Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Na hao wahuni ndio wenye chamaKuna wahuni wachache mle chamani ndio wanaharibu. Chama hakina shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao wahuni ndio wenye chamaKuna wahuni wachache mle chamani ndio wanaharibu. Chama hakina shida.
Lakini pamoja na udhaifu wake kinatutawalaKwani chama ni nini kama siyo watu!? Unapokuwa na watu wachache waovu wenye nguvu kwenye chama, hao ndiyo chama chenyewe na chama kinakuwa kibaya.
CCM ni chama dhaifu na kibaya kwa kuwa kina watu wabaya na dhaifu.
Ni sawa na basi walilopanda walokole linaloendeshwa na teja... Teja akipindua gari na walokole nao wanakuwa pia wamepinduka.Na hao wahuni ndio wenye chama
Haina ubora wa kukosa mbadala. Ila CCM ni bora kwenye eneo la kuiba na kufuja mali ya Umma!hadi unaona aibu kutaja au kueleza mbadala wake 🐒
bado unajificha na kuona aibu kuelezea mbadala gentleman 🤣Haina ubora wa kukosa mbadala. Ila CCM ni bora kwenye eneo la kuiba na kufuja mali ya Umma!
andamana ndo utajua ni dhaifu kiasi ganiWatanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.
Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.
Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Ficha ujinga wako kidogo basi,tenganosha mamboKama ni dhaifu kesho fanyeni Kongamano 😄😄
HakikaWatanzania tuna bahati mbaya sana kuongozwa na chama kama CCM.
Na bahati nzuri kwa CCM watanzania wengi wanashindwa kuitofautisha CCM na vyombo vya Dola.
Lakini hiki chama ni dhaifu Sana na nchi Iko rehani Kwa kuendelea kuwaacha CCM kuwa madarakani.
Chama kina katiba yake.Kwani chama ni nini kama siyo watu!? Unapokuwa na watu wachache waovu wenye nguvu kwenye chama, hao ndiyo chama chenyewe na chama kinakuwa kibaya.
CCM ni chama dhaifu na kibaya kwa kuwa kina watu wabaya na dhaifu.
Umeona na wewe umejibu kibwege...😃😄😆 CCM ndiyo imezuia kongamano??
Wewe ni wale wale wanaosifia CCM kutumia Dola kuendeshea siasa zake...
Kwa akili hizi CCm ina mtaji haswaaa! Ujinga ni upofu na kwa nchi ya vipofu haishangazi vipofu kuwaongoza vipofu.Kuna wahuni wachache mle chamani ndio wanaharibu. Chama hakina shida.
Usimjibu mpumbavu wewe ndo utaonekana mpumbavUmeona na wewe umejibu kibwege...😃😄😆 CCM ndiyo imezuia kongamano??
Wewe ni wale wale wanaosifia CCM kutumia Dola kuendeshea siasa zake...