CCM ni Chama pekee Makini Duniani

Haiwezi kutawala milele kwa vile milele maana yake Haina mwanzo Wala mwisho.CCM imeanzishwa 1977 hivyo lolote lenye mwanzo lina mwisho.
 
Malizia hivi ni chama makini chenye wajinha tupu,au nasema uwongo ndgu zangu
 
Hata mkoloni mzungu alipataga mafala waliomuunga mkono...
Hata shetani anamapuuzi yanamuunga mkono...
Muhimu wenye akili wanapaswa kuipambania haki na kweli bila kuchoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…