kuendelea kubaki kwenye dola miaka 1000!
Wakati vyama vingine vimepitia vizingiti lukuki,kwanza ni vichanga,pili havipo kwenye serikali tatu havina pesa ya kujitosheleza kunadi sera ,zao nchi nzima ni kitendawili.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
Vilikuwepo sana tu
 
Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
449470227_442070142071380_347974032652179535_n.jpg

BAWASIRI IWEZI KUISHA KWA MAONGEZI YAKO HAPA JF
 
Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
Nenda YouTube kaangalie how Nokia declined
When generation change no one is safe
Kizazi kikibadilika hakuna aliyesalama kizazi ndio kitakachoieondoa CCM kama zilivyopita zama za msondo ngoma asilimia kubwa walioandamana kenya ni generation Z jitafakari wewe kada mtiifu.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
Kilichobaki ni wananchi bila ya kujali chama wapiganie haki yao km Kenya,chama tawala na vyama vya upinzani vime -fail.
 
Ni kweli lakini tozo tunalipa wote, umeme ukikata unakata na kwako.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
KANU wenzetu walisema kama wewe
 
Ni ukweli usiopingika kwamba chama cha mapinduzi ndio chama ambacho kina historia kubwa hapa barani africa,,na hii ni kutokana na historia ya viongozi wake kuwa mstari wa mbele kutoka enzi za kupigania uhuru kupambana katika harakati za kuona nchi nyingine za Afrika zinapata uhuru pia.

Lakini hata hapa Tanzania pamoja na mapungufu ya hapa na pale bado chama hiki kimekuwa mhimili mkubwa wa amani na maelewano ambayo sisi wananchi tunajivunia

Natambua kama chama kina mapungufu yake kwasababu kitu chochote ambacho kinasimamiwa na wanadamu lazima hakikosi kasoro,lakini kimekuwa kinajihimarisha na kuendana na nyakati tulinazo hivi sasa.

Na kubwa zaidi kimekuwa na sera ambazo zinatekelezeka kitu ambacho kinawapa wananchi wengi matumaini makubwa ya kuendelea kukiamini,,natumaini chama hiki kikiendelea kujitathimini na kuondoa mapungufu yanayo jitokeza kitaendelea kuaminiwa na wananchi na kitazidi kushika hatamu.

Kama zilivyo nchi nyingine za Afrika ziliingia katika siasa za vyama vingi kutokana na mabadiliko ya dunia kwasasa na hivyo Tanzania nayo haikubakia nyuma

Katika baadhi ya nchi tumeshuhudia vyama vya upinzani vikishika hatamu za uongozi na kuvibwaga vyama tawala lakini kwa hapa Tanzania bado hakijaonekana chama cha upinzani chenye mlengo wa kimapinduzi,vyama vyote ambavyo vimewahi kuwa maarufu na kuonekana tishio kwa chama tawala baada ya mda huonekana ni dhaifu na havina dira

Ndani ya vyama vyao hakuna demokrasia ingawa kwa nje vinaonekana kana kwamba vinafuata demokrasia,ulafi wa madaraka umetamalaki,hakuna kuaminiana miongoni mwa viongozi wao,na ufisadi ni sehemu ya mambo yao ndani ya vyama,je kwa stahili hii vinastahili kuaminiwa kweli?

Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya viongozi wao wakitoka katika vyama hivi na kuenda kujiunga na chama tawala kwa kile kinachoonekana kukosekana kwa demokrasia katika vyama vyao,madaraka ya chama kuhodhiwa na mtu mmoja na ndio mwenye maamuzi ya mwisho.

Lakini kama haitoshi vyama hivi vimekuwa havina sera madhubuti badala yake vinafanya siasa zake kutokana na matukio,,yaani wanasubiri chama tawala kiboronge ndio wao waendani na tukio hilo,,kibaya zaidi chama tawala kwasasa kinakidhi mahitaji ya wananchi kwasasa kwa kuweka miundo mbinu rafiki katika nyanja zote kuhakikisha wananchi wanajikwamua katika umaskini

Natambua bado kuna mambo hayajakaa sawa katika namna ya kuwaridhisha wananchi lakini walau kuna matumaini huko mbeleni mambo yatakuwa sawa,,kwani nia wanayo na lengo lao ni kuwafanya watanzani wafikie mahali wajivunie matunda ya nchi hii.

Ni mategemeo yangu kwamba chama cha Mapinduzi kina dhamira kubwa ya kuleta maendeleo kwa wananchi wake na kuifanya iwe nchi ya maziwa na asali

Ni hayo tu!
Ni kwa vile tu huelewi maana ya neno "dahari".
 
Back
Top Bottom