CCM ni chama cha watu waoga wanaotegemea nguvu ya dola kubaki madarakani

CCM ni chama cha watu waoga wanaotegemea nguvu ya dola kubaki madarakani

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ndio ukweli kuhusu CCM ya leo ambayo imepoteza uhalali wa kisiasa na sasa inategemea nguvu za dola kubaki madarakani.

Uchaguzi wanavuruga na kuupora na sasa hata mikutano ya ndani ya vyama vya siasa wanaiogopa yakiwemo makongamano ya kudai katiba mpya.

Kwa mfano, CHADEMA wamekuja na hoja ya kudai katiba mpya bila kurusha jiwe wala kubeba fimbo, ila kwa uoga wa Ma-CCM, wanakabiliwa na nguvu za dola.

Kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika juzi huko Zanzibar tumesikia jinsi walivyopora huo uchaguzi na kuwaacha ACT wakilalamika kuhujumiwa. Sasa kweli hiki ni chama cha siasa? Yaani hata kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo moja mnatumia mabavu? CCM imeshakufa.

Uchaguzi Mkuu ulioputa ndio kabisa ulikuwa wa hovyo kupindukia kiasi kwamba unaondoa uhalali wa hii serikali na Bunge lililopo.

Waikati Kikwete aliwaonya CCM wenzake juu ya hatari ya kutegemea Polisi, leo CCM wanamuhamasisha Mama Samia atumie Polisi kuwadhibiti CHADEMA ambao hawafanyi fujo ya aina yoyote zaidi ya kuongoza harakati za kudai katiba mpya.

Cha ajabu,, wao CCM wanaendelea kuandaa makongamano yao na watawatumia hao Polisi kulinda mikutano na makongamano yao. Ajabu sana!

Kwa kifupi,CCM ni chama cha watu waoga,wasiojiamini na wanaotegemea nguvu ya dola badala ya ushawishi wa kisiasa kubaki madarakani.

Tunawakumbusha tu hata Makaburi walitumia dola kutawala na kukandamiza haki za Raia weusi wa Afrika kusini lakini mwisho wa siku yaliwashinda kama ambavyo hata CCM itakuja kushindwa.

Pic 11.jpg
 
Watanzania kuingia barabarani ndio nchi hii itakua kama Somalia tutagawana vipande,usiombee hili litokee kwa sababu kutakua hakuna mshindi.ccm bila polisi ni weupe na ndio maana hata tiss nayo imekua political connected,hawalindi nchi tena
 
Ndio maana tunasema mko kutegemea dola maana hata kujibu hoja mnashindwa.

Bora tu lile jitu limeenda na huyu tunamuombea nae amfuate huko aliko.Hatutaki madikteta.
Atatangulia makengeza mbowe. Si unaona juzi kaka yake kafa kwa Corona kutokana na laana ya WIZI na Udhulmati wanaofanya
 
Jiwe analiwa na wadudu.
Hata kaka wa makengeza Mbowe sasa hivi anaoza, Ndesapesaa anaoza, hata wewe UTAOZA na makengeza mbowe ataoza vile vile.

Kuwa msukule wa makengeza mbowe siyo kinga ya kutokuwa chakula cha wadudu.
 
Hata kaka wa makengeza Mbowe sasa hivi anaoza, Ndesapesaa anaoza, hata wewe UTAOZA na makengeza mbowe ataoza vile vile.

Kuwa msukule wa makengeza mbowe siyo kinga ya kutokuwa chakula cha wadudu.
Ndio muache viburi na jeuri utadhani mtaishi milele.
 
Maslahi ya UTULIVU wa nchi hayalindwi kwa fikra koko za "KILIBERALI"......

Si Kila jambo la nchi liendeshwe KILIBERALI......

Siasa za CHADEMA ni za "tug of war" wakisingizia UHURU WAO KIKATIBA....

Ukiziacha SIASA ZA KEDI ,MAANDAMANO NA MAKONGAMANO KOKO asubuhi ,mchana na jioni HUTOBAKIWA NA HISTORIA NJEMA YA HII NCHI.....

Kagame ameituliza nchi vyema tu....

#KaziIendelee
 
Mdude Nyagali alimshambulia mh.Rais kwa maneno yasiyo staha hata kidogo.....

Alisema kuwa "atautumia WEMBE alioutumia huko nyuma......"

Alisema kuwa "tumuambie MAMA YETU kuwa yeye hamuogopi...."

Cha mno ni kipi Sasa ?!!!

#KaziIendelee
 
Sisi watanzania tunatanguliza maslahi ya vyama vyetu na si maslahi ya Taifa.
Kumbuka chama ni kikundi cha watu wachache ndani ya nchi yenye watu wengi.
 
Usipo tumia dola kushika dola utaondoka kwenye dola na hutorudi kwenye dola kama KANU Moi wa Kenya.
Vyombo vya Dola vina nguvu kuliko umma? Ukiendeleza matumizi ya vyombo Dola ndiyo mwanzo wa kuvuruga amani
 
Huu ndio ukweli kuhusu CCM ya leo ambayo imepoteza uhalali wa kisiasa na sasa inategemea nguvu za dola kubaki madarakani.

Uchaguzi wanavuruga na kuupora na sasa hata mikutano ya ndani ya vyama vya siasa wanaiogopa yakiwemo makongamano ya kudai katiba mpya.

Kwa mfano, CHADEMA wamekuja na hoja ya kudai katiba mpya bila kurusha jiwe wala kubeba fimbo, ila kwa uoga wa Ma-CCM, wanakabiliwa na nguvu za dola.

Kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika juzi huko Zanzibar tumesikia jinsi walivyopora huo uchaguzi na kuwaacha ACT wakilalamika kuhujumiwa. Sasa kweli hiki ni chama cha siasa? Yaani hata kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo moja mnatumia mabavu? CCM imeshakufa.

Uchaguzi Mkuu ulioputa ndio kabisa ulikuwa wa hovyo kupindukia kiasi kwamba unaondoa uhalali wa hii serikali na Bunge lililopo.

Waikati Kikwete aliwaonya CCM wenzake juu ya hatari ya kutegemea Polisi, leo CCM wanamuhamasisha Mama Samia atumie Polisi kuwadhibiti CHADEMA ambao hawafanyi fujo ya aina yoyote zaidi ya kuongoza harakati za kudai katiba mpya.

Cha ajabu,, wao CCM wanaendelea kuandaa makongamano yao na watawatumia hao Polisi kulinda mikutano na makongamano yao. Ajabu sana!

Kwa kifupi,CCM ni chama cha watu waoga,wasiojiamini na wanaotegemea nguvu ya dola badala ya ushawishi wa kisiasa kubaki madarakani.

Tunawakumbusha tu hata Makaburi walitumia dola kutawala na kukandamiza haki za Raia weusi wa Afrika kusini lakini mwisho wa siku yaliwashinda kama ambavyo hata CCM itakuja kushindwa.

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Mhe, Bashiru alikwishalitolea maelezo mazuri kabisa.
 
Back
Top Bottom